TEMLO DA VINCA
JF-Expert Member
- Sep 1, 2013
- 3,079
- 3,367
Sgr ya Kenya hasara tupuu.. Et sgr inakua na speed sawa na mgr ya tz ikimalizika kukarabatiwa hahahahaSGR ya kenya inafanya kazi wakati ya kwetu bado hata haijafika popote halafu unasema mambo ya Opera mini!...kha!
Dezo dezo kama zipi? kwan watanzania sio wachapakaz au unadhan surplus ya mazao yetu huwa wanakuja kulima wakenya nn...yaan mtu anaezalisha chakula cha ziada ashindwe kujituma kuliko mkenya hahahahha naona unamaanisha mashamba ya tz yanajilima huku si tukiwa uvivuni kitandan au sio...Wacha habari za Misibani,Wakenya ni wachapakazi Wivu hauna tija chapa kazi Dezo dezo mbaya.
Tunaombaa proof anko hatutaki vmaneno vyakoDar es Salaam Tanzania has one of the third largest slum growth rates in the whole of Africa. Slums that develop in Tanzania's cities to travel to are over 6% in a year's time. The population of the people in those slums is also rated as the sixth in the whole Africa region.
Mlipe kodi za nyumba au viwanja wakati hata kiwanja huna utajuaje ka wanalipa au hawalipi hahahahkwanza ujue ummayed..kenya hatulipii kodi nyumba au kiwanja kwa serikali....labda biashara na majengo ambayo ni ya biashara..tena hayo majengo ya biashara labda city center ama town center...
Prove budaLike I said before the amount of resources and money Tanzania has lost over the years is much more than that of Kenya and nobody is ready to admit.
Ikitaka ujue mikenya mipuuzi iiulize inclusive economy ni nini ka wanajua hahahahahNa km wana uchumi imara mbona hawapigi maendeleo zaid sisi tz tuliotoka nyuma tunawakuta na tutawapita hv ht maana ya uchumi imara unajua ww au unaropoka uchumi imara ni km wa Egypt ama Morocco sio wa kenya ambae mirad yake amechukua muda kuiendeleza mpk tunamkuta nina wasiwasi na ww unaishi kwa kasumba pole sana
Hebu niambie maana
Lete pic kama kawaida yakoMbona kwenye Viwavijeshi huku comment
hahaaaaa...umetema povu km watu kumi walai...bwahahaaa....mtalipia mpka hewa mwisho nakwambia...Mlipe kodi za nyumba au viwanja wakati hata kiwanja huna utajuaje ka wanalipa au hawalipi hahahah
mueleweshe kabisa pia katika umaskini pia mpo vizuri...49% karibia nusu ya nchi...bwahahaaaaIkitaka ujue mikenya mipuuzi iiulize inclusive economy ni nini ka wanajua hahahahah
watu wana viwanja makwao mpaka vimeota nyasi vingine...lkn hamna siku mtu atakuja kutafuta eti ujenge au kitaifiswhe ..ardhi ni ya kila mtu bana....bora hela zako..vp unakisima kwanza nikusaidie kukilipia kodi...bwahahaaMlipe kodi za nyumba au viwanja wakati hata kiwanja huna utajuaje ka wanalipa au hawalipi hahahah
I know everyone praises his own nation, but TZ on military strength you really over-estimate yourself.Mwambie sadari wako awe anaikausha vizuri hiyo bangi anayokuuzia Anko sawaa..usije data buree
Kama ni hasara SGR Kenya, tuonyeshe faida ya SGR Tz ambayo bado haijatoka kibaha.Sgr ya Kenya hasara tupuu.. Et sgr inakua na speed sawa na mgr ya tz ikimalizika kukarabatiwa hahahaha
Sio kweli Mishtuko ya kuwaona TRA lazima mkondeane.
Hahaahahahaahah niletee jina na picha ya hiyo slum sio kushabikia shabikia tu
Sgr ya Kenya hasara tupuu.. Et sgr inakua na speed sawa na mgr ya tz ikimalizika kukarabatiwa hahahaha
Dezo dezo kama zipi? kwan watanzania sio wachapakaz au unadhan surplus ya mazao yetu huwa wanakuja kulima wakenya nn...yaan mtu anaezalisha chakula cha ziada ashindwe kujituma kuliko mkenya hahahahha naona unamaanisha mashamba ya tz yanajilima huku si tukiwa uvivuni kitandan au sio...