Huu mfumo ni hasa upande wa Uhamisho ni uongo hakuna atakae hama Kupitia huo mfumo kwa kuwa ubabaishaji ni mwingi ukiwapigia simu majibu yao ni haya:
#Subiri maombi yenu yanafanyiwa kazi utaona mabadiliko.
#Sasa hivi maombi ya kwenye mfumo hayafanyiwi kazi subiri mpaka katibu Mkuu atakapoamua mwenyewe kwani yeye ndio mwenye access ya kuingia kwenye mfumo. Kwa majibu hayo tu itoshe kusema Uhamisho haupo tena ila tunachezeana akili tu.