Uhuni wanaofanyiwa vijana waliokuja kwenye usaili wa kada ya afya kituo cha shule ya Sekondari Galanos, Tanga

Uhuni wanaofanyiwa vijana waliokuja kwenye usaili wa kada ya afya kituo cha shule ya Sekondari Galanos, Tanga

Naandika kwa masikitiko makubwa nikiona wanachofanyiwa vijana waliokuja kwenye usahili (written inteview) hapa Galanos Tanga.

1. Identification requirements zimekuwa mentioned katika tangazo la kuitwa kwenye usaili. Walio wengi wamekidhi kuja na vigezo/vitambulisho hivyo. Ajabu wasimamizi wameleta vigezo vingine ambavyo haviko kwenye list.

maana yake nini? Kuwapunguza watahiniwa na kuwapa wengine advantage wengine ya kuambiwa in advance vitu ambavyo haviko kwenye tangazo la serikali!

Vijana wanalia na kusaga meno kwa kukosa interview maana wasimamizi wamekomaa na addition identificationa badges ambazo ni zao wenyewe (own making).
Kuna vijana wamekuja na additional identification badges, wamejuaje kama si kuambiwa in advance?

It is a pity kuwa vijana wametoka mbali sana only to find kuwa eti hawana vigezo! vigezo ambavyo havikuwa kwenye tangazo.
Vigezo gani havikuwekwa Kwenye tangazo na ambavyo vimeongezwa? Mkuu hebu sema
 
Acha kulalamika mtoto mzuri... Ukiitwa kwenye interview yoyote beba kilakitu ikiwezekana beba hadi matunguli ya bibi zako in case wakiyahitaji kama kigezo uwe nacho... Watoto wa sikuhizi wasengerema sana wanaenda kwenye interview kama wanaenda mlimani city kushangaa shangaa... Useless idiots
 
Pambaneni zama zimebadirika no free entry
Sasa hivi udaktari ni kama procurement lazima ule interview dadeki

Miaka miwili high school , mitano chuo tena kwa mateso bila bata plus mmwaka mmoja wa intern,

Then pepa la leseni mwanzo wa intern na baada ya intern ukifeli no leseni


Ukitoboa leseni unakutana na interview 😆😆😆😆

Mbaya zaidi wanaokufanyia inyerview ni wenye diplona na advanced diploma za udaktari plus watu wa human resources
Bado ajira zipo naamini , madaktari hawajawa wengi kiasi hicho
 
Niliona matangazo humu kuwa usaili ni online sasa wamefikaje tena huko vituoni?

Usaili wa online nafahamu ni mahali popote ulipo ni wewe na kifaa chako, eneo tulivu na internet yako.
Ni computer based au center based,
Yani interview inafanyika kwenye vituo vyenye access ya computers, internet, questions nadhan ni multiple choices 😂 ,
 
Mambo ya usaili inabidi uwe makini sana, kitu kidogo kinakuondoa kwenye usaili mazima huku ukiwa huamini kilichotokea tena ukutane na msimamizi aliyenyooka Wala hakuonei huruma kuwa "next time hakikisha uwe nacho"...mfano unaweza Kuta kijana ana nida au ID iliyoruhusiwa vizuri tena, msimamizi akiangalia majina yametofautiana tena ni herufi mfano vya shule ni bahati John bakari na nida ni bahati John bakari hapo jua umeenda na labda mizimu yenu ikuokoe... Hili nilitegemea Kwa kuwa ni usaili wa mara ya kwanza hivyo najua tu lazima Kuna watu tena wengi tu wataliwa vichwa.

Usaili wenyewe unakuta Hadi mwakani tena, lazima kama msailiwa ukipata nafasi basi usiiachie kirahisi.
Ukiwa na barua ya kiapo unataleza tu husumbuliwi
 
Niliona matangazo humu kuwa usaili ni online sasa wamefikaje tena huko vituoni?

Usaili wa online nafahamu ni mahali popote ulipo ni wewe na kifaa chako, eneo tulivu na internet yako.
Watu kama ww ndio mkifukuzwa kwenye usaili mnakuja kutupigia kelele humu mitandaoni kwamba mmeonewa, em jitahidi uwe unasoma maelekezo aisee
 
Naandika kwa masikitiko makubwa nikiona wanachofanyiwa vijana waliokuja kwenye usahili (written inteview) hapa Galanos Tanga.

1. Identification requirements zimekuwa mentioned katika tangazo la kuitwa kwenye usaili. Walio wengi wamekidhi kuja na vigezo/vitambulisho hivyo. Ajabu wasimamizi wameleta vigezo vingine ambavyo haviko kwenye list.

maana yake nini? Kuwapunguza watahiniwa na kuwapa wengine advantage wengine ya kuambiwa in advance vitu ambavyo haviko kwenye tangazo la serikali!

