Uhuru Kenyatta anafanya kazi nzuri sana dhidi ya Somalia

Uhuru Kenyatta anafanya kazi nzuri sana dhidi ya Somalia

Wacha habari za Misibani,Wakenya ni wachapakazi Wivu hauna tija chapa kazi Dezo dezo mbaya.
Dezo dezo kama zipi? kwan watanzania sio wachapakaz au unadhan surplus ya mazao yetu huwa wanakuja kulima wakenya nn...yaan mtu anaezalisha chakula cha ziada ashindwe kujituma kuliko mkenya hahahahha naona unamaanisha mashamba ya tz yanajilima huku si tukiwa uvivuni kitandan au sio...
 
Dar es Salaam Tanzania has one of the third largest slum growth rates in the whole of Africa. Slums that develop in Tanzania's cities to travel to are over 6% in a year's time. The population of the people in those slums is also rated as the sixth in the whole Africa region.
Tunaombaa proof anko hatutaki vmaneno vyako
 
kwanza ujue ummayed..kenya hatulipii kodi nyumba au kiwanja kwa serikali....labda biashara na majengo ambayo ni ya biashara..tena hayo majengo ya biashara labda city center ama town center...
Mlipe kodi za nyumba au viwanja wakati hata kiwanja huna utajuaje ka wanalipa au hawalipi hahahah
 
Na km wana uchumi imara mbona hawapigi maendeleo zaid sisi tz tuliotoka nyuma tunawakuta na tutawapita hv ht maana ya uchumi imara unajua ww au unaropoka uchumi imara ni km wa Egypt ama Morocco sio wa kenya ambae mirad yake amechukua muda kuiendeleza mpk tunamkuta nina wasiwasi na ww unaishi kwa kasumba pole sana
Ikitaka ujue mikenya mipuuzi iiulize inclusive economy ni nini ka wanajua hahahahah
 
Mlipe kodi za nyumba au viwanja wakati hata kiwanja huna utajuaje ka wanalipa au hawalipi hahahah
watu wana viwanja makwao mpaka vimeota nyasi vingine...lkn hamna siku mtu atakuja kutafuta eti ujenge au kitaifiswhe ..ardhi ni ya kila mtu bana....bora hela zako..vp unakisima kwanza nikusaidie kukilipia kodi...bwahahaa
 
Mwambie sadari wako awe anaikausha vizuri hiyo bangi anayokuuzia Anko sawaa..usije data buree
I know everyone praises his own nation, but TZ on military strength you really over-estimate yourself.
 
Kadata huyo mjaruo
Dezo dezo kama zipi? kwan watanzania sio wachapakaz au unadhan surplus ya mazao yetu huwa wanakuja kulima wakenya nn...yaan mtu anaezalisha chakula cha ziada ashindwe kujituma kuliko mkenya hahahahha naona unamaanisha mashamba ya tz yanajilima huku si tukiwa uvivuni kitandan au sio...
 
Back
Top Bottom