mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 31,415
- 38,761
Kupigia magoti sanamu na kuziomba ndio ujanja?
Kutubu kwa padri na kumuelezea dhambi zako ndio ujanja?Toa boriti kwenye jicho lako kabla ya kuona ubanzi kwenye jicho la mwenzako.
Ukiipeleka huku hii mada utaishia hapo mbele utachoka mapema sana.
Kaa kwa kutulia mkuu.