Uhamiaji Tanzania badilikeni

Uhamiaji Tanzania badilikeni

Ku apply online kupo lakini lazima upeleke hard copy wakakague hapo ndo kuna ishu mara uwe na mwenyeji nchi unayokwenda mara mdhamini anayefanya kazi serikalini.
Wakati kukata passport sio kusafiri,jaman badilikeni mnakwamisha watu
Ukitaka passport unapata kirahisi. Andaa documents zako zote, cheti cha kuzaliwa, academic certificates, affidavit/ cheti cha kuzaliwa cha mzazi (mmoja wapo), barua yako ya maombi ya passport na barua ya mzazi wako kukuruhusu kwenda nchi husika, barua ya utambulisho kutoka kwa WEO/VEO, copy ya kitambulisho au namba ya NIDA, Passport za ukubwa wanaohitaji wao ( nimeshasahau) lakini zinabackground nyeupe. Studio wanajua.
Ukiwa na hivyo vyote, ingia kwenye web yao jaza form, lipia 20k ili uweze kuprint.
Tafuta link ya scholarship china, jaza form fresh, sehem ya kujaza passport number weka namba ya NIDA ili ikuruhusu kuendelea mbele. Ukimaliza utapewa pre admission letter, print. Ukikamilisha vyote hivyo nenda navyo uhamiaji wambie deadline ni baada ya week. Watakufanyia chap.
Hakikisha hakuna sehem umekosea herufi, umri wako au wa mzazi kwenye system ulivyojaza na physical documents zako kama affidavit, kitambulusho, nk.

Hivyo tu.
 
1. Kazi yenu ni kutoa passport sio kujua mtu anaenda wapi. Passport ni haki ya kila mtu. Jifunzeni kutoka nchi nyingine.

2. Sasa hivi Tanzania ajira hamna. Mnanyima watu passport maana yake wafe na njaa wakiwa Tanzania. Jifunzeni kwa nchi jirani. Kenya, Uganda hata Rwanda raia wao wanafanya kazi nchi mbalimbali kama Dubai, Qatar, Canada, South Africa, Botswana, Namibia, Ubelgiji, Norway n.k Nyie mmekuwa mwiba kwa watanzania.

3. Sio kila recruitment agency inayopeleka watu kufanya kazi Ulaya, America na Asia ni matapeli. Acheni kukariri. Dunia ya leo huwezi kupata kazi nje ya nchi bila kutumia agent. Badilikeni. Kila kampuni mnaita matapeli hivi hamuwezi kutrace kujua uhalali wa kampuni? Jiongezeni.

4. Mnapenda sana makamera kudhalilisha watu wanaoenda nje kupambana na maisha. Nyie mpo ofisini mnakula mishahara muwaache vijana wakapambane nje. Tanzania kazi hamna hata hizo za saidia fundi hamna.

5. Mnasema mtu akienda kufanya kazi nje ananyanyaswa. Mnajua manyanyaso yapo kila mahali ni bora mtu akanyanyaswe nje alipwe milioni kwa mwezi kuliko unyanyaswe na makampuni ya Tanzania halafu ulipwe laki na nusu. Hivi mnajua mishshara wanayolipwa wafanyakazi wa Bakhresa, Mohamed Enterprises, viwanda vya pale mikocheni kama Frostan n.k, mnajua hata hapo Ubungo EPZ watu wanaingia saa 1 asubuhi kutoka saa 11 na mshahara ni laki na nusu? Huo sio unyanyasaji?

6.Kampuni ya G4S Security imeajiri watu kutoka Uganda wanafanya kazi ya Ulinzi Asia na Ulaya na wanalipwa mamilioni. Na hizo kazi lazima agent atumike. Fatilieni makampuni ya ajira kisha mtoe orodha ili vijana wajue kampuni ipi ni genuine sio kuzuia tu vijana wasitoke nje ya nchi.

ACHENI WATU WAKAFANYE KAZI NJE YA NCHI.
Duh! Umenikumbusha mbali Sana nilienda kufanya interview kampuni moja hapa bongo wakawa wananiuliza maswali ya kipumbavu Sana eti mbona umesoma Sana kwanini? Niliwashangaa.
 
Watanzania acheni majungu,kosa uhamiaji hawana kuuliza kwanini unataka pasipt na uthibitisho Wa safari ni kujiridhisha na kupata uhakika thabiti qa safari yako.

Kuuliza sio kosa, angalia vizuri watu wanacholalamikia ni muda wa kusubiria hiyo passport ni mrefu mno.
 
