Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Hizo sasa ni dalili za usagajiKwenye kubakwa hapana ila romance anapenda sana ila mzigo ataki kutoa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizo sasa ni dalili za usagajiKwenye kubakwa hapana ila romance anapenda sana ila mzigo ataki kutoa
Hivi unadhani wanawake wetu wa kibongo wana nini kingine cha kukupa zaidi ya kHmmmm kwaiyo kwenye yooote unayomfanyia yeye anakulipa "K" tu in return,
na bado unabembeleza aendelee kuwepo.
Vipi kuhusu kuhudumiwa au kupewa hela?
Kwenye kikao chenu mlipatana muhudumiwe kila baada ya muda gani?
Ni sisi ndio tupoooo sisi ndio tupooo 🤸Tunafeli sana wanaume....dont date broke ladies bwana
Ni akiba sio hakiba1. Ni hanithi wa kike hivyo hana hisia
2. Alikeketwa hivyo hisia zimepungua sana
3. Anakupenda kwa unavyomjali ila hana hisia za kingono nawewe
4. Kaongopewa kwamba ngono inazeesha
5. Ana mwingine ila hajawa na hakika naye.. Wewe umewekwa kama pori la hakiba
6. Ameingia kwenye vitendo vya usagaji
Ataki kuolewa kwa sasa ana miaka 23 kasema mpaka afikishe 27
Na ana exerience za kutosha kwenye hilo tena huwa anakupa maelekezo kabisa namna gani umshike shike na anapenda umfanyie romance kwa muda mrefu zaidi japo nilimuuliza kuhusu usagaji akagomaHizo sasa ni dalili za usagaji
Sawa asanteNi akiba sio hakiba
Hicho ndio kitu nisichotaka na kumvumilia aisee cwezBasi mvumilie kama unaona anaeleweka,bado hajakupenda sana...akikupenda utapewa kila ukitaka
Isije kuwa tu wewe unapewa kila baada ya miezi mitatu wakati kuna mwingine anapewa akitaka
Wewe sio Gudume kweliKwenye kikao chetu tulikubaliana mwanaume akiamua kujitwika majukumu yasiyomuhusu(ili kufupisha kwenye kikao chetu huyu mwanaume tunamuita 'zuzu') kwa shobo zake sisi hatutahusika kwa chochote...
Kataa ndoa mama Dick son...🤣
Huyu ajabakwa mkuuMimi ningechunguza kwanza sababu halisi.. Wanawake pia wanapitia mengi zikiwemo kumbukumbu za kubakwa
Huwa anasagana huyo ila mpaka afunguke itabidi utumie mbinu kali sanaNa ana exerience za kutosha kwenye hilo tena huwa anakupa maelekezo kabisa namna gani umshike shike na anapenda umfanyie romance kwa muda mrefu zaidi japo nilimuuliza kuhusu usagaji akagoma
Hicho ndio kitu nisichotaka na kumvumilia aisee cwez