ILISACHA
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 2,184
- 4,030
Kwa hiyo barabara ya Uhuru kama unaelekea Mlango Mmoja vipo jirani na Nyegezi karibu kabisa na kambi ya jeshi?
Huo mtaa wa mkanyenye ndipo hospital ilipo nadhani pamekuwa padogo make panebanana ni kweli hata packing ni ndogo mno kwa hiyo pale Esien eneo lile ni kubwa na panafaa pia