Seyf001
Member
- Apr 7, 2016
- 38
- 57
Ilab tofauti na wewe mwenye kujisifia, we hujioni kituko hata kwa dini yako kujisifia unatabia ya ovyo!?wee unae ongea shit ndio una roho nzuri?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ilab tofauti na wewe mwenye kujisifia, we hujioni kituko hata kwa dini yako kujisifia unatabia ya ovyo!?wee unae ongea shit ndio una roho nzuri?
Najua utakua umekosea kuni quote mimi, maana hapa sisi tunatoa elimu, kwa maswali wanayo uliza kupitia imani isiyo shaka ya Kiislamu.Siwezi kuzungumzia ukristo sababu si ujuwi kwa imani zake.
Ila sisi waislam kila tunachokatazwa bac ujue kina madhara.
1-Nguruwe kwa afya hafai , ata kumgusa pia haifai kwa sababu ni najis ( uchafu).
2-Kusema chooni - ivi bro kwa akili zako timamu unaanzaje kuongea chooni ! Uko serious kwl , unaongea na nan ? Ki akil ya kawaida tu haimake sense.
Ndio bro, nimekoseaNajua utakua umekosea kuni quote mimi, maana hapa sisi tunatoa elimu, kwa maswali wanayo uliza kupitia imani isiyo shaka ya Kiislamu.
Nyie si mmeshazoea kukumbatia uwovu na ujinga na kubembelezana ktk ibada zenu ili waumini walete sadaka lkn hamjui kuhubiri ile kweli ili watu waongoke na kumjua Mungu hivyo huwez nielewa maisha yako yote wala kuelewa topic zanguWe jamaa unaingea ujinga tu .sema we mwenyewe unajijua kma una roho mbaya , halaf unajiita mtu wa ibada [emoji23][emoji23] bogus kabisa
Hahaha we jamaa ndo umeamua kunionyesha asa jinsi una roho mbayaa , sasa sadaka tunatoa waislam wenyewe wewe zinakuuma nin 😁, kwanza acha uboya dogo waislam hawategemei misaada kma ww unavotaka kufungua kanisa kma biashara ., halaf umesema utakua unapiga watu bakora kwnye kanisa lako sio 😁😁Nyie si mmeshazoea kukumbatia uwovu na ujinga na kubembelezana ktk ibada zenu ili waumini walete sadaka lkn hamjui kuhubiri ile kweli ili watu waongoke na kumjua Mungu hivyo huwez nielewa maisha yako yote wala kuelewa topic zangu
Kenge weee!
Nadhani una matatizo ya kujua sana zaidi ya kiwango cha uelewa wako.Sina haja ya kurudia kusoma nilichoandika, kwa sababu nimeandika kutokana na walichaandiks nilyo wa quote, ila wewe umesoma tu nilichoandika bila kusoma andiko la niliwa quote, hivyo huwezi kupata maana.
Sifa ya kwanza; kwenye kanisa langu hakutakuwa na sadaka kbs wala hutaona vikapu vya sadaka Ila ukiguswa na mahubiri yangu ruksa kutunza! Kama wasanii wanaimba ujinga na wanatunzwa je, kwangu mtumishi siujinga kukataa?Hahaha we jamaa ndo umeamua kunionyesha asa jinsi una roho mbayaa , sasa sadaka tunatoa waislam wenyewe wewe zinakuuma nin [emoji16], kwanza acha uboya dogo waislam hawategemei misaada kma ww unavotaka kufungua kanisa kma biashara ., halaf umesema utakua unapiga watu bakora kwnye kanisa lako sio [emoji16][emoji16]
Udini umeanza[emoji23][emoji23]kamuulize huyu atakujibu swali lakoView attachment 2509490
We jamaa ni mdini sana[emoji23][emoji23] usikasirike bana jibu hoja zenye mashiko.Ndiye Mungu wao huyo Waabudu sanamu, hii dini inaendeshwa kwa uongo na utapeli.
