Uharibifu wa viti zaidi ya 200 uwanja wa Taifa DSM wakati wa mchezo wa Yanga na Simba

lil wayne

JF-Expert Member
Joined
Apr 15, 2016
Posts
992
Reaction score
904
Hivi haya makundi ya wahuni ni nani anaye yaendekeza? Hebu jionee uharibifu wa Viti katika uwanja wa Taifa DSM wakati wa mchezo wa Yanga na Simba.

Huu uhuni na wahuni wahusika wanapaswa wachukuliwe hatua stahiki. Haiwezekani mali ya Taifa inaharibiwa kiasi hiki, Ikumbukwe kuwa hii tabia si Mara ya kwanza kujitokeza.

Hivyo Mamlaka zikishindwa kuchukua hatua stahiki wajue kuwa ipo siku hili litatojea tena
 
simba imeonewa, ingefaa hiyo M5 alipishwe huyo refa aliye sababisha mashabiki wangoe viti
 
Ningekuwa mm natoa adhabu basi ningempa adhabu hiyo refa haiwezekani goli la ukweli la ajibu anasema sio goli,goli la tambwe la mkono wa wazi kabisa anasema goli unategema nn kitatokea kwa mechi kubwa kama hii
 
Vurugu Mchezoni zipo Dunia nzima tatizo lako si mfuatiliaji. Egypt watu walilete Usengerema Kama huu watu wakauana, Congo, Ghana kote the same story!
Kwa hiyo unahalalisha upuuuzi??
 
unatakiwa walaumiwe waamuzi ambao ni chanzo cha tatizo sio mashabiki
 
Mijitu hii jangwani ndo size yao,na mafuriko hayaaa,sawa kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…