ushahidi si upo,kwanini tubishane bila fact?,kati ya Simba na Yanga nani katolewa champions?,renk ya caf nani yupo juu?Simba ndo unawaona Wana scouting mzuri ya
Dejan
Okwa
Outara
Chikwende
Dankan nyoni
Hivi nyie mbumbumbu nani kawaloga tumbafu
kwan yule katoka England kwl mkuuIla usajili wa bongo bana. hata yule aliyechza england nae wamepigwa.
aliwahi cheza epl, Newcastle.kwan yule katoka England kwl mkuu
c nackia alichwez game 6 tualiwahi cheza epl, Newcastle.
sawa si ndio kucheza kwenyewe😂😂😂c nackia alichwez game 6 tu
🤣🤣🤣 ajacheza bhna hapo tunasem karuka ruka tu uwanjan bcsawa si ndio kucheza kwenyewe😂😂😂
Wewe jamaa akili hua unazo ila ushabiki hua unakutoa kwenye reli mpka sasa ligi ina michezo mitano unawezaje kusema mchezaji ka fail Azizi K ana goals mbili unamuweka kwenye group la walio fail kweli? Je Okwa, Kapama na Akpan utasemaje?Wote hadi Aziz Ki
Yani walichokitegemea na anachokuja kuwapa uwanjani ni vitu viwili tofauti
Sijajua kwanini Ki analaumiwa kiasi hiki!? Au mashabiki hawampendi?!Wewe jamaa akili hua unazo ila ushabiki hua unakutoa kwenye reli mpka sasa ligi ina michezo mitano unawezaje kusema mchezaji ka fail Azizi K ana goals mbili unamuweka kwenye group la walio fail kweli? Je Okwa, Kapama na Akpan utasemaje?
Kwa hiyo Azizi Ki alikuwa special registered kwa ajili ya ligi kuu?Wewe jamaa akili hua unazo ila ushabiki hua unakutoa kwenye reli mpka sasa ligi ina michezo mitano unawezaje kusema mchezaji ka fail Azizi K ana goals mbili unamuweka kwenye group la walio fail kweli? Je Okwa, Kapama na Akpan utasemaje?
Ujio wake na mbwembwe za utambulisho zilikuja kwa msisimko na kupelekea mashabiki wategemee kitu kikubwa sana kutoka kwakeSijajua kwanini Ki analaumiwa kiasi hiki!? Au mashabiki hawampendi?!
Dejan alikuja kuchovu tu,tofauti na ufunguo,advertise yake ilikuwa s ya kitoto...Dejan rangi Yake ilileta uzuzuo Kwa masha bikUjio wake na mbwembwe za utambulisho zilikuja kwa msisimko na kupelekea mashabiki wategemee kitu kikubwa sana kutoka kwake
Na ndio maana mechi yake ya kwanza watu wote walikuwa wanamuangalia yeye anafanyaje ana kitu gani cha kipekee alichowazidi hawa wengine?
Ni kama Dejan tu kwa jinsi watu wa Simba walivyokuwa wamempa ukubwa
Mbio zenyewe hazina Tija na Domo lake.Unamsajili Tuisila kisa tu ana mbio....
Humu watu wote wako perfect,na hawawezi kuzaa watoto wenye maumbile yasiyo ya kawaida,na kweli wanaweza kusema chochote na wasipatwe na kibaya,cha msingi wewe kama unahofu mshukuru tu Mungu kwa hilo piaUmekosea kukosoa maumbile ya mtu ambae hajakukosea chochote. Labda kama umeshamaliza kuzaa mwenzetu
Jf ina mambo sana [emoji23][emoji23]Mpango ulikuwa ni kuiba kombe la CAFCL . Sasa unafikiri nani angekimbia nalo hilo kombe kama siyo kisinda?
Au umesahau kwamba msukule ulisema timu ya kwanza TZ kuchukua CAFCL ni utopolo?
Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
Hapa ndo ninapowatofautisha wajinga wa nchi hii na mashabiki wa soka.Umekosea kukosoa maumbile ya mtu ambae hajakukosea chochote. Labda kama umeshamaliza kuzaa mwenzetu
Wewe ulicheza ngapc nackia alichwez game 6 tu
PUMBAKwa hiyo Azizi Ki alikuwa special registered kwa ajili ya ligi kuu?
Kingine ni kwamba mi najadili performance we unajadili magoli
Magoli yanaweza kupatikana kwa njia nyingi, mfano lile goli lakwanza alilofunga Azizi Ki unaweza kulielezeaje katika viwango vya ubora hadi likapatikana?
Kusema Azizi Ki sio yule ambaye viongozi na mashabiki wenu mlitegemea kumuona uwanjani hakunifanyi nishindwe kukubaliana na ukweli kwamba hata Simba kuna wachezaji wenye low level perfomance
Labda kama hufatilii updates za mechi za Simba maana mara nyingi huwa tunasema pale tunapoona sio sawa.
Tatizo lako wewe unafikiria kuwa mtu mwingine ambaye sio mdau na timu yako akiikosoa timu yako inakuwa ni chuki.
Hata Mwinyi Zahera kaongea mambo mengi ambayo mara nyingi humu tumekuwa tukiyasema na mkatuita haters