Eti juzi wengine walimuona bikra Maria aliwatembelea, jiulize walijuaje kuwa wanaemuona ndiye Bikra malia, maana kabla hawajawahi kumuona.
[emoji23][emoji23] mnaingia kwenye mfumo taratiib.Kupigia magoti sanamu na kuziomba ndio ujanja?
Kutubu kwa padri na kumuelezea dhambi zako ndio ujanja?Toa boriti kwenye jicho lako kabla ya kuona ubanzi kwenye jicho la mwenzako.
Hii mada ya umeanzishwa na mkristo mwenzio, kuhonyi kwanini Uslamu unakataza hiki au unaruhusu hiki, mimi najibu tu, alafu unaniona mimi ndiye mdini, badala ya kumsihi huyo mkristo mwenzio, aishi katika imani yake.We jamaa ni mdini sana[emoji23][emoji23] usikasirike bana jibu hoja zenye mashiko.
Kwa hiyo ukila paka,mbwa ni sawa sio najisi?Na haijakatazwa.Kitabu gani hicho?Au kurahisisha mambo?Ahh nilisahau wewe huna dhambi kuna mtu alichukua dhambi zako kwa kufa msalabani![emoji23][emoji23] mnaingia kwenye mfumo taratiib.
Malizia hivii....
Kimuingiacho mtu hakimtii unajisi bali kile kinachomtoka. Kwa maana kimuingiacho mtu hupitia tumboni na kutupwa chooni.
Bali kimtokacho mtu hutoka moyoni[emoji23][emoji23]
Kwahiyo wewe unanijua sana siyo, au wakristo ndiye mnajiona mna haki ya kuhiji imani ya wengine siyo, sasa pitia tena utaona watu wame like. Umeumia sana.Nadhani una matatizo ya kujua sana zaidi ya kiwango cha uelewa wako.
Tatizo siyo ku-quote; hoja ni quote yako ni irrelevant na kilichoandikwa.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwa hiyo ukila paka,mbwa ni sawa sio najisi?Na haijakatazwa.Kitabu gani hicho?Au kurahisisha mambo?Ahh nilisahau wewe huna dhambi kuna mtu alichukua dhambi zako kwa kufa msalabani!
Very poor reasoning. Huwajibiki kwa lolote.
Hakuna uharamu bali imani za kishenziKwanza kabisa ningependa niwasalimu kwa jina la jamhuri wa muungano wa Tanzania ndugu zangu wa jukwaa hili mahsusi huku lengo kubwa likiwa ni kupashana habari mbalimbali na kubadilishana mawazo yanayoweza kutufungua na kuleta tija zaidi kwenye jamii inayotuzunguka.
Kwanza kabisa ningependa nieleweke kwamba dhumuni la kuja na huu uzi sio kwa ajili ya kudhihaki imani za watu fulani HAPANA!!, bali ni kuhitaji ufafanuzi wa kina na kupata majibu sahihi ya haya maswali yangu. Pasipo kupoteza muda twende moja kwa moja kwenye mada husika.
(1). UHARAMU WA KULA NGURUWE:
Nimekuwa nikiwaza kuhusiana na huyu kiumbe aliyeumbwa na Mwenyezi Mungu na kuletwa hapa Duniani kama vile vilivyo viumbe wengine wa angani, baharini, na nchi kavu iweje aharamishwe? au kuna vitimbi alishawahi kuwafanyia baadhi ya watu kipindi cha nyuma na kupelekea kuwa chanzo cha yeye kuwa Haramu?
(2). KWANINI HAIRUHUSIWI KUZUNGUMZA UKIWA CHOONI?
Zipo baadhi ya dini ambazo ukifuatilia mafundisho yake yanakataza kabisa kuzungumza ukiwa chooni, kupiga mswaki na kusukutua kwenye tundu la choo, kama iyo haitoshi wakaenda mbele zaidi na kudai kwamba chooni ni moja ya maskani ya majini wa shari.
