Congo au Wapi?Dah!..
Kuna Madaktari wana Pesa bro usiishi kwa kukariri Kairuki ilianza Jina ikaja Hospital sasa kuna ChuoIla mkishastaaf ndio akili ya biashara inaanza kuja akilini mwenu. Ukiona kuna fursa ina maokoto zaidi ya udaktari kwanini usiupige chini. Hizo ni kazi za wito lakini kama unataka pesa unapoteza muda mkuu
Wakati kama huu tutaona na kusikia mengi huko mitandaoni, na naona wameficha sauti ili tusijue tukio limetokea wap πProved hii ni Wapi?View attachment 3085885
Congo au Braza Vile ?Wakati kama huu tutaona na kusikia mengi huko mitandaoni, na naona wameficha sauti ili tusijue tukio limetokea wap π
Kuna mdau kasema ni mbeya.Wakati kama huu tutaona na kusikia mengi huko mitandaoni, na naona wameficha sauti ili tusijue tukio limetokea wap π
Amejuaje wakat ht hana sauti, na nna uhakika imetolewa sauti kwa lengo fulani.Kuna mdau kasema ni mbeya.
Jf ni Kijiji chief unaweza Kuta na yeye alikuwemo eneo la tukio.Amejuaje wakat ht hana sauti, na nna uhakika imetolewa sauti kwa lengo fulani.
Sawa mkuu πJf ni Kijiji chief unaweza Kuta na yeye alikuwemo eneo la tukio.
Cheti cha kuzaliwa kikiwa kinasoma Johnpaul Anthony MafweleKama majina yamekosewa bora watafute barua izo tafauti na hapo nikukatwa
Ndio mkuu apo fanya uwe na barua ya kiapo kuepusha usumbufu maana utazuiwaa utabaki unalia tuCheti cha kuzaliwa kikiwa kinasoma Johnpaul Anthony Mafwele
Halafu vyeti vya taaluma na Nida vikawa vinasoma John Anthony Mafwele. Ni tatizo?