Kwani kuna mahala alitabiriwa kuwa masikini hadi kufa? Ni kujipanga my fren.Kutoka kuwa muuza kuku mpaka kuwa one of the richest person in Kenya
Saitoti alikuwa anataka kugombea urais ama kumuunga mkono Raila na kwasababu alikuwa very powerful than Uhuru Kenyatta ilikuwa hakuna njia nyingine lazima afanyiwe mambo yaleeee.
Mimi napenda sana siasa ya Kenya 2022 kuna possibility kubwa NASA na KANU wakaungana kama Jubilee watamsimamisha Ruto. Kura za Rift valley itagawanyika mara 2 hapo ndipo uwezekano wa Ruto kuwa Rais utakufa
Watamtungua kwenye helicopter km wengneInamuondolea sifa ukiwa na mtazamo chanya, lakini Afrika watu wenye sifa za ufisadi ndio hupendwa sana. Ilmradi jina lako linatajwa tajwa na kuanikwa kwenye vyombo vya habari, hiyo imetosha.
Japo pia hamna kiongozi msafi hapa Kenya, wote mafisadi lakini wana wafuasi ambao huwambii kitu, hebu leo rais Uhuru adiriki kumfuta huyo Ruto ndio utajua kisa kilichomfanya chui awe na madoadoa, kwanza huko kuthubutu ndiko kulimharibia Raila maana alipogombana na Ruto akaishia maisha ya kwenye gizani na baridi.
Leo hii huyo Ruto ndiye ngao ya rais Uhuru, kwa kweli nakiri kwamba isingekua Ruto, Raila angeingia ikulu tena asubuhi saa nne. Lakini Raila akiwa waziri mkuu kwa unafiki akajifanya kupigana na Ruto kisa ufisadi (ilhali Raila mwenyewe mfisadi mkuu na amezungukwa na mafisadi wakubwa), sasa alimfuta kazi na kumuondolea nje nje, Ruto akacheza high voltage politricks na leo yupo anakunywa chai ikulu kama naibu wa rais.
Ruto amekua anatumia raslimali za serikali kujiandalia mazingira ya kuingia ikulu kama rais kwenye uchaguzi ujao, amekusanya viongozi wake, hata gavana wa Nairobi bwana Mike Sonko ni kibaraka wake, aliwafadhili viongozi wengi sana hata mkoa wa kati ambao huko ni mfupa uliomshinda fisi. Nilishangaa sana juzi bibi yangu kijijini anasema bora afe kwenye foleni lakini lazima ampigie Ruto kura.
Jamaa ni mjanja sana kisiasa na hili nalisema bila kutetereka yeye ndiye atakua rais baada ya Uhuru, labda Mwenyezi Mungu amchukue, lakini kama bado yupo hapa, hatuna jinsi, bora tujiandae tu kwa urais wake. Japo ni mzuri kiutendaji lakini mfisadi vibaya sana, yeye hunyakua bila kujali chochote, yeyote, au lolote.
To be precise... kanda ya usukumani.Lipo kilabila zaidi ... mweshimiwa kaamua huu ni muda wa kanda ya ziwa
Kwani wasukuma wamefika wangapi? baraza la dikteta uchwara.Baadae mnisaidie kuhesabu wakikuyu na wakalenjin watakuwa wangapi,
Kisha Sammuel999 atanisaidia kubaini wajaluo walioukwaa uwaziri
Kwani wasukuma wamefika wangapi? baraza la dikteta uchwara.
Kwani wasukuma wamefika wangapi? baraza la dikteta uchwara.
Ina maana Tz hamna masikini yeyote anaweza kuwa Rais wa Taifa?
Ata wakiungana na servers zinakuwa controlled na Jubilee ni upuuzi.Mimi napenda sana siasa ya Kenya 2022 kuna possibility kubwa NASA na KANU wakaungana kama Jubilee watamsimamisha Ruto. Kura za Rift valley itagawanyika mara 2 hapo ndipo uwezekano wa Ruto kuwa Rais utakufa
Huyo ndo rais wenu 2022 -2032Dah hizi povu zote ni wazi huyu jamaa atakua rais....
Mzee unataka nikujibu wewe au muuliza swali wa awali?Toyota escudo akileta PR hapa kwa hili swali niitwe
Eti nini? Hata uongo usemwe mara hamsini kamwe hutobadilika, utabaki uongo tu. Ukweli ni kwamba wakenya tulimkataa kata kata huyo chizi. Endeleeni na kelele zenu sisi tutaendelea tu kuchapa kazi. 2022, inshallah wembe utakuwa ni ule ule.Ata wakiungana na servers zinakuwa controlled na Jubilee ni upuuzi.
Ikumbukwe RAILA hajawahi kushindwa since 2007.
Date 26 october iliwafungua watu wengi macho.
Mzee unataka nikujibu wewe au muuliza swali wa awali?
Huwa nashidwa mara nyingi kubaini majina ya makabila ya tz kama ilivyo yale ya kenya.Kwani wasukuma wamefika wangapi? baraza la dikteta uchwara.
Basi sawa, ngoja mleta hoja anisaidie kuwabaini.Uliomba utajiwe hesabu za makabila ndani ya mawaziri wa Uhuru, huyo naye akakupa changamoto kwamba uanzie nyumbani, maana sizonje kapendelea kwao kwa Wasukuma
Wewe ndo bwege kabisa, hapo kafunika kipi kwa mfano, mihemuko ya mirungi toa hapahehehe,umemfunika huyu bwege za uso fasta fasta😀
Mbona akina herufi O hawamo ktk uteuzi huo?Rais Uhuru Kenyatta ametangaza baraza jipya la mawaziri leo Ijumaa ya leo jioni
Rais huyo amewabakisha mawaziri 6 na kuwaondoa 13, moja ya mawaziri wapya ni aliyekuwa mwendesha mashtaka mkuu wa serikali Keriako Tobiko.
==================================================
View attachment 669245
President Uhuru Kenyatta has unveiled his new Cabinet.
In an address to the nation Friday, President Kenyatta retained Cabinet secretaries Fred Matiang’i (Interior), Charles Keter (Energy), Najib Balala (Tourism), Henry Rotich (Treasury), Joe Mucheru (ICT) and James Macharia (Transport).
He appointed new Cabinet secretaries who include Director of Public Prosecution Keriako Tobiko, former Marsabit governor Ukur Yatani and former Turkana Senator John Munyes.
Former Nakuru Governor Kinuthia Mbugua replaces Lawrence Lenayapa as State House Comptroller. Mr Lenayapa has been appointed Kenya ambassador to Netherlands.
In changes in the National Police Service, President Kenyatta dropped Ndegwa Muhoro as Director of Criminal Investigations and George Kinoti appointed to the position in acting capacity.
Mr Joel Kitili and Samuel Arachi were also dropped as heads of Kenya police and Administration Police and were replaced by Mr Edward Njoroge Mbugua and Mr Noor Gabow
Hata Uganda palikuwa pagumu sana, lakini kwa nguvu ya jeshi palilainika kama mkateKenyatta hawezi hilo, Kenya huwa pagumu sana kutawala kimabavu, leo hata urais wa Kenyatta haujatulia maana Odinga anamchokonoa sana.