Hapa nikajiuliza vipi kwa wale waliopanga chumba kimoja na choo ndani al-maarufu kama MASTER inakuaje? Maana kuna nyakati nyingine unaweza ukajisahau kufunga mlango wa choo ivyo kuwa rahisi kwa hao majini kumuingia mwanadamu na kuleta dhohari ndani ya nyumba.
(3). KWANINI ASILIMIA KUBWA YA WATU WENGI WANAOIJUA DINI HUWA WANAKUWA NA ROHO MBAYA SANA ZILIZOJIFICHA?
KWa mujibu wa tafiti zangu nilizofanya kwa takribani miaka 10 iliyopita hasa kwa watu wanaozijua dini(WACHA MUNGU) nikianzia makazini, majumbani, na hata kwenye nyumba za ibada huwa wanakuwa na roho mbaya ambazo mpaka uwe na jicho kali sana ndio unaweza ukaziona wazi. Hadi Hii leo bado sijajua chanzo ni nini?
(4). KUSALIMIA VITU VISIVYOONEKANA
Hapa nitaenda moja kwa moja kwa ndugu zangu waislamu, huwa tunaambiwa kama unaishi kwenye nyumba yako ikatokea ukatoka ukaenda kwenye mihangaiko yako masalani asubuhi, ukirudi jioni basi wakati unaingia ndani kwako basi ni lazima utoe salamu(ASALAAM ALEIKUM). BADO NIPO NJIAPANDA
Najua wapo watakaokuja kunikejeli na kunirushia maneno ya kashfa na matusi lakini siku zote atafutae ukweli hachoki, hata akichoka keshapata. NAHITAJI UFAFANUZI KWENYE HAYA. Nawasilisha
1. Shukrani sana ndugu yangu kwa ufafanuzi mzuri sana hasa tukianzia kipengele cha kwanza cha NGURUWE hapo nimekuelewa na kama iyo haitoshi yupo bwana mmoja humu ni daktari wa binadamu amenifuata inbox na kunielezea kwa kina kwamba Nguruwe ni miongoni mwa wanyama wenye minyoo mingi sana kwenye miili yao yapata kufika Elfu moja na ushee ivyo sio vyema kumla.1. Uharamu wa NGURUWE umeanzia na sheria zilizowekwa na Mwenyezi Mungu tangu zama na zama, na hii ni kutokana na uumbaji wake, katika sheria hiyo sio NGURUWE pekee aliyeharamishwa, wapo pia SIMBA, CHUI, NYANI nk. Uharamu wao uko kwenye vimelea walivyoumbwa navyo ambavyo husababisha magonjwa mengi.
Mf. UARABUN vs ULAYA utaona wazi ni wapi kuna magonjwa mengi makubwa makubwa na ya ajabu, hii ni kutokana na aina ya vyakula ambavyo kiasili Mungu alizuia kwa umoja wake.
2. KUONGEA CHOONI, kwamba lazima ujue, iwe umekubali au umekataa ila UJUE CHOONI ni sehemu pendwa ya MAJINI. Hivyo unashauriwa usipende kuongea kwa maana unaweza jikuta unaongea nao mwisho upate mshtuko nk.
NB chunguza wale wanaoanguka chooni wengi wao hufariki au kupata stroke.
Kwa waislam wao wamepewa na Dua ya kuingilia chooni sambamba na kutanguliza mguu wa KUSHOTO ili kudhibiti hizo hali.
3. WATU WANAOIJUA DINI. Hapa ni tabia ya Mtu na wala sio wote, mfano Mashekhe wengi (waislam wengi wanaoijua Dini) wana roho nzuri sana.
Mfano angalia tawala za nchi yetu kati ya Waislam na Ukristo utapata majibu sahihi kabisa.
WAISLAM wakiishika dini hata Nusu tu basi 80% wanafanya mambo kwa hofu ya Mungu.
