Izi propaganda za kitoto!!Hii ni Chess sio draft, Kwenye makubaliano ya kubadilishana wafungwa na mateka, Israel wamekubali kutoa wafungwa 50 wa Palestina kwa kila mu Israel alietekwa kumbe kuna mikakati ya kuwatupa Indonesia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Izi propaganda za kitoto!!Hii ni Chess sio draft, Kwenye makubaliano ya kubadilishana wafungwa na mateka, Israel wamekubali kutoa wafungwa 50 wa Palestina kwa kila mu Israel alietekwa kumbe kuna mikakati ya kuwatupa Indonesia
Naww vaaa viatu vya wapalestina miaka 50 sasa kila siku Israel inavamia nyumba za wapalestina na kubomoa mashambayao yanafekwa mifugo yao inauwawa wenyewe wanauwawa ili tu waisrael wamiliki iyo ardhi wajenge majumba yao na kuyatumia mashamba kwa kilimo chao!!!!! Kama ni mtoto wa kiume unaona nyumba ya babayako inavunjwa na waisrael na kwa mtutu mzee akipinga nyumba yake isinyang,anywe nayeye anapigwa risasi ukikua mkubwa utaacha kujiunga na Hamas kisa kuna mingese itakwita ww gaid!!!!!! Ao Hamas miili yao inasumu kali sana ni hatari kwa afya ya IDF yoyote wapo tayali kufa kuliko kuishi ktk maumivu ya kuona jinsi waisrael wanawanyanyasa ktk ardhi yao yamababu zao!!vaa viatu vya Israel , baada ya Hamas kuvamia ulitaka wafanyeje ? wawapongeze HAMAS ?
Hawawataki.Ni chaotic and problematic plus.These people are evil kwanini wasiwapeleke Misri unawapeleka Indonesia kote Huko kutafuta nini
Vita sikie kwenye radio tuHivi ndivyo hali ilivyo Gaza
wataalam wanasema kutoa kifusi utachukua miaka
View attachment 3206508
U
Indonesia ndiyo nchi ya Kiislamu yenye waislamu wengi duniani lakini hawako RADICALISEDWamekataa kwenda kwa waarabu wenzao ambao wanaongea lugha moja wamekataa kwenda Ulaya waeende Indonesia😂
Hivi unajua Indonesia ni Nchi iliyoendelea (GDP yake ni takriban 1.5 trilion) lakini pia karibia 90% ya population ni Waislam ambao ni takriban 230,000,000 - Ndio Nchi yenye waislam wengi kuliko Nchi yoyote duniani kwa hiyo, ni uamuzi sahihi....Wamekataa kwenda kwa waarabu wenzao ambao wanaongea lugha moja wamekataa kwenda Ulaya waeende Indonesia😂
Waarabu wanaogopa yasije kuwakuta yaliyowakuta Lebanon walivyowakaribisha hao wapalestinaSio kwamba wamekataa kwenda kwa waarabu wenzao, waarabu HAWAWATAKI wapalestina.
Huu ni ukuta wa Misri / Palestina umezama chini futi za kutosha,
View attachment 3206686
Indonesia ndiyo nchi ya Kiislamu yenye waislamu wengi duniani lakini hawako RADICALISED
Ndiyo nimefikq twice 2009na 2013. Tumbelea fukwe za Bali au angalia nightlife, huwezi kukuta ujinga wenu wa sigida utosini au kelele za adhana za mchana bila sababuUliwahi kufika Indosenia ? Hivi uislamu una kitu kinachoitwa radical ??
Hawafai Kizazi cha fujo na Lanaa Wewe Watu Gani Miaka Nenda rudi hawataki AmaniWawaelte huku tuwakatie wilaya wakae
Hamasi, Boko harram, Iss, ni wazuri na wanaubinadamu sanaWayahudi ni wanyama tena nguruwe hawana utu hata kidogo cha ajabu kuna mazezeta wanadai eti imebarikiwa!
Wacha kupakazia , mimi ndio nimeondoka juzi hapa, nilipo niko njiani na hayo unayoyasema mbona ni uongo wa mchana . Uislamu ulioko huko ni kama huu wa Zanzibar isipokuwa kuna vikundi vimeingiza mambo yao ya jadi kwenye uislamu, kama ilivyo kwenye ukristoNdiyo nimefikq twice 2009na 2013. Tumbelea fukwe za Bali au angalia nightlife, huwezi kukuta ujinga wenu wa sigida utosini au kelele za adhana za mchana bila sababu
Wabakie huko huko kwa makabachori na waachie WAYAHUDI ardi Yao. Hapo ndio utakuwa mwisho wa vita
Ni ardhi ya Babu zakeMyahudi hiyo ardhi ulimpa wewe aua babu yako ??
Kwani Muslim Brotherhood ni kitu gani? Au Alqaeda, ISIS na Alshabab!!Wacha kupakazia , mimi ndio nimeondoka juzi hapa, nilipo niko njiani na hayo unayoyasema mbona ni uongo wa mchana . Uislamu ulioko huko ni kama huu wa Zanzibar isipokuwa kuna vikundi vimeingiza mambo yao ya jadi kwenye uislamu, kama ilivyo kwenye ukristo
sasa jibu swali
hivi katika uislamu kuna kitu radical , lete ushahidi
Yote hayo yanatokana na unyanyasaji na unyama unaofanywa na Wayahudi,ni kama vile unavyoona bongo kibaka anavyoadhibiwa na raia wema siku akiingia kwenye anga zao.
hili ni pendekezo la kijuhaTimu ya maridhiano ya usitishaji wa vita imeshauri kuhamisha Wapalestina wa Gaza kwenda Indonesia kwa muda hadi Gaza itakapojengwa upya.
Wazo hilo limewekwa wazi na Steve Witkoff ni mshauri wa masuala ya kimkakati katika timu ya Trump anaeshiriki katika juhudi za kutafuta suluhu la amani Mashariki ya Kati, ikiwa ni pamoja na kuhusika katika zoezi la kubadilishana mateka na wafungwa linaloanza leo Jumapili 19-01-2024 kati Israel na Hamas, inakadiriwa kwa kila muisrael moja wataachiwa wapalestina 50
========================================
President-elect Donald Trump’s envoy to the Middle East, Steve Witkoff, is considering a visit to the war-torn Gaza Strip as part of his efforts to keep a ceasefire deal between Israel and Hamas on track, according to a transition official with direct knowledge of the ceasefire process.
Underscoring just how fragile the president-elect’s team believes the ceasefire deal that’s set to go into effect on Sunday is, Witkoff also plans to be a near-constant presence in the region over the coming weeks and months to troubleshoot flare-ups on the ground that he believes could unravel the agreement and halt the release of hostages held by Hamas at any moment, the official said.
“You have to be right on top of it, ready to snuff out a problem if it happens,” the official said.
Source: NBC News