Vijana wanalia na kusaga meno kwa kukosa interview maana wasimamizi wamekomaa na addition identificationa badges ambazo ni zao wenyewe (own making).
Kuna vijana wamekuja na additional identification badges, wamejuaje kama si kuambiwa in advance?

It is a pity kuwa vijana wametoka mbali sana only to find kuwa eti hawana vigezo! vigezo ambavyo havikuwa kwenye tanga

Ndio maana nawaambia msijistress kulipa mamilioni kuwasomesha watoto wenu shule za English Medium. Rudisha wote shule za Kayumba haraka sana.
 
Acha kulalamika mtoto mzuri... Ukiitwa kwenye interview yoyote beba kilakitu ikiwezekana beba hadi matunguli ya bibi zako in case wakiyahitaji kama kigezo uwe nacho... Watoto wa sikuhizi wasengerema sana wanaenda kwenye interview kama wanaenda mlimani city kushangaa shangaa... Useless idiots
Umeamua kumtupia NYUKILIA kabisa
 
Vigezo gani havikuwekwa Kwenye tangazo na ambavyo vimeongezwa? Mkuu hebu sema
One was License to practice ambayo ni muundo kama kadi ya NIDA, then kuna lile kadi kubwa la njano size ya A4. Kijana kafika na Leseni ya ku practice. Anafika wanadai kadi la njano lile A4, kitu ambacho hakipo kwenye instructions. Some left because of that! After malalamiko the dispensed with kadi la njano la A4 size! But remeber wengine walishaondoka ambao hawakuwa na kadi la njano maana waliliacha nyumbanias it was not part of the requirement!
 
Ndio maana nawaambia msijistress kulipa mamilioni kuwasomesha watoto wenu shule za English Medium. Rudisha wote shule za Kayumba haraka sana.
Hapana! Kuna oportuitis zitahijati lugha ya kiingereza....... na pass nzuri za sekondari! Nina mifano mingi
 
One was License to practice ambayo ni muundo kama kadi ya NIDA, then kuna lile kadi kubwa la njano size ya A4. Kijana kafika na Leseni ya ku practice. Anafika wanadai kadi la njano lile A4, kitu ambacho hakipo kwenye instructions. Some left because of that! After malalamiko the dispensed with kadi la njano la A4 size! But remeber wengine walishaondoka ambao hawakuwa na kadi la njano maana waliliacha nyumbanias it was not part of the requirement!
Duh sasa si wangeweka kwenye list sasa mtu ataota.
 
Malalamiko hayasaidii ndugu, wajipange tena msimu ujao. Baadhi ya wasaka ajira huwa wanachukulia mambo easy, tena hata kutafuta taarifa sahihi kwao ni mzigo. Wafuatao ndio wahusika anaoongelea mleta mada

1. Vijana walioenda na copy za vyeti zenye rangi na kuweka lamination, wakati wametangaziwa waende na vyeti halisi.
2. Walioenda na vyeti vyenye majina tofauti bila deed pool au affidavit (supporting documents)
3. Walioenda bila leseni au leseni zilizoisha muda. Wengine wameenda na risiti za malipo ya leseni.
4. Mtu anaenda na picha ya kitambulisho iliyopigwa ipo kwenye simu (softcopy ya NIDA). Vitambulisho vinavyokubalika vimeorodheswa ila mtu anaenda na kitambulisho cha chuo aliposomea.

Hayo makundi manne ni walalamikaji wasio na mashiko. Usaili unahitaji umakini, moja ya sehemu ya interview ni kufuata maelekezo.

Next time wajitahidi kufuata maelekezo sio ukaidi.
Hii comment unaicopy na kupaste wewe kama nani una generalize makosa yao
 
Kila Msailiwa anapaswa kuwa na kitambulisho kwa ajili ya utambuzi;
4. Vitambulisho vinavyokubalika ni pamoja na:- Kitambulisho cha Mkazi, Kitambulisho cha Mpiga
kura,Kitambulisho cha kazi,Kitambulisho cha Uraia, Hati ya kusafiria au barua ya utambulisho kutoka
Serikali ya Mtaa/Kijiji unachotoka

Kijana ana kitambulisho cha kura, anaambiwa alete pia barua ya mweyekiti wa ktaa/kijiji...what next? anaondoka maana hawezi kupatahiyo barua in asuch a short time wakati ana utambulisho mwingine ulioainishwa hapo

Sababu ni moja tu ambayo ingemuengua hapo kwa upande wa kitambulisho, ambayo ni UTOFAUTI WA MAJINA(hata herufi moja) KATI YA KITAMBULISHO NA VYETI VYAKE.

Je, hakuwa na hii changamoto?
 
Niliona matangazo humu kuwa usaili ni online sasa wamefikaje tena huko vituoni?

Usaili wa online nafahamu ni mahali popote ulipo ni wewe na kifaa chako, eneo tulivu na internet yako.
Hujaelewa maelezo yao kuhusu usahili wa Online
 
Back
Top Bottom