DOKEZO Uhamiaji nendeni nyumba za wageni za Mbagala Zakhem kagueni kila usiku mtakuta Wasomali na Waethiopia wamefichwa kusubiri kusafirishwa

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Kama wanapita tu shida iko wapi? Mambo mengine acheni viherehere vya kuripoti.

Mpaka wanafika hapo mbagala unadhani haijulikani?
Utajuaje huyu anapita na huyu kafika mwisho?

Umesahau yaliyomtokea Dr. Mwakyembe?
 
Na ukiambiwa uhamiaji ndiyo huwa wanawashauri wakajifiche huko?
 
Tafuta pesa ww acha kuwachoma watu wakiojilpua
 
Ili nchi iwe na akiba nzuri ya fedha za kigeni ni lazima biashara kama hizo ziwepo maana hao wakija wanaacha dollar na nchi inakuwa na Dola za kutosha.
 
Twendeni na mama 2025
 
Leo hii Kenya ina wabunge wakisomali huko serikali za mitaaa wamejazana kama wote
 
MBONA NCHI NYNGNE WANAPITA BILA SHDA NA HAWANA MADHARA?WANAENDA JBEG WAMEPITA NCH NYNG BILA TATIZO KWNN BONGO PAWE SHDA?JBU NI MOJA TU RUSHWA.HAO MAJAMAA WA UHAMIAJI WAMEJAA RUSHWA,WAETHPIA NA WASOMALI WAMEKUWA DILI YAO.
 
Mganga vipi wamekuibukia nn usiku??
Mkuu badili na hilo jina, Pdidy hawezi kuwa na roho ya kichawi namna hiyo, ulitakiwa ujiite jina la vijiji vya kichawi huko Sumbawanga, una ushamba fulani wa kimaskini.
 
Mkuu nimekuelewa, ila point ipo kwa wa Ethiopia wanaokatiza hawa sio warundi au wasomali, tunawajua kwa historia. Hawa wanapita wanazamia South Africa, huwezi mkuta mu Ethiopia hata Kariakoo kirahisi huwa wapo on transit, wanakimbia hali ngumu ya maisha kwao. Hawana historia ya violence wala kushika bunduki, na mleta mada kasema kabisa wapo lodge Mbagala wakisubiri kukwea pipa kwenda SA, sasa roho ya kichawi ya nini!?,. Kwa wanaosafiri humu wananielewa. Kuna watanzania wengi wamejilipua nchi kibao kama wakimbizi, wangekutana na mtu mwenye roho kama hii wangetoboa!?,au ndo yaleyale Marekani mtu anapiga simu kuwaambia home affairs jirani yangu hana permits za kuishi nchini ili wakurudishe TZ, tofauti Iko wapi!?
 
Mkuu badili na hilo jina, Pdidy hawezi kuwa na roho ya kichawi namna hiyo, ulitakiwa ujiite jina la vijiji vya kichawi huko Sumbawanga, una ushamba fulani wa kimaskini.
Wa.ekudakaaa wangapi leooo??
 
Mpwa naona unataka kuwapa watu ulaji.
 
Wabongo hawajui kama Cocaine inayoingia Marekani inapitishwa kwa baraka za FBI.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…