4. KUSALIMIA USICHOKIONA, hapa umeelewa vibaya, ni kwamba kwa Waislam wao katila taratibu zao kila kitu unapaswa kumtanguliza Mungu, hakuna sehemu wamesema utamke Asalam Alykum HAPANA, waislam hutumia Neno BISMILLAH RAHMAN RAHIM (Unaanza kwa Jina la Mwenyezi Mungu mwingi wa Rehema) hapa ukimtaguliza yeye akuwekee njia sahihi.
Kama lengo lako ni kujifunza utaelewa kama ni kejeli basi hutoelewa.
Hapo kwenye Majini lazima uelewe kuwa moja ya makazi pendwa ya majini ni Chooni pia. Na lazim ujue MAJINI pia ni viumbe kama tulivyo sisi, ila wao uumbwaji wao sio wa kuonekana kirahisi au muda wote.1. Shukrani sana ndugu yangu kwa ufafanuzi mzuri sana hasa tukianzia kipengele cha kwanza cha NGURUWE hapo nimekuelewa na kama iyo haitoshi yupo bwana mmoja humu ni daktari wa binadamu amenifuata inbox na kunielezea kwa kina kwamba Nguruwe ni miongoni mwa wanyama wenye minyoo mingi sana kwenye miili yao yapata kufika Elfu moja na ushee ivyo sio vyema kumla.
2. Kuhusu kipengele cha pili bado kiu ya swali langu haijakwisha hasa kutokana na hicho unachosema bado haileti mantiki kutokana na kama kweli majini wangekuwa wanakaa chooni basi wangeshavamia watu wengi hasa kutokana na utaratibu watu wengine kuacha milango wazi.
Pia kuhusu ishu za kuanguka naweza kusema asili ya chooni ni sehemu yenye utelezi na inayokuwa na maji maji muda mwingi kutokana na shughuli zake zinazofanyika huko kama vile kujisaidia na kuoga ivyo huenda mtu akaanguka kutokana na mojawapo ya ivyo vyanzo nilivyovitaja.
3. Hapa kwenye namba tatu kila mtu na mtazamo wake, hapo ni sawa na kuchora namba 6 kwa upande wangu mimi nikaona 6 lakini kwa upande wako ukaona namba 9 hivyo basi napenda kuheshimu mtazamo wako lakini kwangu HAPANA.
4. Kwa kumalizia kwenye namba nne nimekuelewa vizuri na jambo la kheri kumtanguliza muumba wetu kwa kila jambo. Inshallah Mwenyezi Mungu Akuzidishie Kwa Hiki Ulichonifafanulia.
Kiafya Wataalamu wanasema nyama yake ina minyoo mingi inayohatarisha afya ya mlajiKwanza kabisa ningependa niwasalimu kwa jina la jamhuri wa muungano wa Tanzania ndugu zangu wa jukwaa hili mahsusi huku lengo kubwa likiwa ni kupashana habari mbalimbali na kubadilishana mawazo yanayoweza kutufungua na kuleta tija zaidi kwenye jamii inayotuzunguka.
Kwanza kabisa ningependa nieleweke kwamba dhumuni la kuja na huu uzi sio kwa ajili ya kudhihaki imani za watu fulani HAPANA!!, bali ni kuhitaji ufafanuzi wa kina na kupata majibu sahihi ya haya maswali yangu. Pasipo kupoteza muda twende moja kwa moja kwenye mada husika.
(1). UHARAMU WA KULA NGURUWE:
Nimekuwa nikiwaza kuhusiana na huyu kiumbe aliyeumbwa na Mwenyezi Mungu na kuletwa hapa Duniani kama vile vilivyo viumbe wengine wa angani, baharini, na nchi kavu iweje aharamishwe? au kuna vitimbi alishawahi kuwafanyia baadhi ya watu kipindi cha nyuma na kupelekea kuwa chanzo cha yeye kuwa Haramu?
Huko kuna mashetwani yenye nguvu na hatari kabisa yanaitwa khubthi na mwenzie khabaith(2). KWANINI HAIRUHUSIWI KUZUNGUMZA UKIWA CHOONI?
