Uhamisho wa watumishi wa Serikali za Mitaa Juni 2014

Mkuu geniveros km uko dodoma tafadhal nenda ofis za tamhsemi ntakuchangia nauli ukanichekie na jina la dadaangu. km umenipata contact 0757021255

skia kwenye waliokosa yupo? km hayupo kuna uwezekano barua haikufika dodoma!mana watu wa masjala
pale kwa ras wengi wao washenzi kweli nimeongea na mtu wa tamisemi sasa hivi ndo kanambia hayo kama jina halipo kote barua haikufika
 
skia kwenye waliokosa yupo? km hayupo kuna uwezekano barua haikufika dodoma!mana watu wa masjala
pale kwa ras wengi wao washenzi kweli nimeongea na mtu wa tamisemi sasa hivi ndo kanambia hayo kama jina halipo kote barua haikufika

Upo sahihi kabisa...
 
Upo sahihi kabisa...

yani kaka acha tu mana vigezo vyote vipo miaka5 kazini,ushapanda daraja,na vngne vyote so mi nashauri kwa wasioona majina sehemu zote mbili rudi RAS MASJALA KAKOMAE NAO WALE MBWA PALE WAKUELEZE VIZURI HAWANA UTU WANATHAMINI PESA NA KUJUANA TU.AND IF POSSIBLE GO STRAIGHT TO RAS
 
Mi jina limetoka likiwa limekosewa badala ya MAOMBI NCHEYE YUSUPH limetoka NCHEYE YUSUGU nifanyeje natoka Buhigwe naenda SERENGETI
 
subiri barua yako itakuja kwa jina gani

fuatilia Tamisemi ukarekebishe kabla siku hazijaenda, hizo ni typing error za writer. Ila Mungu si athumani barua inaweza kuja na jina lako kamili,
 
Kuna majina elfu tisa wanahamishwa...so wanatoa kidogo kidogo. Now wamerusha haya ila mengine bado....this week tusubiri wanatoa mpaka ifike idadi ya watumishi elfu tisa...Mimi mojawapo jina langu ni wa elfu saba na.......hivi so msubiri. Hizo ndo facts Toka tamisemi...kuna jamaa yupo Hapo...katoa Hiyo habari kwangu...namfahamu
 

Ngoja tusubirie na my sister naye anasubiria kwa hamu kama na yeye atakuwepo
 

mmmh!yanaenda alfabetical?
 
skia kwenye waliokosa yupo? km hayupo kuna uwezekano barua haikufika dodoma!mana watu wa masjala
pale kwa ras wengi wao washenzi kweli nimeongea na mtu wa tamisemi sasa hivi ndo kanambia hayo kama jina halipo kote barua haikufika



poa mkuu tunafanyaje sasa mkuu kwa hiyo mpaka mwz wa 12? au kuna release ya mwz wa 9
 

thanx mkuu kwa taarifa
 

mkuu na wale wenye matatizo ya kiafya hata kama umeajiriwa mwaka huu nilazima ufikishe vigozo vya kukaa 3miaka!?
 
mkuu na wale wenye matatizo ya kiafya hata kama umeajiriwa mwaka huu nilazima ufikishe vigozo vya kukaa 3miaka!?

Matatizo ya afya ni issue sensitive sana, weka vyeti sawa vyote kwa kuwasilisha eneo husika.
 
Jamani chondechonde naombeni mniangalizie_ RHODAH c SAMSON_kutoka CHATO geita
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…