Uhuru afika kanisani bila walinzi akiendesha gari aina ya Mercedes G-Wagon.

nadhani anakuwaga na walinzi wa siri na zaidi kanisa nzima ni sehemu ya familia ya system

asisahau kwenda na Kibera,Nakuru na hata Mombasa

*ni Bob Marley pekee anayeweza kufanya hayo
 
Kwahiyo yeye aogope al shabab?
 
Anajiandaa kustaaf ila hata Puttin anafanya sana
 
Sio jambo la kupongeza

Hata mawaziri tu sisapoti wao kutopewa ulinzi
 
nadhani anakuwaga na walinzi wa siri na zaidi kanisa nzima ni sehemu ya familia ya system

asisahau kwenda na Kibera,Nakuru na hata Mombasa

*ni Bob Marley pekee anayeweza kufanya hayo
Kuna yule Raisi mstaafu wa uruguway somebody Jose Mujica yeye hata hakuwa anakaa ikulu na hospitali anaenda za umma za kawida naakikuta foleni na yeye anapanga....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…