Uholanzi kutoruhusu wahamiaji kutoka Mashariki ya Kati kuigeuza Amsterdam kuwa Gaza ya Ulaya

Uholanzi kutoruhusu wahamiaji kutoka Mashariki ya Kati kuigeuza Amsterdam kuwa Gaza ya Ulaya

Taarifa ya siri ya CIA iliwahi kutamka kuwa baada ya kuvunjika kwa USSR, uislam ndio hatari kubwa kwa amani ya Dunia. Wengi tulipuuza, lakini sasa taratibu ukweli unaanza kuonekana. Fikiria wahamiaji wa kiarabu wamekwenda kujifadhi Ujerumani na Uingereza, leo wanaandamana wakitaka Ujerumani na Uingereza ziongozwe kwa shetia za kiislam, na siyo katiba ya nchi.

Hili ni angalizo. Nchi yoyote itakayokaribisha waarabu wengi, inajitengenezea hatari ya kupoteza amani yake siku za mbeleni.

Ni vema mataifa yakaweka sheria kali za wahamiaji wa kutoka nchi za kiarabu. Atakayeruhusiwa kutoka nchi hizo za kiarabu, awe amefanyiwa screening ya hali ya juu. Shida ya hawa watu, hata wakifadhiliwa ugenini, baada ya muda watataka kulazimisha jamii nyingine zifuate matakwa yao. Hawajui sheria wala katiba, na kuua kwao wamelifanya kuwa ndiyo suluhisho dhidi ya kila anayetofautiana nao. Taratibu mataifa ya Ulaya yataelewa kwa nini Waisrael wamewawekea sheria kali sana waarabu wa Palestine kuingia Israel. Kwenye yale mageti ya Israel, mwarabu akitaka kuingia Israel, wakati anahojiwa anatakiwa anyoshe mikono mbele au juu, akiingiza tu mkono mfukoni au akapeleka mkono kiononi, anawahiwa kwa risasi, kwa hofu kuwa huenda amejifunga bomu anataka kujilipua, au anataka kuchukua pisto au hata kisu. Hawa watu ni hatari kuliko hata black mamba.
 
ukweli ni kwamba waliowashambulia hao Israelis sio wapalestina na waarabu pekee kama mnavyokuza huo upuuzi, kinachofanyika Gaza ni ugaidi na ukatili uliopindukia kitu kinachopelekea watu kutoka jamii tofauti, utaifa, ukabila na hata dini tofauti kujenga chuki juu ya Israeli, Israeli inaua watoto kwa makusudi, wanaua wanawake kwa makusudi.

Acha wapigwe ili kusudi wapate akili na watambue nchi yao inachofanya Gaza haipendezi, wapeleke salamu kwa Netanyahu...
Hivi chanzo cha haya yote ni nini? Je, wanachofanyiwa mateka huko walipo zaidi ya mwaka mzima ni nn?

Sasa uivu hatusikii watu kijadili uvamizi wa Oktoba 2023 na mateka. Tunajadili Gaza na wanawake na watoto kama vile ni haki kwa wanaume kufa.

Israel inaua wanawake na watoto. Je, waliouawa 2023 Octoba 7, wote 1,200 walikuwa wanaume pekee?

Tuache unafiki.

Mauaji ya Palestine au Gaza hayakubariki sawa na mauaji wa Israel Oktoba 2023. Lakini hakuhalalishi wanamichezo wa Israel kushambuliwa. Hii inaashiria hawa jamaa wamedhibitiwa tu, wangekuwa na upenyo na nguvu wangeua wayahudi wote kushinda tunachokishuhudia pale Gaza leo.
 
Ukizunguzmia ukimbizi hao wayahudi ndio wanaongoza, USA wapo, Germany wapo, Russia wapo, China wapo, Africa wapo, kwanini na wao wasiende kwao? kabla ya WW2 Palestine ilikuwepo lakini wayahudi walikua bado ni wakimbizi... Cha ajabu msichokijua wayahudi wanwachukia waislamu sawa sawa na wanavyochukia ukristo, so next time usije kwenda Israel ukajua watakuchangamkia, wana desturi ya kuwatemea mate wakristo...

Mi sio muislamu, lakini wayahudi wanachofanya Gaza ni ukiukwaji wa haki za binadamu, Hata UN kwa aibu kubwa wamekiri kwamba Israeli inaua wananchi wa Gaza makusudi...