Uhamiaji wanaona wivu kuona unaenda nje ya nchi watafanya lolote wakukwamishe .watanzania ni wachache sana huko ughaibuni kufananisha na wakenya wanaigeria waganda


The same airport flan ukishuka tu unakaguliwa begi lako hapo hapo wanakuibia vitu kama perfumes dawa za meno nk

Yaani sitaki kuamini kama maboss zao wanayajua haya au nao ni kama wafanyakazi wao
 
Uhamiaji wanaona wivu kuona unaenda nje ya nchi watafanya lolote wakukwamishe .watanzania ni wachache sana huko ughaibuni kufananisha na wakenya wanaigeria waganda


The same airport flan ukishuka tu unakaguliwa begi lako hapo hapo wanakuibia vitu kama perfumes dawa za meno nk

Yaani sitaki kuamini kama maboss zao wanayajua haya au nao ni kama wafanyakazi wao
Yote yalisababishwa na Nyerere alihofia wakienda nje watarudi na mawazo mapya watampindua, angalau siku hizi zama zake kuwa na pasipoti ni ishu.
Wakenya,wacongo wameanza kusafiri tangu miaka ya 50.Nenda hata Bosnia,Mynmar, Taiwan Mkenya umkosi
 
Kipengele cha ushahidi wa safarii sijui barua ya mwaliko kitolewe haikiendani na zama hizi
.Mzungu anapokuja Tza kutalii ni tiketi yake sisi tunabaniana Sana.
Kuliko kutegemea tozo masharti ya pasipoti yangerahisishwa wengi waombe
 
Ukitaka passport unapata kirahisi. Andaa documents zako zote, cheti cha kuzaliwa, academic certificates, affidavit/ cheti cha kuzaliwa cha mzazi (mmoja wapo), barua yako ya maombi ya passport na barua ya mzazi wako kukuruhusu kwenda nchi husika, barua ya utambulisho kutoka kwa WEO/VEO, copy ya kitambulisho au namba ya NIDA, Passport za ukubwa wanaohitaji wao ( nimeshasahau) lakini zinabackground nyeupe. Studio wanajua.
Ukiwa na hivyo vyote, ingia kwenye web yao jaza form, lipia 20k ili uweze kuprint.
Tafuta link ya scholarship china, jaza form fresh, sehem ya kujaza passport number weka namba ya NIDA ili ikuruhusu kuendelea mbele. Ukimaliza utapewa pre admission letter, print. Ukikamilisha vyote hivyo nenda navyo uhamiaji wambie deadline ni baada ya week. Watakufanyia chap.
Hakikisha hakuna sehem umekosea herufi, umri wako au wa mzazi kwenye system ulivyojaza na physical documents zako kama affidavit, kitambulusho, nk.

Hivyo tu.

watu wote wanakamilisha document zote ila ulizotaja lakini pia ngumu kupata na unaweza usikamilishe na ukapata kwanjia vishoka
 
Mim nimeenda na kesho yake nikapewa bila rushwa wala nini au kwa vile ilikuwa urgent halafu ya matibabu.Naona ukiwa na sababu ya matibabu ni chapu tu ila kwa sababu nyingine lazima ukae wiki mpaka mwezi ndiyo unapata
Haipaswi kuwa hivyo
 
Inasikitisha sana nilikutana na vijana wanafanya kazi kampuni moja ya Tomato hapa nchini wanalipwa elfu tatu kwa siku
 
Hyo geresha unajaza online na control number unalipia ikifika printing inagoma mpaka ukawatumie wale vishoka wao ndo wana access na system uwalipe na u print in short hizi system walizoziweka ni kusumbua raia na hao maafisa wa juu wapige hela. Heri uende wakujazie uwalipe hela kuepuka kulipia form kwa control number then form igome ku print ka ilivo tu R. B za police unalipia ila huwezi ku print.
Mkuu niliapply yangu mwaka jana na ya mtoto mwaka huu zote nikiwa home kupitia computer yangu. Nikalipa control number hiyo 20 na kuprint. Kwao nilienda kusubmit tu documents, Labda kama utaratibu wamebadili miezi ya hivi karibuni.
 
Nashindwa kuelewa kwanini watu wanalalamika kuhusu ugumu wa kupata passport!?jamani si tumekubaliana passport ni Laki 3, yaani Laki na nusu ni ya serikali na laki na nusu ni yakubrashia viatu!tatizo mnatafuta amani kwenye uwanja wa vita!passport unaweza kupewa siku hiyo hiyo inategemea tu upo serious kiasi gani! Hakunaga mteremko kwenye mambo serious!
 
Mimi vile ni mdada walinambia eti naenda kufanya umalaya, in short uhamiaji hawana ufahamu na wanadhalilisha mara uraia mbona uko vile in short uhamiaji ni jipu

Ccm oyeeee[emoji1474]


Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
 
Mimi vile ni mdada walinambia eti naenda kufanya umalaya, in short uhamiaji hawana ufahamu na wanadhalilisha mara uraia mbona uko vile in short uhamiaji ni jipu
Ungesema ndiyo mi malaya kwani wapi kunasema malaya asipewe passport.
 
Uganda kila mwenzi akina dada mis 500 wanaenda mashariki ya kati kufanya kazi za ndani kupitia agency, Tanzania nchi ina mambo ya kizamani sana
Hamia huko na wewe itapunguza kero unazoziona hapa
 
watu wote wanakamilisha document zote ila ulizotaja lakini pia ngumu kupata na unaweza usikamilishe na ukapata kwanjia vishoka
Kweli, me walinisumbua sana niwape admission letter. Nikawambia ndo nipo kwenye mchakato wa application. Na nimeshindwa kuendelea maana kunapart ya kujaza passport number. Jamaa hawakunielewa. Nikatumia pre admission letter. Faster tu
 
Back
Top Bottom