Uhamiaji Tanzania badilikeni

Uhamiaji Tanzania badilikeni

Sasa passport na umalaya wa wengine inahusikaje, ifike mahali kupata passport kuwe tu ka kitambulisho chochote watu wakatafte kazi hata huko nje ya nchi kupunguza umaskini
Kweli kabisa. Nchi kama India na Ufilipino zimepunguza umaskini kwa kuruhusu watu wake wakapige kazi Dubai na Qatar hadi Canada unawakuta.
 
Simple siku hizi unaaply online pasipoti zipo tele waomba wachache sababu ya bei kubwa
Hyo geresha unajaza online na control number unalipia ikifika printing inagoma mpaka ukawatumie wale vishoka wao ndo wana access na system uwalipe na u print in short hizi system walizoziweka ni kusumbua raia na hao maafisa wa juu wapige hela. Heri uende wakujazie uwalipe hela kuepuka kulipia form kwa control number then form igome ku print ka ilivo tu R. B za police unalipia ila huwezi ku print.
 
Pole sana, too embarrassing
ndio maana wanaogopa dualism maana wanaaminisha wadogo zetu hii nchi ni dona kantre ukitoka nje unakuta ulikoenda ndo dona kantre kwenyewe.
kibaya zaidi uhamiaji ni alfa na omega “i wish i could be IGP”
Inasikitisha Sana eti sasa mabinti wanasafiri sana nje kujiuza jamani mbususu si zetu tunaenda tafta maisha maana huku nchini hali mbaya ya uchumi sasa why wazuie watu.
Hii nchi haina u dona kantre yenyewe inahitaji kusaidiwa kabla haijafilisika
 
Kweli kabisa. Nchi kama India na Ufilipino zimepunguza umaskini kwa kuruhusu watu wake wakapige kazi Dubai na Qatar hadi Canada unawakuta.
Serikali waruhisu maana imekosa vision ya kutoa umaskini na ajira kwa vijana, itoe passport vjana watafte scholarship za nje wakirudi watakuwa na exposure kubwa, leo Nigeria ina largest diaspora wamesambaa dunia nzima na kufanya kazi hata kusoma nje hyo imepunguza umaskini maana Nigeria ina ma graduate kibao imesaidia sasa huku passport imekuwa ka tanzanite au passport ya kwenda mbinguni bwana
 
Roho mbaya tu ndio inawasumbua,wanajua mtu akienda abroad basi ndio kishatusua kumbe walah,mbona ndugu zao fasta tu wanawapa pasi,TZ kunahitajika elimu kubwa sana kwa waajiriwa wa sekta mbali mbali za serikalini maana 98% yao ni washamba na wana roho mbaya
 
Hi issue siyo nyepesi Sana kuichambua na kutoa maamuzi, ukiangalia documentary za biashara ya kusafirisha watu utagundua ipo hatari kubwa Sana. Kwa mfano ukiangalia clip inayosambaa inaonyesha kampuni ya ndani lakini aliyekutwa na passport Ni raia wa misri. Hawa wasafirishaji watu awaangalii maisha yako huko wanapokupeleka wanaangalia fedha. Huwezi kuniaminisha kwa huyo Mmisiri ana uchungu Sana na Watanzania Hadi kuja kuweka kambi hapa nchini na kukusanya pasipoti za Tanzania zaidi ya 90 nyumbani kwake. Kisheria Hana mamlaka yakushikilia hizo pasipoti na Kama hapa tu ameshikilia hizo pasipoti je wakifika huko nje wataruhusiwa hata kutoka nje?
Nimekaa uarabun nimejionea huu utumwa mpya unaoletwa na matajiri hasa wa kiarabu.

Lakini pia nimejaribu kutafuta tangazo la hiyo kampuni mtandaoni sijaona, je wanapataje watu Kama siyo kulaghai watu? Wangekuwa huru na wanafanya Jambo linalokubalika kisheria wangetangaza hizo nafasi za kazi lakini wanafanya kimyakimya.

Mwisho, huwezi kuona hao wasafirishwa wakikatiwa au kukodiwa ndege, wanasafiri was mmoja mmoja Tena wakieleza wanaenda kusoma au kutembelea ndugu.

Mimi kwa hii sikubaliani nayo. Wafanye wazi na watangaze wanasafirisha vijana wetu kuwapeleka wapi?

Mwisho, uzoefu wetu tuliokaa huko uarabuni watu Hawa wanakwenda na majina tofauti na majina yao halisi hasa wakristo utakuta Wana majina ya kiislamu kulingana na mwajiri. Kama Uhamiaji awakufanya kwa siasa, wajaraibu kuhoji kila mmiliki wa pasipoti watabaini Wana majina tofauti na nyaraka zao ametengeneza huyuo mmisiri.

Mm nawaunga mkono Uhamiaji ila serikali iweke mfumo rasmi wa watu kwenda kufanya kazi nje.
 