Zipo baadhi ya dini ambazo ukifuatilia mafundisho yake yanakataza kabisa kuzungumza ukiwa chooni, kupiga mswaki na kusukutua kwenye tundu la choo, kama iyo haitoshi wakaenda mbele zaidi na kudai kwamba chooni ni moja ya maskani ya majini wa shari.
Hapa nikajiuliza vipi kwa wale waliopanga chumba kimoja na choo ndani al-maarufu kama MASTER inakuaje? Maana kuna nyakati nyingine unaweza ukajisahau kufunga mlango wa choo ivyo kuwa rahisi kwa hao majini kumuingia mwanadamu na kuleta dhohari ndani ya nyumba.
Hao ni washenzi wanaotumia dini kuficha ushenzi wao(3). KWANINI ASILIMIA KUBWA YA WATU WENGI WANAOIJUA DINI HUWA WANAKUWA NA ROHO MBAYA SANA ZILIZOJIFICHA?
KWa mujibu wa tafiti zangu nilizofanya kwa takribani miaka 10 iliyopita hasa kwa watu wanaozijua dini(WACHA MUNGU) nikianzia makazini, majumbani, na hata kwenye nyumba za ibada huwa wanakuwa na roho mbaya ambazo mpaka uwe na jicho kali sana ndio unaweza ukaziona wazi. Hadi Hii leo bado sijajua chanzo ni nini?
Waislam tunaamini hapa duniani tunaishi viumbe wengi sana na majumbani kote huingia malaika huingia majini(4). KUSALIMIA VITU VISIVYOONEKANA
Hapa nitaenda moja kwa moja kwa ndugu zangu waislamu, huwa tunaambiwa kama unaishi kwenye nyumba yako ikatokea ukatoka ukaenda kwenye mihangaiko yako masalani asubuhi, ukirudi jioni basi wakati unaingia ndani kwako basi ni lazima utoe salamu(ASALAAM ALEIKUM). BADO NIPO NJIAPANDA
Nimekupa kwa kadri nilivyojaaliwa mkuuNajua wapo watakaokuja kunikejeli na kunirushia maneno ya kashfa na matusi lakini siku zote atafutae ukweli hachoki, hata akichoka keshapata. NAHITAJI UFAFANUZI KWENYE HAYA. Nawasilisha
Mkuu fatilia watu wanaoanguka wakiwa chooni ni wangapi hupona???1. Shukrani sana ndugu yangu kwa ufafanuzi mzuri sana hasa tukianzia kipengele cha kwanza cha NGURUWE hapo nimekuelewa na kama iyo haitoshi yupo bwana mmoja humu ni daktari wa binadamu amenifuata inbox na kunielezea kwa kina kwamba Nguruwe ni miongoni mwa wanyama wenye minyoo mingi sana kwenye miili yao yapata kufika Elfu moja na ushee ivyo sio vyema kumla.
2. Kuhusu kipengele cha pili bado kiu ya swali langu haijakwisha hasa kutokana na hicho unachosema bado haileti mantiki kutokana na kama kweli majini wangekuwa wanakaa chooni basi wangeshavamia watu wengi hasa kutokana na utaratibu watu wengine kuacha milango wazi.
Pia kuhusu ishu za kuanguka naweza kusema asili ya chooni ni sehemu yenye utelezi na inayokuwa na maji maji muda mwingi kutokana na shughuli zake zinazofanyika huko kama vile kujisaidia na kuoga ivyo huenda mtu akaanguka kutokana na mojawapo ya ivyo vyanzo nilivyovitaja.
3. Hapa kwenye namba tatu kila mtu na mtazamo wake, hapo ni sawa na kuchora namba 6 kwa upande wangu mimi nikaona 6 lakini kwa upande wako ukaona namba 9 hivyo basi napenda kuheshimu mtazamo wako lakini kwangu HAPANA.
4. Kwa kumalizia kwenye namba nne nimekuelewa vizuri na jambo la kheri kumtanguliza muumba wetu kwa kila jambo. Inshallah Mwenyezi Mungu Akuzidishie Kwa Hiki Ulichonifafanulia.