Uhuni katika mahusiano

Uhuni katika mahusiano

1. Ni hanithi wa kike hivyo hana hisia
2. Alikeketwa hivyo hisia zimepungua sana
3. Anakupenda kwa unavyomjali ila hana hisia za kingono nawewe
4. Kaongopewa kwamba ngono inazeesha
5. Ana mwingine ila hajawa na hakika naye.. Wewe umewekwa kama pori la hakiba
6. Ameingia kwenye vitendo vya usagaji
Ni akiba sio hakiba
 
Basi mvumilie kama unaona anaeleweka,bado hajakupenda sana...akikupenda utapewa kila ukitaka

Isije kuwa tu wewe unapewa kila baada ya miezi mitatu wakati kuna mwingine anapewa akitaka
Hicho ndio kitu nisichotaka na kumvumilia aisee cwez
 
Yuko sahihi, ngono inazeesha Sio kwake tuu hata kwako.

Tumia huo muda na energy kufanya mambo mengine ya msingi. Dunia inakuhitaji bado.

Halafu kumhudumia mwanamke kila kitu sio kigezo cha kupewa pussy kila unapotaka.
Hicho ni kieleele chako tuu.
 
Na ana exerience za kutosha kwenye hilo tena huwa anakupa maelekezo kabisa namna gani umshike shike na anapenda umfanyie romance kwa muda mrefu zaidi japo nilimuuliza kuhusu usagaji akagoma
Huwa anasagana huyo ila mpaka afunguke itabidi utumie mbinu kali sana
 
Ngoja nikupe siri sisi watoto wakike tukifika huo umri unapata maneno mengi sana kuhusu sex Kuna hiyo sabab kua sex inazeesha hiyo kwenye vijiwe vyetu wanapenda kujadil na ndo kinamfanya aogope na sio yeye ni marafiki pia wanachangia maneno Yao hajapata wa kumpa elim kuhusu hayo mambo alivosikia na yeye anaamin Ivo 23 yrs kama alichelewa kuanza hayo mambo ndo maana anakua Ivo na kama aliwah bas anakuigizia
 
Back
Top Bottom