Wanaua watoto wadogo makusudi, walioleta vurugu Amsterdam sio waarabu pekee kama inavyosemwa, hata wazungu waliwashambulia hao wayahudi, nadhani ilikuwa ni message kwao kwaba wanachofanya hakipendezi...
View attachment 3147502
Safi sana
 
Acha wauwane mimi inanihusu nini? Sina undugu na waarabu wala sina undugu na waizraeli.

"MUNGU NA MASELA"
 
Nioneshe mahali palipoendelea baada ya uhamiaji wa waislamu
Kenya apo wasomali wadhitibi uchumu wa kenya uliza iyo Nairobi seem kwenye uchumu mkubwa nani wamiliki utaambiwa wasomali abishe uyo mkenya wenu wa kibera au ukunda mwandoni,wakenya kaziyao mkuu chuki kuimba kwaya kuvizia waimba kwaya kupiga propaganda za kiDini au ukabila akuna zaid kutwa kucha kazi ndio iyo sisi wengine atuna chuki za kidini tumezaiwa mahospitali ya kanisa atuoni msingi wa alakati mfanyazo zaid zinaleta chuki japo sio kwa atua kubwa ukoangalia wa wanaingia umu na na kutoka yumkini watu 1000 au wachache zaid ukitoa esabu ya wale wanaingia na kutoka na kuingia tena esabu itakuwa pengne watu mia 600 ktk milioni 60 mnatwanga maji kwenye kinu. Lkn kwakua amna kazi za kufanya mkaongepewa ndio kupigana na UISLAMU ndiouko kazi na iyendelee kila mtu na zigo lake. Akili kila mtu anazake. Mimi niwatakie kazi njema lkn Watanzania watabaki ndugu nyiwe amna uwezo w kuwafikia kwa idadi kama iyo 600 kati 60milion
 
ukweli ni kwamba waliowashambulia hao Israelis sio wapalestina na waarabu pekee kama mnavyokuza huo upuuzi, kinachofanyika Gaza ni ugaidi na ukatili uliopindukia kitu kinachopelekea watu kutoka jamii tofauti, utaifa, ukabila na hata dini tofauti kujenga chuki juu ya Israeli, Israeli inaua watoto kwa makusudi, wanaua wanawake kwa makusudi.

Acha wapigwe ili kusudi wapate akili na watambue nchi yao inachofanya Gaza haipendezi, wapeleke salamu kwa Netanyahu...
Wote waliohusika watapelekwa Gaza kwenye makambi
 
Hapo Europe wameshachelewa wanakumbuka shuka kumekucha watarajie wasiyoyatarajia kutoka kwa ndugu zangu ktk Imani.
 
ukweli ni kwamba waliowashambulia hao Israelis sio wapalestina na waarabu pekee kama mnavyokuza huo upuuzi, kinachofanyika Gaza ni ugaidi na ukatili uliopindukia kitu kinachopelekea watu kutoka jamii tofauti, utaifa, ukabila na hata dini tofauti kujenga chuki juu ya Israeli, Israeli inaua watoto kwa makusudi, wanaua wanawake kwa makusudi.

Acha wapigwe ili kusudi wapate akili na watambue nchi yao inachofanya Gaza haipendezi, wapeleke salamu kwa Netanyahu...
Wapalestina walipoishambulia Israel jumlisha vijana wetu wa Kitanzania, hawakuua Wanawake na Watoto kwenye shambulizi lile?

Kwanini Waisrael wakiua Wanawake na Watoto wa Kipalestina ionekane wamefanya makosa makubwa sana?
 
Itabidi wasakwe mlango kwa mlango, hawa wahamiaji wa kutokea huko uarabuni kule hiyo dini ilibuniwa wamekua kero.....
Mpaka sasa wamekamatwa 62

Witnesses described about 100 men, whom they described as Arabs, assaulting Israelis in a coordinated manner on Friday morning.

Outrage, focus on Muslim migrants after Amsterdam ‘pogrom’​

Some Dutch officials said that the attacks were due to unchecked immigration from the Middle East, while others avoided the subject of the attackers' identity.​

CANAAN LIDOR
Dutch Prime Minister Dick Schoof addresses journalists on the clashes that erupted after a Europa League football match between Ajax Amsterdam and Maccabi Tel-Aviv in Amsterdam overnight, on the sidelines of an Informal Meeting of Heads of State or Government of the European Union in Budapest, on Nov. 8, 2024. Photo by Ludovic Marin/AFP via Getty Images.

Dutch Prime Minister Dick Schoof addresses journalists on the clashes that erupted after a Europa League football match between Ajax Amsterdam and Maccabi Tel-Aviv in Amsterdam overnight, on the sidelines of an Informal Meeting of Heads of State or Government of the European Union in Budapest, on Nov. 8, 2024. Photo by Ludovic Marin/AFP via Getty Images.

