Teargass
JF-Expert Member
- Apr 23, 2018
- 20,648
- 17,772
Umesoma hii lakini kijana? au unaangalia tu isssue za Uhuru!!?
******** has no words to say that's why he is sending representatives ๐๐๐๐
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umesoma hii lakini kijana? au unaangalia tu isssue za Uhuru!!?
Huu mpago wa belt and roads jiandaeni kiskolojia kuusahau, na hivi Uhuru kakurupuka kwenda kwa Trump wakati Trump ana chafuana na mchina, msahau tu.EAC na SADC na Kati vyote inabidi viwakilishwe na Kenya maana watakapozungumzia hiki kitu, itabidi wengine wote mbaki kimyaaa
![]()
Hiyo ndugu ni imaginary road.EAC na SADC na Kati vyote inabidi viwakilishwe na Kenya maana watakapozungumzia hiki kitu, itabidi wengine wote mbaki kimyaaa
![]()
Tanzania after along time of negotiation finally signed a $10bn Build operate. Transfer deal with China for bagamoyo.- That is twice as big as Kenya SGR interms of cost. On top of that, The millitary of China will conduct training and supply of Equipment to TPDF.marais wengi wa afrika wamefika kule taryari...it depends on the ties between china and the african country...in kenya, we have the sgr....the president must be there to witness those deals...in tz, there's nothing of importance they are doing with China at the moment...
one of the advantages of our strategic position in africa...EAC na SADC na Kati vyote inabidi viwakilishwe na Kenya maana watakapozungumzia hiki kitu, itabidi wengine wote mbaki kimyaaa
![]()
Umesoma hii lakini kijana? au unaangalia tu isssue za Uhuru!!?
Majitu yasiyojua Kiingereza ndio yanayopiga sana makelele.
Nakumbuka Magufuli alienda Uganda kwa Museven, akapigwa swali na mwanahabari wa kizungu AKABAKI ANABABAIKA VIBAYA SANA.
Ilibidi Museven aokoe Jahazi.
Ni fedheha kubwa sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
yeah but that deal is far from reality...the loans haven't even been availed...theres is not set date for commencement of construction...this is actually going to take a while plus I dont think Tanzania can afford a 10 billion dollar loan as they are also building a railway...in other words, this project will take almost a decade before it materializes,...those are just MoUs...nothing of significance...but on the other hand, our railway has already reached Nairobi...we are talking about tangible deals here..not deals that are merely on paper and there is a very high chance that they are not going to materialize...Tanzania after along time of negotiation finally signed a $10bn Build operate. Transfer deal with China for bagamoyo.- That is twice as big as Kenya SGR interms of cost. On top of that, The millitary of China will conduct training and supply of Equipment to TPDF.
As you can see, JPM sends his Provincial Commissioner to china, Not even his VP,Prime Minister or Foreign Affairs Minister..
Uhuru the president will be sitting on around table with Xi Jinping and A provincial commisioner of Tanzania who is getting better deals than him ;D
Jpm anaziara kanda ya ziwa,Sie tulishamzoea hua hana time na hao jamaa kabisa!!bora ingekua inafanyikia adis ababa angeenda ,yeye huwapokea tu wakija******** has no words to say that's why he is sending representatives [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ole lenku anakaa ni kama ameshtuka kuona Uhuru Kenyatta.Amekwenda kwenye hafla ya 2018 FOCAC, japo pia kama ilivyo kawaida, atakua na vikao vya pembeni vya kutengeneza deals kali kali.
Mada zitakazojadiliwa huko ni pamoja na
Chinaโs Belt and Road Initiative
The United Nationsโ 2030 Agenda for Sustainable Development
The African Unionโs Agenda 2063
Development strategies of individual African countries
![]()
President Uhuru Kenyatta leaves for China on Friday, August 31,2018. Photo/PSCU
President Uhuru Kenyatta left the country for Beijing where he is scheduled to attend the Forum on China-Africa Cooperation (FOCAC) Summit.
The plane carrying the Head of State and his delegation departed Jomo Kenyatta International Airport shortly after 7pm on Friday.
Leader of Majority in Parliament Aden Duale, Head of Public Service Joseph Kinyua and Chief of Defence Forces General Samson Mwathethe were at the airport to see off the President.
Besides the FOCAC Summit, President Uhuru Kenyatta is expected to hold bilateral talks with his host, President Xi Jinping.
The meeting will focus on trade, infrastructure, investments, education and technology which are common areas of interest for both Kenya and China.
