Uharamu wa vitu hivi uko wapi?

Uharamu wa vitu hivi uko wapi?

Ila mapenzi ni kitu kizuri sana, Waumini Wa Kiislamu ni watu wanahoji sana.
Tumekua wakristo wakipigwa viboko makanisani, eti kuimarisha imani nani amehoji, kibwetele kachoma moto wenzie kabla ya tukio hakuna alie hoji.

Tumeona yule mchungaji anahimiza watu kukatika kanisani, inakiwezekana akina mama warushe matiti yao hewani, walichofanya kutekeleza na sisi kufaidi mauno yanayokatwa kwa nia na walokole.

Mtu anajinyima anajichanga wee akipata hela anapeleka kanisani, kumpa mtu kuishi kifahari, hakuna kujiuliza kuwa mchungaji anafanya kwa ajili ya Mungu, nami nafanya kwa ajili ya Mungu kwanini ni mlipe, kwa mifano hii michache nadhani utapima na kuona nani wajinga, Ukiondoa Waroma Wasabato, Molvian na KKKT hao angalau.
Kaka upo nje ya mada ujue?
 
Kwanza kabisa ningependa niwasalimu kwa jina la jamhuri wa muungano wa Tanzania ndugu zangu wa jukwaa hili mahsusi huku lengo kubwa likiwa ni kupashana habari mbalimbali na kubadilishana mawazo yanayoweza kutufungua na kuleta tija zaidi kwenye jamii inayotuzunguka.

Kwanza kabisa ningependa nieleweke kwamba dhumuni la kuja na huu uzi sio kwa ajili ya kudhihaki imani za watu fulani HAPANA!!, bali ni kuhitaji ufafanuzi wa kina na kupata majibu sahihi ya haya maswali yangu. Pasipo kupoteza muda twende moja kwa moja kwenye mada husika.

(1). UHARAMU WA KULA NGURUWE:

Nimekuwa nikiwaza kuhusiana na huyu kiumbe aliyeumbwa na Mwenyezi Mungu na kuletwa hapa Duniani kama vile vilivyo viumbe wengine wa angani, baharini, na nchi kavu iweje aharamishwe? au kuna vitimbi alishawahi kuwafanyia baadhi ya watu kipindi cha nyuma na kupelekea kuwa chanzo cha yeye kuwa Haramu?

(2). KWANINI HAIRUHUSIWI KUZUNGUMZA UKIWA CHOONI?

Zipo baadhi ya dini ambazo ukifuatilia mafundisho yake yanakataza kabisa kuzungumza ukiwa chooni, kupiga mswaki na kusukutua kwenye tundu la choo, kama iyo haitoshi wakaenda mbele zaidi na kudai kwamba chooni ni moja ya maskani ya majini wa shari.

Hapa nikajiuliza vipi kwa wale waliopanga chumba kimoja na choo ndani al-maarufu kama MASTER inakuaje? Maana kuna nyakati nyingine unaweza ukajisahau kufunga mlango wa choo ivyo kuwa rahisi kwa hao majini kumuingia mwanadamu na kuleta dhohari ndani ya nyumba.

(3). KWANINI ASILIMIA KUBWA YA WATU WENGI WANAOIJUA DINI HUWA WANAKUWA NA ROHO MBAYA SANA ZILIZOJIFICHA?

KWa mujibu wa tafiti zangu nilizofanya kwa takribani miaka 10 iliyopita hasa kwa watu wanaozijua dini(WACHA MUNGU) nikianzia makazini, majumbani, na hata kwenye nyumba za ibada huwa wanakuwa na roho mbaya ambazo mpaka uwe na jicho kali sana ndio unaweza ukaziona wazi. Hadi Hii leo bado sijajua chanzo ni nini?

(4). KUSALIMIA VITU VISIVYOONEKANA

Hapa nitaenda moja kwa moja kwa ndugu zangu waislamu, huwa tunaambiwa kama unaishi kwenye nyumba yako ikatokea ukatoka ukaenda kwenye mihangaiko yako masalani asubuhi, ukirudi jioni basi wakati unaingia ndani kwako basi ni lazima utoe salamu(ASALAAM ALEIKUM). BADO NIPO NJIAPANDA

Najua wapo watakaokuja kunikejeli na kunirushia maneno ya kashfa na matusi lakini siku zote atafutae ukweli hachoki, hata akichoka keshapata. NAHITAJI UFAFANUZI KWENYE HAYA. Nawasilisha
Kwa kifupi tu dini zenye makatazo ya vyakula, vinywaji na makatazo mengine mengi mbali na yale yahusuyo dhambi dhidi ya mwenzako au Mungu, dini hizo zimeanzishwa na viumbe kwa ushirikiano na binadamu. Dini ya kweli husisitiza upendo kwa Mungu na wanadamu kama msingi wa mambo yote. Na huu ndio Ukristo.
 
