Uhasama wa Mbowe na Ndugai ulianzia Kibaha Secondary

Watoto wa dotcom hawawezi kukuelewa, tuliosoma enzi hizo ilikuwa ni fedheha kusoma private schools. Labda IST lakini si hizi Shaaban Robert au Mzizima. Shule tumesoma na watoto wa cream yote ya viongozi wa nchi.
 
Reactions: RMC
Kiumri Ndugai amemzidi Mbowe nadhani kwa mwaka mmoja au miwili kama kumbukumbu zangu ziko sahihi, yaani kama wangekulia mtaa mmoja ingekuwa wamecheza pamoja.
 
Kama ofisi ya CAG ina watu wenye akili ndogo kama zako basi twafa, tutakuwa na bahati mbaya sana kama taifa
Kama unatumia akili faster hivi Kwa kutumia social media comments za avatars basi kazi ipo

Wewe ni zaidi ya ramli
 
Wewe umekurupuka.
Ndugai, nyalandu na hao kina kikwete wamepita kibaha wakiwa O level na 1 wapo NI class mate wangu na hata kwenye group la mwaka wetu yupo
 
Chai
 
Hili nalo ni jipya😎
Mpaka December tunakamilisha kitabu
 
Hao wote walikuwa Maskini tu

Mbowe Hotel au Billicanas ilikuwa Nyumba ya NHC kama yalivyo Makao makuu ya Chadema

Sasa Ndio Tajiri huyo?
Mkuu usibishe. Baba yake Mbowe, Mzee Aikaeli alikuwa tajiri kabla hata ya uhuru. Aishi Hotel ni mojawapo ya hoteli kongwe ya kitalii kanda ya kaskazini. Ilimilikiwa na huyo mzee.
 
Punguza mauongo we nae, huoni hata aibu kuandika kitu usichokua nacho na ushahidi.
 
Wewe umekurupuka.
Ndugai, nyalandu na hao kina kikwete wamepita kibaha wakiwa O level na 1 wapo NI class mate wangu na hata kwenye group la mwaka wetu yupo
Wewe ndio mkurupukaji ijapokuwa ni kweli huyo JK wako alisoma O level hapo Kibaha kwa masomo ya biashara ambapo alimaliza mwaka 1969 kisha akaenda Tanga technical school kwa taasusi ya HGE (masomo ya wavivu wa ubongo).
 
Introduction umepatia,

hiyo ya kitabu ndo umefunga kamba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…