MWANAHARAMU
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 4,041
- 10,699
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] inaonekana umeamini[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Ok kama wewe unaenijibu ni mmoja wa wataalamu kwenye fani hii, Basi una mapungufu;... nakushauri ujielimishe zaidi kuhusu utendaji wa mamlaka za RITA, NIDA na uhamiaji ....kwa vyovyote vile kwa mtazamo wako huo, utapotosha wengi wasiojua. Na kumbuka hizo mamlaka tatu, utendaji wake ni wa kiulimwengu hivyo viwango vyake vinalingana Ulimwengu mzima.
Maisha haya [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Ndio maana matapeli wanaendelea kuwepo mjini kwa watu kama wewe.
Binadamu asiye jifunza ujue ni mjinga
Aonae ukweli kupitia angle moja basi hajaujua ukweli.