Uhuni wanaofanyiwa vijana waliokuja kwenye usaili wa kada ya afya kituo cha shule ya Sekondari Galanos, Tanga

πŸ˜‚ Hii niliwahi kuishuhudia, jamaa anakomaa kabisa kuwa hiyo ni cheti OG wakati kwa akili za kawaida tuu unaona n copy yenye rangi πŸ˜‚
Km Ina Muhuri halisi original wa Mwanasheria true copy of original hio sio mbaya Ila km copy km copy haina hata Muhuri original wa Mwanasheria hio mbaya
 
Km Ina Muhuri halisi original wa Mwanasheria true copy of original hio sio mbaya Ila km copy km copy haina hata Muhuri original wa Mwanasheria hio mbaya
Mkuu, hiyo nayo n ishu nyngn tena umeleta.
Kumbuka mhuri unapigwa kwenye copies ambazo unatumia kuomba kazi ila wakat wa usaili ni vyeti OG tuu ambavyo havina mhuri wa mwanasheria
 
Mkuu, hiyo nayo n ishu nyngn tena umeleta.
Kumbuka mhuri unapigwa kwenye copies ambazo unatumia kuomba kazi ila wakat wa usaili ni vyeti OG tuu ambavyo havina mhuri wa mwanasheria
Nimesema kwenye usaili nenda na vyeti original km original sio vilivyo sainiwa na mwanasheria, unanielewa sasa peleka kilichosainiwa na mwanasheria wakutimue
 
Elezea hizo addittional tuone?
 
Unakuja na vyote hivi na kujibu maswali vizuuuri Unaulizwa swali la mwisho una mahisiano ukisema huna mahusiano unaambiwa basi una minyege mno, kwa kazi hii ambayo watu wanakaa hata uchi wakitibiwa akili yako haiwezi kuwa sawa na hayo manyege yako.

Ukisema unaye unaambiwa kijana mdogo unaendekeza ngono utafanya kazi kweli?
 
Hilo swali ni nje kabisa na kilichokupeleka Mimi nimeoa ndio kuendeleza ngono huko?
 
Cc. mwifwa
 
Mambo ya usaili inabidi uwe makini sana, kitu kidogo kinakuondoa kwenye usaili mazima huku ukiwa huamini kilichotokea tena ukutane na msimamizi aliyenyooka Wala hakuonei huruma kuwa "next time hakikisha uwe nacho"...mfano unaweza Kuta kijana ana nida au ID iliyoruhusiwa vizuri tena, msimamizi akiangalia majina yametofautiana tena ni herufi mfano vya shule ni bahati John bakari na nida ni bahati John bakari hapo jua umeenda na labda mizimu yenu ikuokoe... Hili nilitegemea Kwa kuwa ni usaili wa mara ya kwanza hivyo najua tu lazima Kuna watu tena wengi tu wataliwa vichwa.

Usaili wenyewe unakuta Hadi mwakani tena, lazima kama msailiwa ukipata nafasi basi usiiachie kirahisi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…