Uhamisho wa watumishi 2013/2014

Uhamisho wa watumishi 2013/2014

Habari za majukum wadau wa jf. Naomba kupata msaada kama kuna mtu ana taarifa za uhamisho wa watumishi waliomba kuhama desemba 2013 na kutakiwa kuhama january 2014 taarifa rasmi ya uhamisho wao inatoka lini maana tamisemi wapo kimyaa..

Yametoka majina,ila ata mimi bado sijayaona kwani nikifungua pdf inagoma,kwa atakaekuwa na taarofa rasmi atujulishe wadau wa jf.
 
Mkuu Pendael6410,naomba unisaidie kunichekia MARY.S.CHEGAMO....Kamchina kangu kamekataa kufungua
 
niangalizieni ALHAJI KUJI maana katechno kangu kameshindwa kufungua pdf files nisaidieni ndg zangu humuhumu au kwa 0787746954.
 
Niambie Wilaya Mkoa unapotoka fasta nkwambie kama umepata au hukupata, natoa huduma hii bure hadi saa 11 jioni na ni leo tu!
 
Mkuu Pendael6410,naomba unisaidie kunichekia MARY.S.CHEGAMO....Kamchina kangu kamekataa kufungua
Japo hujaniuliza mimi, nimeamua tu kujitolea tu, naomba unuambie jina la Mkoa unapotoka tu , nashindwa kufanya searching ya majina kwenye Pdf file!
 
Mkuu Pendael6410,naomba unisaidie kunichekia MARY.S.CHEGAMO....Kamchina kangu kamekataa kufungua
Japo hujaniuliza mimi, nimeamua tu kujitolea tu, naomba unuambie jina la Mkoa unapotoka tu , nashindwa kufanya searching ya majina kwenye Pdf file!
 

Attachments

wote wana jf.niangalizie ALHAJI KUJI kutoka mkoa wa geita wly chato kwenda tanga.na ritha emmanuel mlay toka bunda mara 2 tanga
 
jamani hapa nilipo na kazi haziendi vizuri niangalizieni kwa data za hapo juu.
 
wote wana jf.niangalizie ALHAJI KUJI kutoka mkoa wa geita wly chato kwenda tanga.na ritha emmanuel mlay toka bunda mara 2 tanga

kama ulivyoambiwa hapo juu, umepata na unaenda Bumbuli Tanga, na Ritha E. Mlay anatoka Bunda kwenda jiji la Tanga, msalimie shemeji!
 
Mkuu Pendael6410,naomba unisaidie kunichekia MARY.S.CHEGAMO....Kamchina kangu kamekataa kufungua

Yah, umepata unatoka Ulanga Moro, kwenda Tandahimba Mtwala, poa ticha muda muafaka wa kuwekeza kwenye vitalu vya gesi
 
Kama unaogopa jina lako la 'ukweli' kufahamika hapa jf, nitumie PM fasta kwani leo nimenasa password ya computer ya bosi, kuliko kwenda 'ze utamu' si bora niwasaidie watanganyika wenzangu?
 
Kaka niaje? Naomba uniangalizie huseni namenya na saidi hasan kama wamepata uhamisho.

Hussein Namenya amekidhi vigezo na anahama kutoka Kilwa Lindi kwenda manispaa ya Temeke, na huyo mwingine kama ni Saidi H. Kachenje, huyo anatoka Uvinza Kigoma kwenda Meru, Arusha!
 
UNAJUWA WATU KAMA CC UCTOCHOKE KAKA. NAOMBA KUJUWA JINA LA RAFIKI YANGU ANAITWA saidi h mandamo. Jamaa hajuwi hata la kufanya.
 
Back
Top Bottom