Uhuni katika mahusiano

Ningepata nafasi ya kumfunda huyo binti (mbele ya jamaa yake lakini) ningefanya hivyo
 
Yuko sahihi, ngono inazeesha Sio kwake tuu hata kwako.

Tumia huo muda na energy kufanya mambo mengine ya msingi. Dunia inakuhitaji bado.

Halafu kumhudumia mwanamke kila kitu sio kigezo cha kupewa pussy kila unapotaka.
Hicho ni kieleele chako tuu.
Huyu mleta mada anaonekana ni mtu dhaifu sana,demu ameshamsoma kua hajiwezi kwake,ndio maana anamtawala,Mwanaume uliyekamilika na unayejiamini,huwezi kutolewa kauli ya aina hiyo na mwanamke yeyote yule,huyo mwanamke alimlegezea toka mwanzo,

Ushauri wangu,apige chini hiyo Mbuzi kisha atafute mwingine ila asionyeshe udhaifu tena,wala asijionyeshe kumjali sana mwanamke atakudharau,

Wanawake wanapenda Mwanaume mwenye msimamo,anayejiamini na asiyeyumbishwa wala kutia huruma mbele yake.
 
Yuko sahihi, ngono inazeesha Sio kwake tuu hata kwako.

Tumia huo muda na energy kufanya mambo mengine ya msingi. Dunia inakuhitaji bado.

Halafu kumhudumia mwanamke kila kitu sio kigezo cha kupewa pussy kila unapotaka.
Hicho ni kieleele chako tuu.
Bro mpaka mara moja kwa wiki sio kweli
 
So nini cha kufanya hapo
 
Babu jinga inama ufikiri!!
 
Very sure kaka ila mimi kwa hapa naona nimuache tu sitaki kusumbua kichwa nina mambo mengi
Dogo acha kujifariji,kumuacha huwezi,wewe ni dhaifu sana kwake,
Kama ungekua na nia ya kumuacha wala usingeona umuhimu wa kuanzisha huu uzi,

Usipojikaza utateseka sana kisha huyo Mwanamke atakuja kukuacha halafu utajutia muda wako na rasilimali zako ulizozipoteza,

Kata huduma zote kwa hiyo Mbuzi,usimtafute wala usionyeshe kumjali,usijifanye kusikitika juu yake,namaanisha usionyeshe unyonge,piga kimya,baada ya muda mfupi,yeye ndio ataanza kukubembeleza wewe,hapo ndipo unaichakata kisha unaachana nae mazima.
 
Kama hutaki uhuni muoe akupe kila siku

Huyo dada namjua,ni katibu mkuu wa vikao vyetu vya kila mwaka
Nafikiri kikao kijacho agenda kuu itakuwa ni hii...kutoa mchezo kila baada ya miezi mitatu
Ukamatwe haraka!!
 
Wewe ni BOYA....

The moment mwanamke anatamka tu hiyo statement unapaswa umpige chini palepalee..

Kimsingi mwanaume unatakiwa uamue ni muda gani uile ndiyo ule, ama ule ndo uje uile...

Mapumziko ni kipindi cha danger na akiwa period tu!
Ata wakati wa danger unapiga tuu mwanawane.
Kidume wee ukiaikia kibamia kimedinda ni kumvua demu chupi ukojoe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…