The President travels to the Chinese capital a day after meeting with British Prime Minister Theresa May in Nairobi and shortly after he returned from a historic meeting with US President Donald Trump in Washington DC.
While addressing a joint press conference with PM Theresa May in Nairobi on Thursday, President Uhuru Kenyatta said Kenya will follow realistic cooperation with all global partners.
He added that Kenya and the Britain have reciprocal interests and especially those that ensure the lives of Kenyans are improved.
The goal of the 2018 FOCAC meeting is the promotion of economic and trade cooperation between China and African economies.
It also seeks to synergise Chinaโs Belt and Road Initiative, the United Nationsโ 2030 Agenda for Sustainable Development, the African Unionโs Agenda 2063, and the development strategies of individual African countries.
https://citizentv.co.ke/news/presid...ications&utm_campaign=onesignal_notifications
nice one.
Build Operate Transfer Project is Not A loan. Poor negotiators are the ones who get loans. BoT is a sort of differed FDI which accrues when the period of BoT ends or is renogotiated.yeah but that deal is far from reality...the loans haven't even been availed...theres is not set date for commencement of construction...this is actually going to take a while plus I dont think Tanzania can afford a 10 billion dollar loan as they are also building a railway...in other words, this project will take almost a decade before it materializes,...those are just MoUs...nothing of significance...but on the other hand, our railway has already reached Nairobi...we are talking about tangible deals here..not deals that are merely on paper and there is a very high chance that they are not going to materialize...
Jaribu kuwafanya research kijana kabla ya kuanza kujiaibisha kwenye mitandao.marais wengi wa afrika wamefika kule tayari...it depends on the ties between china and the african country...in kenya, we have the sgr and many other projects we are cooperating with China such as the Nairobi Global Business Centre and Ngara real estate projects....the president must be present to witness such deals being signed...as for tz, there's nothing of significance they are doing with China at the moment...
Umesoma hii lakini kijana? au unaangalia tu isssue za Uhuru!!?
you have a point...for once I think I agree with you...there are things we might have done differently in relation to the sgr...however, lets cut the guy some slack...he has performed better than any other president we've had...remember Moi?๐๐Build Operate Transfer Project is Not A loan. Poor negotiators are the ones who get loans. BoT is a sort of differed FDI which accrues when the period of BoT ends or is renogotiated.
In actual sense, Dar Provincial commisioner is making better deals than Uhuru. What a shame
Jaribu kuwafanya research kijana kabla ya kuanza kujiaibisha kwenye mitandao.
Tanzania ni kati ya nchi nne za Afrika ambazo china inaweka uwekezaji mkubwa.
Hebu jaribu kusoma hapa uelewe uhusiano uliopo kati ya Tanzania na china. Kuna mambo mengi tu ya kukueleza
Ondoa neno EAC, unatulazimiamsha kumeza vitu ambavyo sio vyetu. Nyinyi nendenia mkajibu maswali ya kwanini mlimpiga picha mchina ana chimba dawa.
Nyinyi wa tizii mmempandisha jukwaani balozi wa china akafanya kampeni za ccm!!Ondoa neno EAC, unatulazimiamsha kumeza vitu ambavyo sio vyetu. Nyinyi nendenia mkajibu maswali ya kwanini mlimpiga picha mchina ana chimba dawa.
My friend unatakiwa ujue relationship iliyopo kati ya Tanzania na china.yeah but that deal is far from reality...the loans haven't even been availed...theres is not set date for commencement of construction...this is actually going to take a while plus I dont think Tanzania can afford a 10 billion dollar loan as they are also building a railway...in other words, this project will take almost a decade before it materializes,...those are just MoUs...nothing of significance...but on the other hand, our railway has already reached Nairobi...we are talking about tangible deals here..not deals that are merely on paper and there is a very high chance that they are not going to materialize...
My friend unatakiwa ujue relationship iliyopo kati ya Tanzania na china.
Msipo angalia mtaonekana nchi yenu ni maraya. Uhuru need to be careful with international politics.
Hebu anza na hii hapa ya juzi tu:-
Najua maumivu yanakuingia kwa nguvu kubwa. Badala ya kujipendekeza kwenye nchi ya Tanzania ili ikawakilishe EA wewe unapiga porojo.hahahaha hakuna cha maana hapo...you must look at the amount in billions of dollars..kenya/china trade is in the billions of dollars...I think 10 billion dollars and above....now that is what we call cooperation....sio hizi projects ndogo ndogo ambazo sio lazima rais awe present kule china...ndio maana katuma mwakilishi