Uhamiaji Tanzania: Bila dhumuni la safari hakuna kupewa pasi ya kusafiria (Passport)

Uhamiaji Tanzania: Bila dhumuni la safari hakuna kupewa pasi ya kusafiria (Passport)

Passport unaitaka ya nn ama. Hutaki kusafiri
Kwani ukimpa hiyo passport hata kama hasafiri utaumwa malaria au? Wewe shida yako nini?

Nchi za wenzetu ikiwemo Kenya na Rwanda mbona passport wanazitoa tu.bila cha kusema dhumuni la safari

Ukiitaka unapewa.Dhumini la safari hilo ni.la kwenda kujieleza ubalozi wa nchi anakoenda kuomba viza.

Tatizo uhamiaji wamejigeuza kuwa maafisa wa kutoa viza wa ubalozi

Wewe toa passport dhumuni.la safari mtu atajieleza akienda kugonga viza mpakani au ubalozi wa nchi anayoenda
Eti ohh eleza dhununi la safari wewe ofisa ubalozi mtoa Viza?
 
Kwani ukimpa hiyo passport hata kama hasafiri utaumwa malaria au? Wewe shida yako nini?

Nchi za wenzetu ikiwemo Kenya na Rwanda mbona passport wanazitoa tu.bila cha kusema dhumuni la safari

Ukiitaka unapewa.Dhumini la safari hilo ni.la kwenda kujieleza ubalozi wa nchi anakoenda kuomba viza.

Tatizo uhamiaji wamejigeuza kuwa maafisa wa kutoa viza wa ubalozi

Wewe toa passport dhumuni.la safari mtu atajieleza akienda kugonga viza mpakani au ubalozi wa nchi anayoenda
Eti ohh eleza dhununi la safari wewe ofisa ubalozi mtoa Viza?

CCM ni Jinamizi la hii Nchi. Kila ujinga na maovu hauwezi kuondoka mpaka hili Shetani lifilie mbalini
 
Tuendelee kuhonga tu maana wanatulazimisha kufanya hivyo,imagine nina NGO natakiwa kwenda U.S next month passport yenyewe unapata after three month,duh! bado kazi ipo na hii ndio madhara ya lecturers kutoa GPA ya rushwa.
 
Hii ndio taarifa mpya kutoka Uhamiaji iliyotolewa leo na Msemaji wake Paul Mselle.
View attachment 1727162
Paul Mselle amesema haya...

Pasi ya kusafiria ni 'document' ya kiusalama na ni haki ya kiusalama na ni mali ya Serikali, pale ambapo mtu ataitumia vibaya basi anaweza akanyang’anywa

Pasi ya kusafiria sio kitambulisho kusema mtu achukue abaki nayo ndani ni lazima kuwe na dhumuni la safari, kama hauna safari hatuwezi kukupa pasi ya kusafiria

Mtu atakayepoteza Pasi yake ya kusafiria (Passport), itamlazimu kutoa taarifa Polisi pamoja na kutangaza kwenye gazeti na kwamba ni lazima atoe kiasi cha shilingi Laki tano kwa kupoteza Passport hiyo, na ili aweze kupata nyingine.

Kumekuwa na changamoto ya kuchelewa kwa pasi ya kusafiria sababu unakuta mtu hajakamilisha vigezo vya kupata pasi ya kusafiria. Kuna wengine wanawasilisha vyeti vya kuzaliwa ambavyo haviko kwenye mfumo wa RITA na ukimuuliza alikipataje anasema alimtuma mtu kwa maana ya vishoka na hawa unakuta wengine ni raia wa Tanzania na wengine sio raia wa Tanzania

Wengine nao unakuta taarifa za cheti cha kuzaliwa zinatofautiana na taarifa za vitambulisho vya Taifa, unakuta kwenye Kitambulisho cha TAIFA(NIDA) kazaliwa Temeke kwenye cheti kazaliwa Morogoro.

Passport.png
Passport ni haki ya kila raia kwa nchi zote duniani,,paasport ni moja ya kitambulisho tena ambacho raia huwezi kufoji
 
Back
Top Bottom