TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 28,186
- 15,549
Nimeshiriki kuiandaaKasome ripoti ya CAG kwanza mkuu
We endelea na umbeya
Kuna siku utakuja na umbeya wa saizi za korodani za wanaume
Hebu focus kwenye maendeleo basi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeshiriki kuiandaaKasome ripoti ya CAG kwanza mkuu
Achaga upumbavu basiSiku tulipochagua spika mgogo tulizika ndoto nyingi sana za taifa hili.
Ni kweli kabisa kwa Job Ndugai. Naskia alikuwa kipanga hatariiii very bright genius. Alikuwa mkufunzi wa aina yake. Lakini ndo hivyo tena CCM ni laana ni kuaribu tu vipaji kama walivyofanya kwa Kabudi.Hawa miamba walijuana Kibaha Secondary.
Enzi hizo baba yake Freeman akiwa tycoon mkubwa sana nchini, alikuwa na mahotel Dar, Moshi na Arusha na alikuwa na ukaribu sana na baba wa Taifa mwalimu JK Nyerere.
Job Ndugai alitokea familia fukara kama watanzania wengi ila kichwani zilikwemo.
Kuna siku Job aliomba kitabu kwa Freeman akanyimwa ndio uhasama ukaanzia hapo,hicho kitabu alikuwa nacho Freeman peke yake shule nzima.
Mbowe NI aluminium wa kibaha?Hawa miamba walijuana Kibaha Secondary.
Enzi hizo baba yake Freeman akiwa tycoon mkubwa sana nchini, alikuwa na mahotel Dar, Moshi na Arusha na alikuwa na ukaribu sana na baba wa Taifa mwalimu JK Nyerere.
Job Ndugai alitokea familia fukara kama watanzania wengi ila kichwani zilikwemo.
Kuna siku Job aliomba kitabu kwa Freeman akanyimwa ndio uhasama ukaanzia hapo,hicho kitabu alikuwa nacho Freeman peke yake shule nzima.
Ukiwa CCM marufuku kumzidi akili mwenyekiti wa chamaNi kweli kabisa kwa Job Ndugai. Naskia alikuwa kipanga hatariiii very bright genius. Alikuwa mkufunzi wa aina yake. Lakini ndo hivyo tena CCM ni laana ni kuaribu tu vipaji kama walivyofanya kwa Kabudi.
Tatizo Wagogo kuomba omba ni sawa na salaHawa miamba walijuana Kibaha Secondary.
Enzi hizo baba yake Freeman akiwa tycoon mkubwa sana nchini, alikuwa na mahotel Dar, Moshi na Arusha na alikuwa na ukaribu sana na baba wa Taifa mwalimu JK Nyerere.
Job Ndugai alitokea familia fukara kama watanzania wengi ila kichwani zilikwemo.
Kuna siku Job aliomba kitabu kwa Freeman akanyimwa ndio uhasama ukaanzia hapo,hicho kitabu alikuwa nacho Freeman peke yake shule nzima.
Sio wote walisoma Shaaban Robert. Nilisoma Kibaha Sec enzi hizo kweli kulikuwa na watoto wa vigogo. Unakuta Baraza karibia lote la Mawaziri watoto walikuwa pale. Enzi hizo kwenda private mpaka uwe umefeli maana mpk wahindi tulikuwa naoWatoto wa Matajiri walisoma Shaban Robert
Kama Mbowe na Ndugai walisoma pamoja basi wote walikuwa mafukara
Tutajie hizo hotel basi!
Ww ni mtu wa ajabu sana,Rudi kwenye mada,Nyerere alikuwa na uwezo wa kupeleka watoto wake wakasomee ulaya au America achana na Shaaban Robert School.
Alikuwa na uwezo watoto wake waishi Masaki na hakuna mtu angemfanya kitu,
Utajiri ni nini?
Ni kuwa na uwezo wa kumiliki au kumiliki mali,
Mo Dewji akivaa kaptula na kandamboli leo utamuita masikini
Kikwete mwenyewe kasoma hapo na kijana wake kasoma hapo kipindi baba yake ni Rais,Sio wote walisoma Shaaban Robert. Nilisoma Kibaha Sec enzi hizo kweli kulikuwa na watoto wa vigogo. Unakuta Baraza karibia lote la Mawaziri watoto walikuwa pale. Enzi hizo kwenda private mpaka uwe umefeli maana mpk wahindi tulikuwa nao
Maskini kawaida wana roho mbaya sana, mfikirie MagufuliHawa miamba walijuana Kibaha Secondary.
Enzi hizo baba yake Freeman akiwa tycoon mkubwa sana nchini, alikuwa na mahotel Dar, Moshi na Arusha na alikuwa na ukaribu sana na baba wa Taifa mwalimu JK Nyerere.
Job Ndugai alitokea familia fukara kama watanzania wengi ila kichwani zilikwemo.
Kuna siku Job aliomba kitabu kwa Freeman akanyimwa ndio uhasama ukaanzia hapo,hicho kitabu alikuwa nacho Freeman peke yake shule nzima.
Aluminium ya wapi 😆Mbowe NI aluminium wa kibaha?
Eti Rais wa masikini. PumbavuMaskini kawaida wana roho mbaya sana, mfikirie Magufuli
Jamani nimecheka kama mazuri vile.. 😂😂😂Ukiwa CCM marufuku kumzidi akili mwenyekiti wa chama
Wako vile vile kama zamani; mengine ni ujinga na matazamo wako tu kwa sababu hatujasikia Mungu kaumba watu wengine hivi karibuniSasa kipi kilikuja kuziondoa hizo akili za Job na Mbowe kupata akili zaidi ya Job?