Uhasama wa Mbowe na Ndugai ulianzia Kibaha Secondary

Uhasama wa Mbowe na Ndugai ulianzia Kibaha Secondary

Hawa miamba walijuana Kibaha Secondary.

Enzi hizo baba yake Freeman akiwa tycoon mkubwa sana nchini, alikuwa na mahotel Dar, Moshi na Arusha na alikuwa na ukaribu sana na baba wa Taifa mwalimu JK Nyerere.

Job Ndugai alitokea familia fukara kama watanzania wengi ila kichwani zilikwemo.

Kuna siku Job aliomba kitabu kwa Freeman akanyimwa ndio uhasama ukaanzia hapo,hicho kitabu alikuwa nacho Freeman peke yake shule nzima.
Job akiwa kibaha alikuwa anatumia surname tofauti na ilivyo sasa ebu aseme ukweli wote na mbowe pia asemee hili la utambulisho wa cheti Cha form four Cha ndugai majina yake
 
Hapakuwa na mtindo wa mwalimu kumfuata mwanafunzi kwenye quarter anayokaa kumkagua hiyo ilikuwa shuleya wanafunzi wenye vipaji maalum kwa hiyo usipoteze muda kudanganya wana jukwaa ambao hawakuwahi kusoma hapo. Acha uongo wako kabisa na usirudie
Usiwe mbishi kijana tuliza akili kwanza
 
mdukuzi koko wewe ni mzee halafu unashinda kwenye mtandao? jifunze unayoelimishwa na wajuvi na wamewahi kusoma hapo usijifanye mbobezi wakati huna lolote
Nani kasoma hapo au ni chawawa ndugai au ni ndugai mwenyewe
 
Hawa miamba walijuana Kibaha Secondary.

Enzi hizo baba yake Freeman akiwa tycoon mkubwa sana nchini, alikuwa na mahotel Dar, Moshi na Arusha na alikuwa na ukaribu sana na baba wa Taifa mwalimu JK Nyerere.

Job Ndugai alitokea familia fukara kama watanzania wengi ila kichwani zilikwemo.

Kuna siku Job aliomba kitabu kwa Freeman akanyimwa ndio uhasama ukaanzia hapo,hicho kitabu alikuwa nacho Freeman peke yake shule nzima.
Hapana.

Kutakuwa kuna sababu nyingine. Umetafuta urahisi tu ili ulete mada yako hapa!

Aha! Kumbe ni mada toka kwa mkuu 'mdukuzi'?

Basi sawa!
 
Nakumbuka tukiwa kidato cha tano pale Ihungo sekondari Mh. Mbowe alikuwa kidato cha sita, wote tukiwa tunakaa Bweni la Mt. Meru kama sikosei.

Shule nzima nakumbula Mh. Mbowe ndo alikua mwanafunzi anapanda ndege kurudi kutoka likizo.

Mambo yalikuwa moto sana, sasa sijui kama Mh. hakuacha kweli mfuasi kule BK make mambo yetu wananfunzi tulijichanganya sana.

Hii ya Mbowe kusoma na Ndugai ndo haileti picha sahihii, Mh. Ndugai ni mdogo sana ki umri kwa Mbowe.
 
Ndugai
Kibaha Sec 1978-1981 (O-level)

Mbowe
Kibaha Sec ?-? (O-level)

BTW, Ndugai ni mkubwa kwa Mbowe kwa umri wa mwaka mmoja.
 
Hawa miamba walijuana Kibaha Secondary.

Enzi hizo baba yake Freeman akiwa tycoon mkubwa sana nchini, alikuwa na mahotel Dar, Moshi na Arusha na alikuwa na ukaribu sana na baba wa Taifa mwalimu JK Nyerere.

Job Ndugai alitokea familia fukara kama watanzania wengi ila kichwani zilikwemo.

Kuna siku Job aliomba kitabu kwa Freeman akanyimwa ndio uhasama ukaanzia hapo,hicho kitabu alikuwa nacho Freeman peke yake shule nzima.
Huyo Ndungai unayesema kichwani zilikuwepo kidogo ni Ndugai gani??
 
Kama ofisi ya CAG ina watu wenye akili ndogo kama zako basi twafa, tutakuwa na bahati mbaya sana kama taifa
Nimeshiriki kuiandaa

We endelea na umbeya

Kuna siku utakuja na umbeya wa saizi za korodani za wanaume

Hebu focus kwenye maendeleo basi
 
Nakumbuka tukiwa kidato cha tano pale Ihungo sekondari Mh. Mbowe alikuwa kidato cha sita, wote tukiwa tunakaa Bweni la Mt. Meru kama sikosei.

Shule nzima nakumbula Mh. Mbowe ndo alikua mwanafunzi anapanda ndege kurudi kutoka likizo.

Mambo yalikuwa moto sana, sasa sijui kama Mh. hakuacha kweli mfuasi kule BK make mambo yetu wananfunzi tulijichanganya sana.

Hii ya Mbowe kusoma na Ndugai ndo haileti picha sahihii, Mh. Ndugai ni mdogo sana ki umri kwa Mbowe.
Ndugai na mbowe ni agemate wanapishana si zaidi ya miaka miwili mkuu fuatilia sema mgogo yule ana dongo zuri azeeki
 
Hawa miamba walijuana Kibaha Secondary.

Enzi hizo baba yake Freeman akiwa tycoon mkubwa sana nchini, alikuwa na mahotel Dar, Moshi na Arusha na alikuwa na ukaribu sana na baba wa Taifa mwalimu JK Nyerere.

Job Ndugai alitokea familia fukara kama watanzania wengi ila kichwani zilikwemo.

Kuna siku Job aliomba kitabu kwa Freeman akanyimwa ndio uhasama ukaanzia hapo,hicho kitabu alikuwa nacho Freeman peke yake shule nzima.

Yaani uhasama uanze sababu ya kunyimwa kitabu?Watz ni watu waongo mno![emoji85][emoji85][emoji85]

Uhasama wao ulianza pale Ndugai alipokuwa compromised na Magu na kulifanya Bunge kama ndondocha wa Magu kwa kulitumia kukandamiza wapinzani
 
Back
Top Bottom