Unazingumza uko chooni unazungumza nini, nyie ndiye mkiwa chooni mnaandika majina yenu, kwa kutumia mavi, pumbavuu.
Ninesoma comments zako zote tatu mfululizo hapo juu sijaona cha maana au point yoyote uliyoandika sambamba na mada.

Saa nyingine ni bora kupita kimya kimya kuliko kujifanya unaandika off tupu.

Hebu rejea comments zako mwenyewe halafu upime kama kuna jibu linalofaa kwa mada husika. Nadhani umepanic.
 
Ninesoma comments zako zote tatu mfululizo hapo juu sijaona cha maana au point yoyote uliyoandika sambamba na mada.
Saa nyingine ni bora kupita kimya kimya kuliko kujifanya unaandika off tupu.
Hebu rejea comments zako mwenyewe halafu upime kama kuna jibu linalofaa kwa mada husika. Nadhani umepanic.
Sina haja ya kurudia kusoma nilichoandika, kwa sababu nimeandika kutokana na walichaandika niliyo wa quote, ila wewe umesoma tu nilichoandika bila kusoma andiko la niliwa quote, hivyo huwezi kupata maana.
 
Sometime ni ujinga wa kukaririshwa tu, me ni Thomaso bila ya kuona effects zake sijaamini bado.
Halafu wewe jamaa nna was was na elimu yako, au una tatzo

Unaanzaje kukitolea kitu maelezo ambacho huna ufahamu nacho?! Hivi wewe ni muislam ?

Kama hapana unawezaje kusema kama sisi waislam dini tumekaririshwa! Unawezaje kusema ni ujinga kukataa kufanya hayo maovo yaliyotajwa? Aisee we jamaa uko sawa kweli? Umesema bila ya kuona effects zake huamini _ bac tukuowe halaf ukiona effects zake huko mbeleni ndio utaamini.
 
Acheni siwezi acha kula nguruwe Hana uharamu wowote muacheni mnyama wetu
 
Nikuuliza uko wapi uharamu wa wewe kufanya mapenzi na Dada yako, ukifanya mapenzi na Dada yako kuna ladha tofauti na mwanamke mwingine, mtoto hazaliwi, kwanini haramu, Ukinijibu hii nitakueleza uharamu wa nguruwe kwenye Uislamu.

Mbona Nabii Lutu Alizaa Na Watoto Wake Wa Kuwazaa?
 
Nakuitikia kwa jina la Jamhuri wa muungano wa Tanzania.
Mkuu umeuliza lakini Majibu mengi yaliyotolewa haya mashiko



Kwani kuna mnyama aliejiumba mwenyewe ? Kwaiyo ndo kama nguruwe kaambwa na Mwenyezi mungu ndo anafaa kuliwa !? We ushaambiwa hata kwny hio biblia kma hafai na wa ma dr washa prove kma hafai kwa afya - asa we unajiuliza nin !.

Halaf we jamaa ww umelenga uislam , usikanyage maneno.

Dini iko perfect lakin waiislam sio perfect , . kwaiyo tofautisha kati ya dini na waumini.

Sijalenga Imani Ya Mtu Yeyote Kikubwa Ni Hayo Maswali Yamekuwa Yananitatiza.

Kama Madaktari Wanasema Kitimoto Sio Haramu Mbona Ndio Hao Hao Wanaoidhinisha Kiuzwe Kwa Kukipiga Muhuri?
 
Sijalenga Imani Ya Mtu Yeyote Kikubwa Ni Hayo Maswali Yamekuwa Yananitatiza.

Kama Madaktari Wanasema Kitimoto Sio Haramu Mbona Ndio Hao Hao Wanaoidhinisha Kiuzwe Kwa Kukipiga Muhuri?
Hebu tumia uelewa angalau kidogo, Utabibu una eneo lake mbali na imani, na dini ina eneo lake mbali na utabibu.

Nikuulize, Wakristo hawali nyama, pasaka siku inayoitwa Ijumaa kuu, je madaktari wanawakataza siku hiyo, kula nyama au hamli kwa mujibu wa imani yenu.
 
Mkuu maswali yako yote mepesi tu; imani yangu inaniambia kupitia Yesu, "sichokiingiacho kinywani kimtiacho mtu unajisi bali kile kimtokacho kinywani ndicho kimtiacho mtu unajisi.

2) hilo lakuongea chooni mimi naongoza maana chooni ndio sehemu yangu ya kufanya mazoezi yangu ya kuimba! Sasa hao wanaosema chooni wanakaa majini pengine vyoo vyao waliwajengea majini ndio mana wanakosa uhuru kwenye vyoo vyao na wameshaaminishwa hivyo na wakaamini ndio mana hata wakirud wanawasalimia. Mi choo changu nimejenga kwa7bu yangu na matumizi yangu cna imani ya kijinga nijenge choo alf waje wakae majini kwann hao majini wasijenge chao?

