Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,752
- 7,861
Nimepata kusikia huko uswahilini kuwa, eti mtoto wa kiume akidondokewa na kitovu chake ndo basi tena. Yaani jogoo halitapanda mlima. Mimi sioni uhusiano wa kisayansi hapo. Je kuna ye yote ajuaye anisaidie/atusaidie kupata ukweli wa jambo hili?
hakuna lolote mkuu, ni sawa tu na zile simulizi za 'Vimbwenelehi' na vibwengo!