Uhuni niliofanyiwa na M-Pesa Tanzania

Uhuni niliofanyiwa na M-Pesa Tanzania

Montserrat

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2011
Posts
10,938
Reaction score
14,745
Juzi 29/06/2021 nilihamisha Tzs 400k kutoka kwenye account yangu ya MPESA kwenda Airtel Money, kumlipa supplier wangu. Muamala huo ukakatwa kutoka kwangu lakini haukwenda AirtelMoney kwa mlengwa. Nikapata meesage "Sorry, transaction was not completed due to technical reasons. Contact customer support for assistance" Nikapiga simu huduma kwa wateja, nikaambiwa wana tatizo na kwamba muamala huo utarudishwa au kutumwa airtelMoney ndani ya saa 24.

Lakini mpaka sasa hivi siku ya tatu muamala haujarudishwa. Leo nimeenda Vodashop naambiwa nisubiri masaa mengine 72!!!! see how foolish these idiots are. Supplier wangu amesimamisha supplies, napata hasara. Nani atanifidia?

Company kubwa wanashindwa kuwa na Plan B badala yake wanawaadhibu wateja bila sababu? Yangekuwa makosa yangu ningeelewa.

Now I know why they are reporting losses, kuna kitu hakipo sawa kwenu.

Wateja kuwa makini kwa yaliyonipata.
 
Mkuu kabla ya yote jua kwamba kwao siku moja ni masaa 8, so hizo saa 24 kwao ni siku tatu, umeambiwa subiri saa zingine 72 ambayo ni siku 9.... kua mpole siku tisa zikipita watafute tena. Yalishawahi kunikuta haya mambo.
 
mkuu kabla ya yote jua kwamba kwao siku moja ni masaa 8, so hizo saa 24 kwao ni siku tatu, umeambiwa subiri saa zingine 72 ambayo ni siku 9.... kua mpole siku tisa zikipita watafute tena. Yalishawahi kunikuta haya mambo.
Hatuwezi kufika kwa mwendo huo, huo utakuwa ujima. Nikishapata hela yangu naachana na MPESA, imefikia point ukiwa na hela MPESA usijihesabu kama una quick money ambayo unaweza kuipata ikihitaji. Imagine upo safarini/hotelini na hiyo ndio hela uliyonayo na unatakiwa kulipa bill? Lazima yatakutoka maneno yasiyo ya kistaarabu.
Hawa jamaa hapana, Naomba MPESA mnirudishie hela yangu leo.
 
Juzi 29/06/2021 nilihamisha Tzs 400k kutoka kwenye account yangu ya MPESA kwenda Airtel Money, kumlipa supplier wangu. Muamala huo ukakatwa kutoka kwangu lakini haukwenda AirtelMoney kwa mlengwa. Nikapata meesage "Sorry, transaction was not completed due to technical reasons. Contact customer support for assistance" Nikapiga simu huduma kwa wateja,
KAWASHITAKI!
Binafsi naendelea kukusanya ushahidi niwashitaki HALOTEL kwa ku bleach/ kuvujisha mawasiliano yangu na mtu aliyewaomba!
 
Juzi 29/06/2021 nilihamisha Tzs 400k kutoka kwenye account yangu ya MPESA kwenda Airtel Money, kumlipa supplier wangu. Muamala huo ukakatwa kutoka kwangu lakini haukwenda AirtelMoney kwa mlengwa. Nikapata meesage "Sorry, transaction was not completed due to technical reasons. Contact customer support for assistance" Nikapiga simu huduma kwa wateja, nikaambiwa wana tatizo na kwamba muamala huo utarudishwa au kutumwa airtelMoney ndani ya saa 24.

Lakini mpaka sasa hivi siku ya tatu muamala haujarudishwa. Leo nimeenda Vodashop naambiwa nisubiri masaa mengine 72!!!! see how foolish these idiots are. Supplier wangu amesimamisha supplies, napata hasara. Nani atanifidia?

Company kubwa wanashindwa kuwa na Plan B badala yake wanawaadhibu wateja bila sababu? Yangekuwa makosa yangu ningeelewa.

Now I know why they are reporting losses, kuna kitu hakipo sawa kwenu.

Wateja kuwa makini kwa yaliyonipata.
Pole sana.. Nakuelewa.. Nimeshawahi kuwa kwenye same same situation.. Mbaya zaidi customer care wao utafikiri wako programmed, anakujibu utafikiri ameandikiwa majibu ya kusema.. Mtu unatoa mapendekezo yanayoendana na situation uliyoko, yeye anarudia maelezo senseless ya mwanzo, halafu anakwambia mfumo utakurudishia ndani ya masaa 48, anakata simu!

