Uharibifu wa viti zaidi ya 200 uwanja wa Taifa DSM wakati wa mchezo wa Yanga na Simba

Uharibifu wa viti zaidi ya 200 uwanja wa Taifa DSM wakati wa mchezo wa Yanga na Simba

YANGA walivyoharibu viti ile mechi ya kuingia bure...walichukuliwa hatua gani? Ni vizuri sheria ilivyokata kotekote maana sheria ni msumeno!!!
 
Haya sasa Nnape Nauye ameshapiga marufuku hakuna mechi za Simba na Yanga kwenye uwanja huu tu mbavu zetu, huu ni ushamba kuharibu mali
 
1475403615903.jpg
 
Viti tutalipa ila hatutakagi ujinga sisi, ilikuwa ni njia ya kupeleka ujumbe!
 
Haya sasa Nnape Nauye ameshapiga marufuku hakuna mechi za Simba na Yanga kwenye uwanja huu tu mbavu zetu, huu ni ushamba kuharibu mali
Nape naye kakurupuka,hizi division four hiz ni shida,huo uwanja kazi yake nn sasa? Wangeweza kuwaadhibu kucheza bila mashabiki mechi kadhaaa au msimu mzima.huko kwingine viti haviwezi kuvunjwa?
 
Yote haya ni magoli tena la maradona ni la mkono haswaa halingoji reply
1475415672387.jpg
1475415678487.jpg
1475415689149.jpg
 
Turning aliyoifanya tambwe akiwa nampira na eneo refa alipokuwa hata ungekuwa wewe na darubini zako usingeona
 
UWEZO WA TAMBWE:

Mfungaji bora wa LigiKuu Tanzania Bara mara 2.

Anaifunga Simba SC kila wakati anao kutana nao.

Anafunga Mabao adimu zaidi ulimwenguni.
Bao la MKONO WA MUNGU.
(Hii aliweza Maradona pekee)

Kabeba ubingwa mara nyingi kuliko mchezaji wowote yule wa Simba SC hivi sasa.

Jamaa ni starter asiye na mbadala wa kulinganishwa naye BURUNDI NATIONAL TEAM.

Mengine Muulize mkeo huenda akawa anayajua machane ambayo sijayaandika.
Mke wangu unaweza kuwa ata wewe.
 
Back
Top Bottom