Uhuru Kenyata yeye kaongeza mshahara bila kumug'unya hata maneno. Hapa kwetu mshahara unaongezwa kwa kificho

Uhuru Kenyata yeye kaongeza mshahara bila kumug'unya hata maneno. Hapa kwetu mshahara unaongezwa kwa kificho

Serikali omba omba hii ina hofu ya wage Bill kua kubwa.

Mwaka jana wakati hagaya anaongea alikua na kimuhe muhe cha urais akajua anaweza kuropoka chochote tu
 
Ye kenge akiharibu nchi, si mlikuwa mnamuita huyu kibaraka wa mabeberu.
Utaongeza kwa uchumi ulioporomoka?
Lakini sasa hivi si makusanyo yameongezeka sana, na rekodi zote zimevunjwa?
 
Back
Top Bottom