Uhuru Kenyatta achagua baraza jipya la mawaziri

Saitoti alikuwa anataka kugombea urais ama kumuunga mkono Raila na kwasababu alikuwa very powerful than Uhuru Kenyatta ilikuwa hakuna njia nyingine lazima afanyiwe mambo yaleeee.

Naona bado hujapatia siasa za Kenya, Saitoti alikua powerful than Uhuru? Kwa watu ambao ingekua wanauawa kwa ajili ya umaarufu, basi Saitoti sio mmoja wao, hakua na umati au wafuasi. Kenya kuna watu wenye wafuasi sio mchezo, akilisema linafanyika kwa mfano huyu Raila kuna wafuasi wake huwa tayari kufia mbali kwa ajili yake.
 
Mimi napenda sana siasa ya Kenya 2022 kuna possibility kubwa NASA na KANU wakaungana kama Jubilee watamsimamisha Ruto. Kura za Rift valley itagawanyika mara 2 hapo ndipo uwezekano wa Ruto kuwa Rais utakufa

Ndio maana nikasema huzijui siasa za Kenya, yaani Ruto agombee urais halafu kura za Rift Valley zipasuke, hivi kaka umeamkia mbege asubuhi. Labda uniambie KANU wakiungana na NASA, halafu viongozi wa NASA wote kwa pamoja wamuunge mkono Gideon Moi, hapo sasa nitakuelewa, ila hilo haliwezekani maana hao NASA wote wanataka urais 2022 na kila mmoja ameahidiwa hilo na Raila, sasa kuwashawishi wasitishe na kumuunga mvamizi ambaye hakua nao tangu mwanzo, ni ndoto za alfu ulela.
 
Watamtungua kwenye helicopter km wengne
 
Yaani ukiwa adui wa Ruto kisiasa wewe kwishney! Huyu mlokole anasa zake ni kuchapa tu karata za kisiasa. Hana time ya kujivinjari na Tusker baridi kama kina Raila, Mudavadi na Wetangula. Wanasiasa wenzake wanamuogopa kwasababu hawamuelewi. Cheki alivomnasua mwenzake Issack Rutto kule Bomet. 2022 hamna cha kubishana, kwa Ruto itakuwa ni 'walkover' tu hadi ikulu.
 
Mimi napenda sana siasa ya Kenya 2022 kuna possibility kubwa NASA na KANU wakaungana kama Jubilee watamsimamisha Ruto. Kura za Rift valley itagawanyika mara 2 hapo ndipo uwezekano wa Ruto kuwa Rais utakufa
Ata wakiungana na servers zinakuwa controlled na Jubilee ni upuuzi.
Ikumbukwe RAILA hajawahi kushindwa since 2007.
Date 26 october iliwafungua watu wengi macho.
 
Ata wakiungana na servers zinakuwa controlled na Jubilee ni upuuzi.
Ikumbukwe RAILA hajawahi kushindwa since 2007.
Date 26 october iliwafungua watu wengi macho.
Eti nini? Hata uongo usemwe mara hamsini kamwe hutobadilika, utabaki uongo tu. Ukweli ni kwamba wakenya tulimkataa kata kata huyo chizi. Endeleeni na kelele zenu sisi tutaendelea tu kuchapa kazi. 2022, inshallah wembe utakuwa ni ule ule.
 
Uliomba utajiwe hesabu za makabila ndani ya mawaziri wa Uhuru, huyo naye akakupa changamoto kwamba uanzie nyumbani, maana sizonje kapendelea kwao kwa Wasukuma
Basi sawa, ngoja mleta hoja anisaidie kuwabaini.
 
Mbona akina herufi O hawamo ktk uteuzi huo?
 
Kenyatta hawezi hilo, Kenya huwa pagumu sana kutawala kimabavu, leo hata urais wa Kenyatta haujatulia maana Odinga anamchokonoa sana.
Hata Uganda palikuwa pagumu sana, lakini kwa nguvu ya jeshi palilainika kama mkate
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…