Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nadhani hata vigezo vya utajiri huvijui!Ww ni mtu wa ajabu sana,Rudi kwenye mada,Nyerere alikuwa na uwezo wa kupeleka watoto wake wakasomee ulaya au America achana na Shaaban Robert School.
Alikuwa na uwezo watoto wake waishi Masaki na hakuna mtu angemfanya kitu,
Utajiri ni nini?
Ni kuwa na uwezo wa kumiliki au kumiliki mali,
Mo Dewji akivaa kaptula na kandamboli leo utamuita masikini
Jumaa kareemHebu kalale kwanza tajiri
Umesema vizuri- NI MWEUPE na matokeoa yake ya kidato cha sita ni ushahidi toshaSijaelewa! Ndugai katoka familia fukara ila kichwani zimo. Ina maana huyo mwingine katoka familia tajiri ila kichwani ni mweupe?
Uyo mwingine nchi tegemeziiSijaelewa! Ndugai katoka familia fukara ila kichwani zimo. Ina maana huyo mwingine katoka familia tajiri ila kichwani ni mweupe?
Nini kilitokea baada ya kutumia Kitabu hicho pekee shule nzima mwishoni mwa masomo Yao? Swali hili litakuwa na mantiki kama habari hii ni ya kweli.....hicho kitabu alikuwa nacho Freeman peke yake shule nzima....
Baada ya kumnyima kitabu mwenye kitabu akalamba zeroHawa miamba walijuana Kibaha Secondary.
Enzi hizo baba yake Freeman akiwa tycoon mkubwa sana nchini, alikuwa na mahotel Dar, Moshi na Arusha na alikuwa na ukaribu sana na baba wa Taifa mwalimu JK Nyerere.
Job Ndugai alitokea familia fukara kama watanzania wengi ila kichwani zilikwemo.
Kuna siku Job aliomba kitabu kwa Freeman akanyimwa ndio uhasama ukaanzia hapo,hicho kitabu alikuwa nacho Freeman peke yake shule nzima.
....ha ha hahahaha!!! Nimependa mtazamo wako kwenye hii hojaKwenye umbeya tu…. Tumo sana
Ikija maendeleo ndio tunaachia serikali pekee ili tupate umbeya zaidi
Baadae aliyelamba Zero akapata kazi BOT,akawa mbunge,mwenyekiti wa chama chake,mfanyabiashara,gaidi,na jana kaalikwa ikulu kula futari na Kamala Haris pamoja na Mama Samia.yule aliyelamba div one yupo Kongwa anaangalia watu wanafuturu ikulu via azam tvBaada ya kumnyima kitabu mwenye kitabu akalamba zero
USSR
Sasa kipi kilikuja kuziondoa hizo akili za Job na Mbowe kupata akili zaidi ya Job?Hawa miamba walijuana Kibaha Secondary.
Enzi hizo baba yake Freeman akiwa tycoon mkubwa sana nchini, alikuwa na mahotel Dar, Moshi na Arusha na alikuwa na ukaribu sana na baba wa Taifa mwalimu JK Nyerere.
Job Ndugai alitokea familia fukara kama watanzania wengi ila kichwani zilikwemo.
Kuna siku Job aliomba kitabu kwa Freeman akanyimwa ndio uhasama ukaanzia hapo,hicho kitabu alikuwa nacho Freeman peke yake shule nzima.
Vp siku Jiwe alipokuwa Rais ?Siku tulipochagua spika mgogo tulizika ndoto nyingi sana za taifa hili.
Ampe hata sasa yaishe.....Bora Mbowe angempa mwenzake kitabu tu[emoji16]
Kibaha ni special school.Sijaelewa! Ndugai katoka familia fukara ila kichwani zimo. Ina maana huyo mwingine katoka familia tajiri ila kichwani ni
Ila hii nchi ina vituko kweli kweli, mmoja alikuwa na PhD ya mchongo Ben akajaribu kufatilia ila ndiyo hivyo mpaka leo hakuna anayejua alikoBaada ya kumnyima kitabu mwenye kitabu akalamba zero
USSR