Kama wachungaji ndio awa wanaleta kwenye jamiii waumini kama nyie waongo waongo ndio mana nasema Bartazar kafutiwa zambi zote baada tu kula mke w mchungaji wake sababu ni mchungaji alitakiwa kumfanya Bartazar asiwe na pepo la ngono na kudhingatia Bartazar alikuwa akitoa SADAKA nono apo kijiweni lkn akupata mlejesho kiasi sasa yupo matatani muumini wake!!! Uyu mchungaji akija tena Bartazar kuungama zsmbi zake kwake mchungaji ikiwa kweli mchungaji kifuani kwake ananeno la uponyajii basi anaweza kumuombeya iyo siku atatimiza kazi yake kisawasawa atsmkemea pepo chafu la ngono la Bartazar kwa sauti kubwa sijui iyo siku kama mchungaji akujambo!! ktk pilikapilika za kuneno kwa sauti kuuu akilini akiwaza ile picha ya mkewe na Bartazar daaa acha tuu iyu jamaa ivi nawaza watu wanajiuwa kisa kufamania au kuisi kusalitiwa sasa awa wenye wake zao uko mjuwe wameona kwenye video kabisaaa mkewe akichapwa ivi kama sisi uku naona vifo vingekuwa vingi adi leo. Inauma sana mtu waziri na bado mtu anakugongeya!!!! Hii kashfa kubwa sana mungu atuepushe nayo. Niwatakie asubui njema.