Uhamiaji, NIDA na RITA, mfungulieni Kesi ya Uhujumu Uchumi Diamond Platnumz kwa Kumiliki nyaraka fake za Serikali. Vitambulisho vyote anyang'anye

Kibao mkuu
Sidhani kama waliopima DNA wanafika hata %1 ya watanzania wote lakini mpaka mtu apime kuna sababu na pia uwezo kipesa kwahiyo majority mama zetu ndiyo wanaamua wewe baba yako ni nani awe ndiye baba kweli au siye lakini mama ndiyo ameshakuamulia baba mfano ni huo kwa mondi
 
U Utakufa masikin Trust me
 
Okay mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…