Uharamu wa vitu hivi uko wapi?

Kaka upo nje ya mada ujue?
 
Kwa kifupi tu dini zenye makatazo ya vyakula, vinywaji na makatazo mengine mengi mbali na yale yahusuyo dhambi dhidi ya mwenzako au Mungu, dini hizo zimeanzishwa na viumbe kwa ushirikiano na binadamu. Dini ya kweli husisitiza upendo kwa Mungu na wanadamu kama msingi wa mambo yote. Na huu ndio Ukristo.
 
Unazingumza uko chooni unazungumza nini, nyie ndiye mkiwa chooni mnaandika majina yenu, kwa kutumia mavi, pumbavuu.
Ninesoma comments zako zote tatu mfululizo hapo juu sijaona cha maana au point yoyote uliyoandika sambamba na mada.

Saa nyingine ni bora kupita kimya kimya kuliko kujifanya unaandika off tupu.

Hebu rejea comments zako mwenyewe halafu upime kama kuna jibu linalofaa kwa mada husika. Nadhani umepanic.
 
Sina haja ya kurudia kusoma nilichoandika, kwa sababu nimeandika kutokana na walichaandika niliyo wa quote, ila wewe umesoma tu nilichoandika bila kusoma andiko la niliwa quote, hivyo huwezi kupata maana.
 
Sometime ni ujinga wa kukaririshwa tu, me ni Thomaso bila ya kuona effects zake sijaamini bado.
Halafu wewe jamaa nna was was na elimu yako, au una tatzo

Unaanzaje kukitolea kitu maelezo ambacho huna ufahamu nacho?! Hivi wewe ni muislam ?

Kama hapana unawezaje kusema kama sisi waislam dini tumekaririshwa! Unawezaje kusema ni ujinga kukataa kufanya hayo maovo yaliyotajwa? Aisee we jamaa uko sawa kweli? Umesema bila ya kuona effects zake huamini _ bac tukuowe halaf ukiona effects zake huko mbeleni ndio utaamini.
 
Acheni siwezi acha kula nguruwe Hana uharamu wowote muacheni mnyama wetu
 
Nikuuliza uko wapi uharamu wa wewe kufanya mapenzi na Dada yako, ukifanya mapenzi na Dada yako kuna ladha tofauti na mwanamke mwingine, mtoto hazaliwi, kwanini haramu, Ukinijibu hii nitakueleza uharamu wa nguruwe kwenye Uislamu.

Mbona Nabii Lutu Alizaa Na Watoto Wake Wa Kuwazaa?
 

Sijalenga Imani Ya Mtu Yeyote Kikubwa Ni Hayo Maswali Yamekuwa Yananitatiza.

Kama Madaktari Wanasema Kitimoto Sio Haramu Mbona Ndio Hao Hao Wanaoidhinisha Kiuzwe Kwa Kukipiga Muhuri?
 
Sijalenga Imani Ya Mtu Yeyote Kikubwa Ni Hayo Maswali Yamekuwa Yananitatiza.

Kama Madaktari Wanasema Kitimoto Sio Haramu Mbona Ndio Hao Hao Wanaoidhinisha Kiuzwe Kwa Kukipiga Muhuri?
Hebu tumia uelewa angalau kidogo, Utabibu una eneo lake mbali na imani, na dini ina eneo lake mbali na utabibu.

Nikuulize, Wakristo hawali nyama, pasaka siku inayoitwa Ijumaa kuu, je madaktari wanawakataza siku hiyo, kula nyama au hamli kwa mujibu wa imani yenu.
 
Mkuu maswali yako yote mepesi tu; imani yangu inaniambia kupitia Yesu, "sichokiingiacho kinywani kimtiacho mtu unajisi bali kile kimtokacho kinywani ndicho kimtiacho mtu unajisi.

2) hilo lakuongea chooni mimi naongoza maana chooni ndio sehemu yangu ya kufanya mazoezi yangu ya kuimba! Sasa hao wanaosema chooni wanakaa majini pengine vyoo vyao waliwajengea majini ndio mana wanakosa uhuru kwenye vyoo vyao na wameshaaminishwa hivyo na wakaamini ndio mana hata wakirud wanawasalimia. Mi choo changu nimejenga kwa7bu yangu na matumizi yangu cna imani ya kijinga nijenge choo alf waje wakae majini kwann hao majini wasijenge chao?

3) kuhusu watu wanaojua dini kuwa na roho mbaya, hilo nakuunga mkono kbs ukiijua dini vzur utajua mengi kwa mtu ambayo dini inapingananayo hivyo huwezi kuyafurahia lazma utayachukia tu na huwez kukia kitu ukiwa na roho nzur lazma uwe na roho mbaya kama ya kwangu! Mi mwenyewe nachukia maovu na ujinga wake. Msome Mungu alivyoangamiza dunia kwa ghalika ya maji kwa7bu alitazama mioyo yetu wanadamu akaona kila kusudi analoliwa mwanadamu moyoni mwake ni baya tu sikuzote wakat yeye anatuwazia amani, akakasirika na kughairi kama ameetuumba akatuua kwa maji.

Msome daudi alicho sema; Ilikuwa ni kazi bure kuchunga kwangu kote mali za huyu mtu huko jangwani hivi kwamba hakuna chochote chake kilichopotea. Yeye amenilipa baya kwa ajili ya wema. 22 Bwana na amshughulikie Daudi, tena kwa ukali, ikiwa kesho asubuhi nitambakizia mwanaume hata mmoja aliye hai miongoni mwa watu wake wote!”

Ukiipenda dini huwezi chekea maovu wala ujinga! Mungu akinijalia nikaja kufungua kanisa langu hadi fimbo zitakuwepo watu waache dhambi
 
Siwezi kuzungumzia ukristo sababu si ujuwi kwa imani zake.
Ila sisi waislam kila tunachokatazwa bac ujue kina madhara.
1-Nguruwe kwa afya hafai , ata kumgusa pia haifai kwa sababu ni najis ( uchafu).
2-Kusema chooni - ivi bro kwa akili zako timamu unaanzaje kuongea chooni ! Uko serious kwl , unaongea na nan ? Ki akil ya kawaida tu haimake sense.
 
We jamaa unaingea ujinga tu .sema we mwenyewe unajijua kma una roho mbaya , halaf unajiita mtu wa ibada πŸ˜‚πŸ˜‚ bogus kabisa
 
Una chuki sana na uislamu mkuu sema umeshndw jieleza vizuri mwenye hakili ameelewa ulichokuwa unamaanisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…