Uhuni katika mahusiano

Uhuni katika mahusiano

Kama hutaki uhuni muoe akupe kila siku

Huyo dada namjua,ni katibu mkuu wa vikao vyetu vya kila mwaka
Nafikiri kikao kijacho agenda kuu itakuwa ni hii...kutoa mchezo kila baada ya miezi mitatu
Mtatuua sasa
 
Yaani kifupi huyu akupendi Hana hisia na wewe anachotaka ni pesa yako na Kuna chemba nyingine ndio anampenda anaitindua kila siku mwanamke anaekupenda hawezi akawa ivyo huo achana nae utakuja kujinyonga
 
Wakuu hivi ni sahihi kwa mwanamke ambae ni mpenzi wako unamjali na kumuhudumia kila ila yeye sex anakupangia anasema et inazeesha.

Na kasema atakuwa ananipa tendo kila baada ya miezi 3 au miwili. Mimi nikamuomba walau mara 1 kwa wiki akagoma kabisa

Hivi mtu kama huyu kuna haja gani ya kuendelea nae huu c uhuni kabisa.
Hamna mke humo.. kwanza inaonesha ukiondoa sex she has nothing else to offer..
 
Back
Top Bottom