Uhasama wa Mbowe na Ndugai ulianzia Kibaha Secondary

Uhasama wa Mbowe na Ndugai ulianzia Kibaha Secondary

Hawa miamba walijuana Kibaha Secondary.

Enzi hizo baba yake Freeman akiwa tycoon mkubwa sana nchini, alikuwa na mahotel Dar, Moshi na Arusha na alikuwa na ukaribu sana na baba wa Taifa mwalimu JK Nyerere.

Job Ndugai alitokea familia fukara kama watanzania wengi ila kichwani zilikwemo.

Kuna siku Job aliomba kitabu kwa Freeman akanyimwa ndio uhasama ukaanzia hapo,hicho kitabu alikuwa nacho Freeman peke yake shule nzima.
Ni kweli kabisa kwa Job Ndugai. Naskia alikuwa kipanga hatariiii very bright genius. Alikuwa mkufunzi wa aina yake. Lakini ndo hivyo tena CCM ni laana ni kuaribu tu vipaji kama walivyofanya kwa Kabudi.
 
Hawa miamba walijuana Kibaha Secondary.

Enzi hizo baba yake Freeman akiwa tycoon mkubwa sana nchini, alikuwa na mahotel Dar, Moshi na Arusha na alikuwa na ukaribu sana na baba wa Taifa mwalimu JK Nyerere.

Job Ndugai alitokea familia fukara kama watanzania wengi ila kichwani zilikwemo.

Kuna siku Job aliomba kitabu kwa Freeman akanyimwa ndio uhasama ukaanzia hapo,hicho kitabu alikuwa nacho Freeman peke yake shule nzima.
Mbowe NI aluminium wa kibaha?
 
Kitabu Cha mbowe😂
FB_IMG_16801914913671727.jpg
 
Hawa miamba walijuana Kibaha Secondary.

Enzi hizo baba yake Freeman akiwa tycoon mkubwa sana nchini, alikuwa na mahotel Dar, Moshi na Arusha na alikuwa na ukaribu sana na baba wa Taifa mwalimu JK Nyerere.

Job Ndugai alitokea familia fukara kama watanzania wengi ila kichwani zilikwemo.

Kuna siku Job aliomba kitabu kwa Freeman akanyimwa ndio uhasama ukaanzia hapo,hicho kitabu alikuwa nacho Freeman peke yake shule nzima.
Tatizo Wagogo kuomba omba ni sawa na sala
 
Watoto wa Matajiri walisoma Shaban Robert

Kama Mbowe na Ndugai walisoma pamoja basi wote walikuwa mafukara

Tutajie hizo hotel basi!
Sio wote walisoma Shaaban Robert. Nilisoma Kibaha Sec enzi hizo kweli kulikuwa na watoto wa vigogo. Unakuta Baraza karibia lote la Mawaziri watoto walikuwa pale. Enzi hizo kwenda private mpaka uwe umefeli maana mpk wahindi tulikuwa nao
 
Huyo mataga mshamba tu, ni wa kupuuzwa.
Ww ni mtu wa ajabu sana,Rudi kwenye mada,Nyerere alikuwa na uwezo wa kupeleka watoto wake wakasomee ulaya au America achana na Shaaban Robert School.
Alikuwa na uwezo watoto wake waishi Masaki na hakuna mtu angemfanya kitu,
Utajiri ni nini?
Ni kuwa na uwezo wa kumiliki au kumiliki mali,
Mo Dewji akivaa kaptula na kandamboli leo utamuita masikini
 
Sio wote walisoma Shaaban Robert. Nilisoma Kibaha Sec enzi hizo kweli kulikuwa na watoto wa vigogo. Unakuta Baraza karibia lote la Mawaziri watoto walikuwa pale. Enzi hizo kwenda private mpaka uwe umefeli maana mpk wahindi tulikuwa nao
Kikwete mwenyewe kasoma hapo na kijana wake kasoma hapo kipindi baba yake ni Rais,
 
Hawa miamba walijuana Kibaha Secondary.

Enzi hizo baba yake Freeman akiwa tycoon mkubwa sana nchini, alikuwa na mahotel Dar, Moshi na Arusha na alikuwa na ukaribu sana na baba wa Taifa mwalimu JK Nyerere.

Job Ndugai alitokea familia fukara kama watanzania wengi ila kichwani zilikwemo.

Kuna siku Job aliomba kitabu kwa Freeman akanyimwa ndio uhasama ukaanzia hapo,hicho kitabu alikuwa nacho Freeman peke yake shule nzima.
Maskini kawaida wana roho mbaya sana, mfikirie Magufuli
 
Sasa kipi kilikuja kuziondoa hizo akili za Job na Mbowe kupata akili zaidi ya Job?
Wako vile vile kama zamani; mengine ni ujinga na matazamo wako tu kwa sababu hatujasikia Mungu kaumba watu wengine hivi karibuni
 
Back
Top Bottom