Mim nimeenda na kesho yake nikapewa bila rushwa wala nini au kwa vile ilikuwa urgent halafu ya matibabu.Naona ukiwa na sababu ya matibabu ni chapu tu ila kwa sababu nyingine lazima ukae wiki mpaka mwezi ndiyo unapata
 
Raia wakigeni lazima wanyimwe uraia tena waanze na wahindi ..yani uhamiaji na wizara ya kazi wanapa sana permit wahindi
 
Uhamiaji wana mambo ya ovyo sana
Passport wanaona kama ni hisani kwa mwananchi,
Unakuta passport ipo tayari,lakini unazungushwa Ili utoe kuanzia elfu 10 mpaka laki mbili Ili upewe.
Ofisi za umma zimegeuzwa sehemu ya kupiga
 
Hi issue siyo nyepesi Sana kuichambua na kutoa maamuzi, ukiangalia documentary za biashara ya kusafirisha watu utagundua ipo hatari kubwa Sana. Kwa mfano ukiangalia clip inayosambaa inaonyesha kampuni ya ndani lakini aliyekutwa na passport Ni raia wa misri. Hawa wasafirishaji watu awaangalii maisha yako huko wanapokupeleka wanaangalia fedha. Huwezi kuniaminisha kwa huyo Mmisiri ana uchungu Sana na Watanzania Hadi kuja kuweka kambi hapa nchini na kukusanya pasipoti za Tanzania zaidi ya 90 nyumbani kwake. Kisheria Hana mamlaka yakushikilia hizo pasipoti na Kama hapa tu ameshikilia hizo pasipoti je wakifika huko nje wataruhusiwa hata kutoka nje?
Nimekaa uarabun nimejionea huu utumwa mpya unaoletwa na matajiri hasa wa kiarabu.

Lakini pia nimejaribu kutafuta tangazo la hiyo kampuni mtandaoni sijaona, je wanapataje watu Kama siyo kulaghai watu? Wangekuwa huru na wanafanya Jambo linalokubalika kisheria wangetangaza hizo nafasi za kazi lakini wanafanya kimyakimya.

Mwisho, huwezi kuona hao wasafirishwa wakikatiwa au kukodiwa ndege, wanasafiri was mmoja mmoja Tena wakieleza wanaenda kusoma au kutembelea ndugu.

Mimi kwa hii sikubaliani nayo. Wafanye wazi na watangaze wanasafirisha vijana wetu kuwapeleka wapi?

Mwisho, uzoefu wetu tuliokaa huko uarabuni watu Hawa wanakwenda na majina tofauti na majina yao halisi hasa wakristo utakuta Wana majina ya kiislamu kulingana na mwajiri. Kama Uhamiaji awakufanya kwa siasa, wajaraibu kuhoji kila mmiliki wa pasipoti watabaini Wana majina tofauti na nyaraka zao ametengeneza huyuo mmisiri.

Mm nawaunga mkono Uhamiaji ila serikali iweke mfumo rasmi wa watu kwenda kufanya kazi nje.
Upumbavu mtupu.
 
Passport wanaona kama ni hisani kwa mwananchi,
Unakuta passport ipo tayari,lakini unazungushwa Ili utoe kuanzia elfu 10 mpaka laki mbili Ili upewe.
Ofisi za umma zimegeuzwa sehemu ya kupiga
Nchi ina laana hii.
 
Hi issue siyo nyepesi Sana kuichambua na kutoa maamuzi, ukiangalia documentary za biashara ya kusafirisha watu utagundua ipo hatari kubwa Sana. Kwa mfano ukiangalia clip inayosambaa inaonyesha kampuni ya ndani lakini aliyekutwa na passport Ni raia wa misri. Hawa wasafirishaji watu awaangalii maisha yako huko wanapokupeleka wanaangalia fedha. Huwezi kuniaminisha kwa huyo Mmisiri ana uchungu Sana na Watanzania Hadi kuja kuweka kambi hapa nchini na kukusanya pasipoti za Tanzania zaidi ya 90 nyumbani kwake. Kisheria Hana mamlaka yakushikilia hizo pasipoti na Kama hapa tu ameshikilia hizo pasipoti je wakifika huko nje wataruhusiwa hata kutoka nje?
Nimekaa uarabun nimejionea huu utumwa mpya unaoletwa na matajiri hasa wa kiarabu.

Lakini pia nimejaribu kutafuta tangazo la hiyo kampuni mtandaoni sijaona, je wanapataje watu Kama siyo kulaghai watu? Wangekuwa huru na wanafanya Jambo linalokubalika kisheria wangetangaza hizo nafasi za kazi lakini wanafanya kimyakimya.

Mwisho, huwezi kuona hao wasafirishwa wakikatiwa au kukodiwa ndege, wanasafiri was mmoja mmoja Tena wakieleza wanaenda kusoma au kutembelea ndugu.

Mimi kwa hii sikubaliani nayo. Wafanye wazi na watangaze wanasafirisha vijana wetu kuwapeleka wapi?

Mwisho, uzoefu wetu tuliokaa huko uarabuni watu Hawa wanakwenda na majina tofauti na majina yao halisi hasa wakristo utakuta Wana majina ya kiislamu kulingana na mwajiri. Kama Uhamiaji awakufanya kwa siasa, wajaraibu kuhoji kila mmiliki wa pasipoti watabaini Wana majina tofauti na nyaraka zao ametengeneza huyuo mmisiri.

Mm nawaunga mkono Uhamiaji ila serikali iweke mfumo rasmi wa watu kwenda kufanya kazi nje.
Huyo Mmisri ndio nani? Sisi tunazungumzia mambo yanayofanywa na uhamiaji miaka yote.
Hatuzungumzi tukio moja tunazungumzia mfumo mzima na utendaji wa uhamiaji.
 
Daah, mwaka 2019 nilikuwa nafatilia passport Mwanza ili niapply scholarship china maana nilisikia ni rahisi kupata. Walinizungusha kinoma, hadi deadline ikafika mm sijapata passport. Baada ya mwez na week tatu nikaenda kuulizia, eti wakasema oooh hukupigiwa simu, blah blah nyingi tu. Wakaniudhi kwa kusema mbona hii passport ipo muda mrefu. Niliumia sana asee.
 
Back
Top Bottom