Uhuni wanaofanyiwa vijana waliokuja kwenye usaili wa kada ya afya kituo cha shule ya Sekondari Galanos, Tanga

Ukitoboa interview unakutana na DMO au RMO na kupangiwa kituo Cha usweken.
 
Barakoa pia usisahau hawachelewi kusema mvae barakoa, usichukulie utani wenzio walidharau kilichowakuta wanasema ningejua ningebeba
Mkuu barakoa si yeyote tu hata ya kitambaa kizito zinazouzwa kwenye maduka au ni ile tu ya kitabibu yenye ka-ring kwenye pua??
 
Galanos school shule yangu....

Nakupenda nakupendaaa ....

I miss there ...

ephen_
 
Thanks mkuu, Sasa mkuu kama vyeti VYOTE vina majinga matatuz Kwa Nini barua ya utamburisho kutoka serikali ya mtaa niweke majina matatu si Bora waniandikie mawili kama ya kwenye vyeti
Ebu soma tena vizuri ulichoandika hapa
 
Kifupi no kwamba ajira hamna na elimu ya bongoe Haina maana!!
Hats ikitokea tangazo la ajira usimwambie mtoto,ndugu au jamaa kuhusu hilo!

Bora arangue michicha auze kuliko kwenda kwenye interview za kijinga!
 
Mkuu barakoa si yeyote tu hata ya kitambaa kizito zinazouzwa kwenye maduka au ni ile tu ya kitabibu yenye ka-ring kwenye pua??
Wewe beba barakoa yoyote iwe safi itenge pembeni wakawakurupua barakoa itoe
 
Kadi ya UVCCM, vijana bawakumbusha tu zingatieni sana.
 
Labda mimi ndio naachwa kidogo hapa vile vitambulisho vya utaifa [NIDA ] vina umuhimu gani hapo kama mtu anahitaji barua mara hatu ya kusafiria kwani hakiko integrated na particulars zote za mtu?
uhuni tu.....kusumbua vjana. and why call 8000 while you need 200? Alternatively kila mmoja afanyie sehemu alipo. .... say mkoani ambapo computerised interview inaweza kufanyika . Lakini hii ya kumtoa mtu Arusha kwenda Bukoba , then unamwabia huna Id, ni mateso
 
Ulivyoandika vyote vinanihusu, umasikini wa kurithi tena umekuwa maradufu.
Tunapambana kwa kila namna lakini hatutoki umri ynakwenda pia.
Wengi hawatambui ila sisi wengine tupo jamii forum kwa kupata taarifa, maarifa ili tupate fursa, kisha siku moja tujitoe katika hali hii mbaya ya umasikini.
Tuna mengi ya kimaisha yetu ila wacha tunyamaze tu.
 
Hi
Hivi unajua baadhi ya vyeti huanza surname badala first name?, hivyo huleta ukakasi kuna muda.
 
uko sawa sana mkuu, serikali yenyewe imeshindwa tupatia vitambulisho tumeishia kupata namba tu na wengi kukosa hizo namba

hii huwafanya kukosa uhalali wa kuendelea na mchakato
 
Kwani ni lazima dakitari kujiajiri afungue hospitali? Hapana kuna madakitari wengi wako nje ya fani zao udakitari kaufanya kama addtional income.......
Watu wanakariri sana. Mtu unashindwa kuwa versatile. Zama zimebadilika. Kuwa na degree ya udaktari haimanishi lazima utibu watu. Mbona watu tuna leseni za udereva na hatujajiriwa kama madereva.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…