Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mhhh thubutu yake kama wasingemnywa bila malipo.kupanda ndege tu tabu, akienda arusha hadi mizinga inawekwa tayari kama kuna vita.Wasitutishe. Haya mambo hata John Beer huwa anayafanya sana sema huwa hataki sifa za kutangaza tangaza.
Mnazubazwa na viini machoAnajiandaa kustaaf ila hata Puttin anafanya sana
Hamia kenyaRais Kenyatta anajitahidi sana kujishusha! angekuwa mzungu angeingizwa kwenye Guinness world record siyo mshamba wa madaraka kama huyu wa kwetu.
We Bila kumtaja mboweHapa Tanzania utakuta mtu ni mbowe tu lakini amezungukwa na walinzi kibao!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilipokuwa Kigali, Rais Kagame alikuwa anakuja shuleni kuchukua watoto wake akiendesha mwenyewe bila mlinzi.sidhani kama alikuwa mwenyewe bila walinzi.! hakuna serikali inaweza kumuacha kiongozi wake kwenye hali kama hizo zaidi ni kwamba walinzi walifiki eneo la tukio kitambo sana
Ulinganishi wengine ni wa kipumbavu jamani...Rais Kenyatta anajitahidi sana kujishusha! angekuwa mzungu angeingizwa kwenye Guinness world record siyo mshamba wa madaraka kama huyu wa kwetu.
Mbona magu hafanyi hivo???Unajidanganya. Taasisi ya Urais ina nguvu na mtandao mpana kuliko unavyoelewa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli kabisa. Tena kwenye changamoto za usalama Tanzania tunasubiri sana Kwa Kenya.Ungetaka kujua hapakua na ulinzi ingetokea fujo,nchi km kenya raisi hawezi fanya hivyo..hayo matukio huwa hanapangwa mapema kabisa.
Raisi siyo kama mjomba wako anayeamka hajui leo atafanya nini,saa ngapi,wapi na nani....raisi anaongozwa na protocal kali sana...kuna propaganda humu kuna kila aina ya ujanjaujanja na akili nyingi.
Ila kwa kifupi tu amini raisi hawezi enda sehemu bila ulinzi,hiyo ni hata yeye asipotaka.
Sent using Jamii Forums mobile app
WEWE ULIJUAJE IKIWA HATANGAZI?!?!Wasitutishe. Haya mambo hata John Beer huwa anayafanya sana sema huwa hataki sifa za kutangaza tangaza.