Amsterdam police detained 62 people in connection with a series of antisemitic assaults against Israeli soccer fans, which resulted in five moderate injuries and about 20 to 30 minor ones, in the Dutch capital, the city’s prosecutor René de Beukelaer said at a Friday press.
The five injured people were treated in the hospital and discharged, De Beukelaer said during the briefing with Femke Halsema, the Amsterdam mayor



View: https://x.com/geertwilderspvv/status/1854751655591350331

Wayahudi wamecheza kichapo cha maana goli 5 kwa nunge na kupigwa vitasa vya kutosha 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣👋
 
Itabidi wasakwe mlango kwa mlango, hawa wahamiaji wa kutokea huko uarabuni kule hiyo dini ilibuniwa wamekua kero.....
Mpaka sasa wamekamatwa 62

Witnesses described about 100 men, whom they described as Arabs, assaulting Israelis in a coordinated manner on Friday morning.

Outrage, focus on Muslim migrants after Amsterdam ‘pogrom’​

Some Dutch officials said that the attacks were due to unchecked immigration from the Middle East, while others avoided the subject of the attackers' identity.​

CANAAN LIDOR
Dutch Prime Minister Dick Schoof addresses journalists on the clashes that erupted after a Europa League football match between Ajax Amsterdam and Maccabi Tel-Aviv in Amsterdam overnight, on the sidelines of an Informal Meeting of Heads of State or Government of the European Union in Budapest, on Nov. 8, 2024. Photo by Ludovic Marin/AFP via Getty Images.

Dutch Prime Minister Dick Schoof addresses journalists on the clashes that erupted after a Europa League football match between Ajax Amsterdam and Maccabi Tel-Aviv in Amsterdam overnight, on the sidelines of an Informal Meeting of Heads of State or Government of the European Union in Budapest, on Nov. 8, 2024. Photo by Ludovic Marin/AFP via Getty Images.

Amsterdam police detained 62 people in connection with a series of antisemitic assaults against Israeli soccer fans, which resulted in five moderate injuries and about 20 to 30 minor ones, in the Dutch capital, the city’s prosecutor René de Beukelaer said at a Friday press.
The five injured people were treated in the hospital and discharged, De Beukelaer said during the briefing with Femke Halsema, the Amsterdam mayor



View: https://x.com/geertwilderspvv/status/1854751655591350331

Wafukuzwe kabisa.
 
Wewe unalazimisha kuhamisha goli, nimekwambia hatuongeleo HOLOCAUST hapa. Wote wapo Ugenini, unaanzaje kumpiga mwenzako ugenini wakati nyote mmekaribishwa?

Wewe Mkimbizi naye mkimbizi iweje wewe ujione mkimbizi zaidi ya mwenzako?

Hao waarabu na Waislamu kama wanataka vita, Warudi GAZA wakapigane. Waache tabia zao za kijinga jinga ugenini, mwenyeji hataki.
Piga hayo magaidi ya Kiyahudi
 
Itabidi wasakwe mlango kwa mlango, hawa wahamiaji wa kutokea huko uarabuni kule hiyo dini ilibuniwa wamekua kero.....
Mpaka sasa wamekamatwa 62

Witnesses described about 100 men, whom they described as Arabs, assaulting Israelis in a coordinated manner on Friday morning.

Outrage, focus on Muslim migrants after Amsterdam ‘pogrom’​

Some Dutch officials said that the attacks were due to unchecked immigration from the Middle East, while others avoided the subject of the attackers' identity.​

CANAAN LIDOR
Dutch Prime Minister Dick Schoof addresses journalists on the clashes that erupted after a Europa League football match between Ajax Amsterdam and Maccabi Tel-Aviv in Amsterdam overnight, on the sidelines of an Informal Meeting of Heads of State or Government of the European Union in Budapest, on Nov. 8, 2024. Photo by Ludovic Marin/AFP via Getty Images.

Dutch Prime Minister Dick Schoof addresses journalists on the clashes that erupted after a Europa League football match between Ajax Amsterdam and Maccabi Tel-Aviv in Amsterdam overnight, on the sidelines of an Informal Meeting of Heads of State or Government of the European Union in Budapest, on Nov. 8, 2024. Photo by Ludovic Marin/AFP via Getty Images.