3) kuhusu watu wanaojua dini kuwa na roho mbaya, hilo nakuunga mkono kbs ukiijua dini vzur utajua mengi kwa mtu ambayo dini inapingananayo hivyo huwezi kuyafurahia lazma utayachukia tu na huwez kukia kitu ukiwa na roho nzur lazma uwe na roho mbaya kama ya kwangu! Mi mwenyewe nachukia maovu na ujinga wake. Msome Mungu alivyoangamiza dunia kwa ghalika ya maji kwa7bu alitazama mioyo yetu wanadamu akaona kila kusudi analoliwa mwanadamu moyoni mwake ni baya tu sikuzote wakat yeye anatuwazia amani, akakasirika na kughairi kama ameetuumba akatuua kwa maji.

Msome daudi alicho sema; Ilikuwa ni kazi bure kuchunga kwangu kote mali za huyu mtu huko jangwani hivi kwamba hakuna chochote chake kilichopotea. Yeye amenilipa baya kwa ajili ya wema. 22 Bwana na amshughulikie Daudi, tena kwa ukali, ikiwa kesho asubuhi nitambakizia mwanaume hata mmoja aliye hai miongoni mwa watu wake wote!”

Ukiipenda dini huwezi chekea maovu wala ujinga! Mungu akinijalia nikaja kufungua kanisa langu hadi fimbo zitakuwepo watu waache dhambi
 
Hebu tumia uelewa angalau kidogo, Utabibu una eneo lake mbali na imani, na dini ina eneo lake mbali na utabibu.

Nikuulize, Wakristo hawali nyama, pasaka siku inayoitwa Ijumaa kuu, je madaktari wanawakataza siku hiyo, kula nyama au hamli kwa mujibu wa imani yenu.
Siwezi kuzungumzia ukristo sababu si ujuwi kwa imani zake.
Ila sisi waislam kila tunachokatazwa bac ujue kina madhara.
1-Nguruwe kwa afya hafai , ata kumgusa pia haifai kwa sababu ni najis ( uchafu).
2-Kusema chooni - ivi bro kwa akili zako timamu unaanzaje kuongea chooni ! Uko serious kwl , unaongea na nan ? Ki akil ya kawaida tu haimake sense.
 
Mkuu maswali yako yote mepesi tu; imani yangu inaniambia kupitia Yesu, "sichokiingiacho kinywani kimtiacho mtu unajisi bali kile kimtokacho kinywani ndicho kimtiacho mtu unajisi.

2) hilo lakuongea chooni mimi naongoza maana chooni ndio sehemu yangu ya kufanya mazoezi yangu ya kuimba! Sasa hao wanaosema chooni wanakaa majini pengine vyoo vyao waliwajengea majini ndio mana wanakosa uhuru kwenye vyoo vyao na wameshaaminishwa hivyo na wakaamini ndio mana hata wakirud wanawasalimia. Mi choo changu nimejenga kwa7bu yangu na matumizi yangu cna imani ya kijinga nijenge choo alf waje wakae majini kwann hao majini wasijenge chao?

3) kuhusu watu wanaojua dini kuwa na roho mbaya, hilo nakuunga mkono kbs ukiijua dini vzur utajua mengi kwa mtu ambayo dini inapingananayo hivyo huwezi kuyafurahia lazma utayachukia tu na huwez kukia kitu ukiwa na roho nzur lazma uwe na roho mbaya kama ya kwangu! Mi mwenyewe nachukia maovu na ujinga wake. Msome Mungu alivyoangamiza dunia kwa ghalika ya maji kwa7bu alitazama mioyo yetu wanadamu akaona kila kusudi analoliwa mwanadamu moyoni mwake ni baya tu sikuzote wakat yeye anatuwazia amani, akakasirika na kughairi kama ameetuumba akatuua kwa maji.

Msome daudi alicho sema; Ilikuwa ni kazi bure kuchunga kwangu kote mali za huyu mtu huko jangwani hivi kwamba hakuna chochote chake kilichopotea. Yeye amenilipa baya kwa ajili ya wema. 22 Bwana na amshughulikie Daudi, tena kwa ukali, ikiwa kesho asubuhi nitambakizia mwanaume hata mmoja aliye hai miongoni mwa watu wake wote!”

Ukiipenda dini huwezi chekea maovu wala ujinga! Mungu akinijalia nikaja kufungua kanisa langu hadi fimbo zitakuwepo watu waache dhambi
We jamaa unaingea ujinga tu .sema we mwenyewe unajijua kma una roho mbaya , halaf unajiita mtu wa ibada 😂😂 bogus kabisa
 
Una chuki sana na uislamu mkuu sema umeshndw jieleza vizuri mwenye hakili ameelewa ulichokuwa unamaanisha
 
Back
Top Bottom