Bangi mbaya sana! Hivi tangu lini vilabu vikachagua refa wa kuchezesha mechi....Haina ubishi iyo..uyu sanya cjui saanya akalime ndizi uko kwao au akachezeshe ndondo shenzi kabisa
Hivi haya makundi ya wahuni ni nani anaye yaendekeza? Hebu jionee uharibifu wa Viti katika uwanja wa Taifa DSM wakati wa mchezo wa Yanga na Simba.
Huu uhuni na wahuni wahusika wanapaswa wachukuliwe hatua stahiki. Haiwezekani mali ya Taifa inaharibiwa kiasi hiki, Ikumbukwe kuwa hii tabia si Mara ya kwanza kujitokeza.
Hivyo Mamlaka zikishindwa kuchukua hatua stahiki wajue kuwa ipo siku hili litatojea tenaView attachment 410423View attachment 410424View attachment 410425View attachment 410426
Kama kuna mtu mwenye clip ya goli la Tambwe aweke hapa kama ushahidi
Eti goli la mkono, simba ni kawaida yao hawashangazi.
Haya majitu hamnazo kweli,mara ngapi refa anafanya ujinga kwa yanga na wala hawakuwahi kufanya huu upuuzi?kuna yule refa mwanamke sitamsahau alichokifanya ila huwezi kukuta mtu wa yanga anafanya upuuzi kama huo,hii timu ni ya watu wasio na akili.
Siku nyingine refa akileta ujinga tutaenda pale katikati kwenye pitch zile nyasi zote tutazilima....tff wanatakiwa kuacha upuuzi wasimamie soka sio wanaleta fitna..
Wawe wanaangalia South American soccer, km Argentina. Wale River plate v BOCA, kisingebaki kitu.
Kitendo cha wachezaji na washabiki wa Simba kuleta vurugu uwanjani hakivumiliki Simba inatakiwa washushwe daraja au wafungiwe kujihusisha na soka kwa mwaka mmoja iwe fundisho kwa wengine
Baada yakushika na mkono ndipo alipofunga.Kama kuna mtu mwenye clip ya goli la Tambwe aweke hapa kama ushahidi
Eti goli la mkono, simba ni kawaida yao hawashangazi.
Kama kuna mtu mwenye clip ya goli la Tambwe aweke hapa kama ushahidi
Eti goli la mkono, simba ni kawaida yao hawashangazi.
Kandabili mnabebwa mno Angalia goli la Ajibu re
Goli kama lile si Mara ya kwanza kufungwa hapa DUNIANI......
Diego Armando MARADONAAA alishawahi kufunga bao la Mkono wa Mungu....!
Thierry Henry alishawahi kufunga bao la Mkono wa Mungu.....!
Haya mambo ni adimu sana. Huwa wanafanya wachezaji wakubwa sana, na wale wenye uwezo ulio tukuka.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] magolii tena..!Huyu nae vipi!?Kwani viti vimekua roho vikitoka havirudi! Tutalipa ila sms imefika next time ujinga kama huu tunaondoka na magoli
Maridadi kabisa! Haya mabao ni adimu sana Ulimwenguni.....Baada yakushika na mkono ndipo alipofunga.View attachment 410673
Unataka makao makuu ya tff pabakie kifusi tu paleSimba inyang'anywe point 6 na icheze mechi 10 bila mashabiki mechi zake za nyumbani, huu ni upumbavu wa hali ya juu!!
Inatakiwa Tambwe afungiwe kwa kosa la kumdanganya muamuzi.Maridadi kabisa! Haya mabao ni adimu sana Ulimwenguni.....
Tambwe alinikumbusha mbali sana.... Yaani enzi za MARADONAAA...
Bila kusahau Thierry Henry naye. Yani Tambwe anaendelea kuvinja rekodi kalikali za Magwiji wa soka ulimwenguni...
Hilo goli mmoja amekupiga wewe nn? Mbona umelisifia sabaTambwe mtu mbaya sana, kagoli kamoja tu viti kwachukwachu. Siye tulimiminwa 5 na hatukurusha hata chupa. Mjifunze ustaarabu wa matopeni, haya lipeni fine na mabomu juu...