Pole sana
 
Hebu wajuvi wa sheria tuambieni je hamna namna yoyote ya kuwabana kisheria, maana kama hali itakuwa hivi muda wote ina maana sisi walaji tutakuwa ni waathirika siku zote, sio kwa kungwi pekee hata na kwa mwali kuliwe pia, yasiwe maumivu upande mmoja ni vyema tukashare nao maumivu.
 
Hatuwezi kufika kwa mwendo huo, huo utakuwa ujima. Nikishapata hela yangu naachana na MPESA, imefikia point ukiwa na hela MPESA usijihesabu kama una quick money ambayo unaweza kuipata ikihitaji. Imagine upo safarini/hotelini na hiyo ndio hela uliyonayo na unatakiwa kulipa bill? Lazima yatakutoka maneno yasiyo ya kistaarabu.
Hawa jamaa hapana, Naomba MPESA mnirudishie hela yangu leo.
Hizi ni hasira tu mkuu ukipata hela yako bado line utaitumia tu kutuma hela😂😂😂 hata sie tulisemaga hivi hivi mazoea mabaya!!!

Mzee wangu anatoaga hadi line ila baada ya siku 2 kairudisha hewani!
 
W
Juzi 29/06/2021 nilihamisha Tzs 400k kutoka kwenye account yangu ya MPESA kwenda Airtel Money, kumlipa supplier wangu. Muamala huo ukakatwa kutoka kwangu lakini haukwenda AirtelMoney kwa mlengwa. Nikapata meesage "Sorry, transaction was not completed due to technical reasons. Contact customer support for assistance" Nikapiga simu huduma kwa wateja, nikaambiwa wana tatizo na kwamba muamala huo utarudishwa au kutumwa airtelMoney ndani ya saa 24.

Lakini mpaka sasa hivi siku ya tatu muamala haujarudishwa. Leo nimeenda Vodashop naambiwa nisubiri masaa mengine 72!!!! see how foolish these idiots are. Supplier wangu amesimamisha supplies, napata hasara. Nani atanifidia?

Company kubwa wanashindwa kuwa na Plan B badala yake wanawaadhibu wateja bila sababu? Yangekuwa makosa yangu ningeelewa.

Now I know why they are reporting losses, kuna kitu hakipo sawa kwenu.

Wateja kuwa makini kwa yaliyonipata.
Wasiliana na TCRA mkuu ndio dawa ya Vodacom
 
W
Juzi 29/06/2021 nilihamisha Tzs 400k kutoka kwenye account yangu ya MPESA kwenda Airtel Money, kumlipa supplier wangu. Muamala huo ukakatwa kutoka kwangu lakini haukwenda AirtelMoney kwa mlengwa. Nikapata meesage "Sorry, transaction was not completed due to technical reasons. Contact customer support for assistance" Nikapiga simu huduma kwa wateja, nikaambiwa wana tatizo na kwamba muamala huo utarudishwa au kutumwa airtelMoney ndani ya saa 24.

Lakini mpaka sasa hivi siku ya tatu muamala haujarudishwa. Leo nimeenda Vodashop naambiwa nisubiri masaa mengine 72!!!! see how foolish these idiots are. Supplier wangu amesimamisha supplies, napata hasara. Nani atanifidia?

Company kubwa wanashindwa kuwa na Plan B badala yake wanawaadhibu wateja bila sababu? Yangekuwa makosa yangu ningeelewa.

Now I know why they are reporting losses, kuna kitu hakipo sawa kwenu.

Wateja kuwa makini kwa yaliyonipata.
Wasiliana na TCRA mkuu ndio dawa ya Vodacom
 
Hizi ni hasira tu mkuu ukipata hela yako bado line utaitumia tu kutuma hela😂😂😂 hata sie tulisemaga hivi hivi mazoea mabaya!!!

Mzee wangu anatoaga hadi line ila baada ya siku 2 kairudisha hewani!
Nadhani wanafanya makusudi kukumoa wateja.
Hivi MPESA wanakosa 400,000 kunirudishia, halafu wao waendelee kutatua tatizo lao?
 
Nadhani wanafanya makusudi kukumoa wateja.
Hivi MPESA wanakosa 400,000 kunirudishia, halafu wao waendelee kutatua tatizo lao?
Wanataka ile ile irudi kwanza hapo ni reconciliation baina yao na Airtel ndio maana inachukua muda
 
mkuu kabla ya yote jua kwamba kwao siku moja ni masaa 8, so hizo saa 24 kwao ni siku tatu, umeambiwa subiri saa zingine 72 ambayo ni siku 9.... kua mpole siku tisa zikipita watafute tena. Yalishawahi kunikuta haya mambo.
Duuh.. makubwa🙄
 
Back
Top Bottom