simba imeonewa, ingefaa hiyo M5 alipishwe huyo refa aliye sababisha mashabiki wangoe vitiHivi haya makundi ya wahuni ni nani anaye yaendekeza? Hebu jionee uharibifu wa Viti katika uwanja wa Taifa DSM wakati wa mchezo wa Yanga na Simba.
Huu uhuni na wahuni wahusika wanapaswa wachukuliwe hatua stahiki. Haiwezekani mali ya Taifa inaharibiwa kiasi hiki, Ikumbukwe kuwa hii tabia si Mara ya kwanza kujitokeza.
Hivyo Mamlaka zikishindwa kuchukua hatua stahiki wajue kuwa ipo siku hili litatojea tenaView attachment 410423View attachment 410424View attachment 410425View attachment 410426
Tanzania ina watu wengi wa ajabu ajabu, ustaarabu ni kitu kinachowashinda wengi.
Kwa hiyo unahalalisha upuuuzi??Vurugu Mchezoni zipo Dunia nzima tatizo lako si mfuatiliaji. Egypt watu walilete Usengerema Kama huu watu wakauana, Congo, Ghana kote the same story!
unatakiwa walaumiwe waamuzi ambao ni chanzo cha tatizo sio mashabikiHivi haya makundi ya wahuni ni nani anaye yaendekeza? Hebu jionee uharibifu wa Viti katika uwanja wa Taifa DSM wakati wa mchezo wa Yanga na Simba.
Huu uhuni na wahuni wahusika wanapaswa wachukuliwe hatua stahiki. Haiwezekani mali ya Taifa inaharibiwa kiasi hiki, Ikumbukwe kuwa hii tabia si Mara ya kwanza kujitokeza.
Hivyo Mamlaka zikishindwa kuchukua hatua stahiki wajue kuwa ipo siku hili litatojea tenaView attachment 410423View attachment 410424View attachment 410425View attachment 410426
Roho mbaya aijengi, vurugu zipo duniani kote, fatilia mechi za America ya kusini sehemu zenyewe zenye wahuni.Simba inyang'anywe point 6 na icheze mechi 10 bila mashabiki mechi zake za nyumbani, huu ni upumbavu wa hali ya juu!!
Ndiye alitoa order wang'oe viti? Basi sawa.Vitu vingine vinakera sana, viti hivi anatakiwa kulipa refa wa mchezo
Ikiwa ni pamoja,na refaTanzania ina watu wengi wa ajabu ajabu, ustaarabu ni kitu kinachowashinda wengi.