Unapandaga gari za wapi kwenda Lusaka, maana wanakagua mpaka mizigo na hii ni tofauti na kwetu Tanzania mpaka wapate taarifa.
soko la Comesa hufanya ukaguzi mara kwa mara uwe na pasipoti usiwe nao wanakudaka, wamasai ndio wanakoma.
comesa hawajaanza leo na ukaguzi wa Zambia mnashuka wote ndio wanakagua mmoja mmoja mmoja , nina vijamna wengi hapo Zambia kuanzia Chisato, Isoka,chinsali,Mpika, mkushi , chilanga,kafue mpaka chilundu achilia mbali hapo Livingstone na Lusaka na Chilundu border.
hivyo najua ninachosema halafu Zambia haishindi sheria kali Australia immigration
Tuludi kwenye hoja ya msingi jamaa humu anasema immigration hawapaswi kumuhoji mtu eti kisa Watanzania wanafahamiaka ndio nikamjibu hii nchi sio homogeneous country hivyo wana haki ya kuhoji ili kuthibitisha akitlea mfano wa afisa Takukuru, unaonekana umesafiri sana je hii ni sawa, Zambia kama case study hapa ni nchi yenye sheria ngumu za immigration je wazambia wangemchukulia sheria gani pia kumbulka Zambia immigration wana detention zao.
Je wasipohoji watajuaje huyu ni raia na huyu sie,
Je mama mjamzito nana haki ya kuvunja sheria, kwa maelezo yao na sympath zilizopo humu, unafikiri afisa alitenda sasawa
anasema alitekelezwa je ana ushahidi?
Mhamiaji haramu lakini hatuna ushahidi wa status yake kwamba ni kweli au hapana , kisa ana matatizo haachwe
Nijibu Mwanafyale