Amsterdam police detained 62 people in connection with a series of antisemitic assaults against Israeli soccer fans, which resulted in five moderate injuries and about 20 to 30 minor ones, in the Dutch capital, the city’s prosecutor René de Beukelaer said at a Friday press.
The five injured people were treated in the hospital and discharged, De Beukelaer said during the briefing with Femke Halsema, the Amsterdam mayor



View: https://x.com/geertwilderspvv/status/1854751655591350331

Umeeka habari ya waziri wa Uholanzi then ukaweka tweet Ya wilder kudanganya Uma, vp na polisi wa Uholanzi wanasema je? Tuwasikilize polisi WA Uholanzi ama Wilder ambaye kila mtu anajua ni puppet wa Netanyahu?
 
Hivi chanzo cha haya yote ni nini? Je, wanachofanyiwa mateka huko walipo zaidi ya mwaka mzima ni nn?

Sasa uivu hatusikii watu kijadili uvamizi wa Oktoba 2023 na mateka. Tunajadili Gaza na wanawake na watoto kama vile ni haki kwa wanaume kufa.

Israel inaua wanawake na watoto. Je, waliouawa 2023 Octoba 7, wote 1,200 walikuwa wanaume pekee?

Tuache unafiki.

Mauaji ya Palestine au Gaza hayakubariki sawa na mauaji wa Israel Oktoba 2023. Lakini hakuhalalishi wanamichezo wa Israel kushambuliwa. Hii inaashiria hawa jamaa wamedhibitiwa tu, wangekuwa na upenyo na nguvu wangeua wayahudi wote kushinda tunachokishuhudia pale Gaza leo.
Achana na hio oct 7, nyuma Israel ndio walianza kuua hao Paleatinians, hio oct 7 hao wapalestina walikua wanafanya retaliation.
 
Ukatili gani unafanyika gaza zaidi ya maigizo wameachiwa Aljazeera yaani ukitizama ni vichekesho tupu hayo mnayoitq ukatili. Inamaana watu wa Gaza wote wanauliwa pakiwepo watoto na kina mama tu huo upuuzi bakini nao Qatar wadhamini wakuu wa propaganda.. Gaza wanakufa Hamas na IDF .. mnaleta fujo mkipigwa mnasema mnaonewa pumbavu.

Tuambie arabs muslims wanafaida gani Holland? Zaidi ya kujaza mji ikifika ijumaa eti wanafunga mitaa wanaswali barabarani af if Holland ni Yemen
Kwani jews wao wana faida gani?
 
Mbona hatusikii cases za wahindi,wachina na jamii nyingine isipokuwa waislamu?Kuna shida kubwa sana na hii dini na kizuri wazungu wameanza kustuka
Sasa Uhindi na Uchina na utaifa halafu uislamu ni dini, jaribu kutofautisha...
 
Wakati nchi za Ulaya wanajifanya wema sana kuwakaribisha wakimbizi fake toka nchi za Kiarabu tulishawaonya kwa lugha mbalimbali hawakutuelewa. Walituona nyani kasoro mikia. Sasa ngoja wakipate na bado. Waarabu wamehamia Ulaya kazi yao kubwa kununua makanisa na kugeuza misikiti. Wazungu mabwege sana.
Acha waishi Ulaya, wazungu so ndio wamewafuata kuwavamia na kupiga nchi zao, we unataka waende wapi?
 
So nani aliwatuama hamas kutekeleza lile jambo knowing kabisa wanaenda kuanzisja conflict na full military si kikundi, walipoga mahesabu ya outcomes and side effect watakapo tekeleza hayo mambo?
Hapana sidhani kama walitambua matokeo yatakuaje.
 
Una
Acha ujinga wa kusema waislamu na waarabu ndio wanawapiga wayahudi, Ulaya wayahudi wameuawa vibaya kwa ukatili mkubwa, holocaust hio, ilikuwa genocide kwa wayahudi ulaya wakati wa ww2, je ni waislamu ndio walikuwa wanawaua? acheni ujinga wa kukariri...


Ndio maana elewa ninachosema kwenye hizo vurugu walikuwepo wazawa wazungu pure na waliwashambulia wayahudi...
Unajua kwanini Hitler aliwaua??
Alishawishiwa na rafiki yake kutoka mashariki ya kati!

Hitler alikua na mpango wa kuwafukuza ujerumani. Waarabu kwa kujua kua wakifukuzwa watarudi mashariki ya kati bas hasa jerusalem mufti anaeitwa , Hajj Amin al-Husayni.
Hivo waarabu pia ndio kitovu cha mauaji ya kimbali ya wayahudi.
 
Back
Top Bottom