Uhuru Kenyatta anafanya kazi nzuri sana dhidi ya Somalia

Uhuru Kenyatta anafanya kazi nzuri sana dhidi ya Somalia

Mpk sasa Umeshinda vita gan na km umetushinda economic wise mbona percent zako za ukuaji uchumi ni stagnant ht Rwanda mwak jana alikushinda una economic wise ipi kila siku mambo yaleyale hauna mabadiliko
ha ha ha vita TZ imepigana tu ni Uganda war , na niliiwambia Amin alikuwa amesambaratisha Uganda kwa hivyo jeshi lake lilikuwa dhaifu sana, isitoshe Waganda walikuwa hawamtaki na wengi wao waliunga mkono TZ.

Kenya, tumewashinda - technologia , economic wise, military assets, Training, logistics capability ... sasa mtashinda vipi.
Wacheni kujiaibisha... vita vya TZ na KE, haviwezi kupita wiki tatu, wiki ya nne GSU na AP watakuwa wanafanya mop-up Dar ..
 
Ndio unavyojidanganya hujui asset za tz hzo ni takwimu za makaratas ingekua zinafanya kaz bwana wako mmarekani angemshinda iran.km we mwanaume vta ngapi ulishinda na mbona alshabaab wanakuingilia had choon
Angani gani???
Kenya
Our light attack helicopters alone are - 54
Utility helicopters - 34 ,
Fixed wing Transport planes are - 21
Fighters jets - 17
trainer jets - 26
Drones - 8
Surveillance/Reconnaissance - 2

Tanzania
attack helicopters - 0
Utility - 8
Fixed wing transport planes - 5
Fighters jets - 15
trainer jets - 8
Drones - 0
Surveillance/Reconnaissance - 1

Ubaya wenu ni kuhadaiwa na serikali ya CCM kutoka 1963 ... angani tutatawala baada ya siku 3
 
Hiyo A100-MRL inawatosha kuwakeketea nayo
Hiyo A100-MRL hata China hawatumii, it's un-tested and not reliable

1107490
 
Ndio unavyojidanganya hujui asset za tz hzo ni takwimu za makaratas ingekua zinafanya kaz bwana wako mmarekani angemshinda iran.km we mwanaume vta ngapi ulishinda na mbona alshabaab wanakuingilia had choon
Kama vita havishindwi kwa makaratasi vitashindwa kwa mdomo wenu...shinda hapa ukiongea kuhusu Iran.. little knowledge is very dangerous
 
Onyesheni uwezo on the ground, usituletee longolongo za kwenye karatasi.

LMFAO... that's what you call 200 missiles in 30s ? ati iron rain hahaha....I wish you could see how kdf artillery shells alshabaabs positions I will post the video here in 2hrs time.
 
Hiyo A100-MRL hata China hawatumii, it's un-tested and not reliable

View attachment 1107490
Another problem is the time taken to reload. it takes almost 30mins to reload. Thats enough time to get completely destroyed unless you have a very solid air defence that is capable of long range engagements.
 
LMFAO... that's what you call 200 missiles in 30s ? ati iron rain hahaha....I wish you could see how kdf artillery shells alshabaabs positions I will post the video here in 2hrs time.
Show us pleas any missile if you have any.
 
Angani gani???
Kenya
Our light attack helicopters alone are - 54
Utility helicopters - 34 ,
Fixed wing Transport planes are - 21
Fighters jets - 17
trainer jets - 26
Drones - 8
Surveillance/Reconnaissance - 2

Tanzania
attack helicopters - 0
Utility - 8
Fixed wing transport planes - 5
Fighters jets - 15
trainer jets - 8
Drones - 0
Surveillance/Reconnaissance - 1

Ubaya wenu ni kuhadaiwa na serikali ya CCM kutoka 1963 ... angani tutatawala baada ya siku 3
Please, let me know which fighter jets you have, their model(generation), speed, range and firing power.

What I know is that, KDF uses very old F-5 second generation with maximum speed of 1700Km/hr, they are only six in number, prove me wrong on this.
 
Endapo itatokea vita kati ya KDF na JW basi JW watashinda kiwepesi saana kwa ukanda huu nchi ambayo inaweza kusumbuana saana kijeshi na Tz ni Uganda peke yake
Pia Uganda anao uwezo wa kuwatwanga vizuri tu KDF,burundi,Rwanda na drc kwa pamoja
M
Wale waliopigana na Uganda wamestaafu na wale wapo ni hawa vijana wa chipsi mayai ambao watatu wanazabwa makofi na mkenya wa kawaida mpaka wanazirai.
Truth be told, Tanzanians fear Kenyans the most in EA.Nao wakenya hawana muda wa kupoteza wakizozana na majirani kwa hivyo msahau vita kati ya KE na TZ.
 
Uganda kawanyanganya kisiwa
Ethiopia kila siku wanauwa raia wenu
Somalia nae now anawavimbia alafu bado tu mnajidai kuwa mna jeshi la ulinzi
M
Wale waliopigana na Uganda wamestaafu na wale wapo ni hawa vijana wa chipsi mayai ambao watatu wanazabwa makofi na mkenya wa kawaida mpaka wanazirai.
Truth be told, Tanzanians fear Kenyans the most in EA.Nao wakenya hawana muda wa kupoteza wakizozana na majirani kwa hivyo msahau vita kati ya KE na TZ.
 
Please, let me know which fighter jets you have, their model(generation), speed, range and firing power.

What I know is that, KDF uses very old F-5 second generation with maximum speed of 1700Km/hr, they are only six in number, prove me wrong on this.
ha ha ...what jets do you have ? why are you ignoring that our helicopter number is 5 times yours?

your jets are chinese junk, ours may be an old air-frame but they are proven in combat, and not only that, they are in great condition and our pilots have more hours of training on them..
Zenu hata hamna uhakika kama zinaweza ruka angani...
Your Airforce is non-existence kaka... nothing to talk about..
 
Wewe ndunya jw ilipeleka pilot na engineer kitambo sana huko wakajifunze alafu umahiri wa pilot wa JW ni wa toka kitambo

Robert mbona ndie pilot wa kwanza Africa aliyeweza kufanya mig-21 ndege ya kizamani isionekane kwenye radar
Kwa hivyo kama hamuwezi afford mig29 saa hizi, mtanunua wakati wa vita?? mtafanya training wakati mgani ???
TZ military wise ni ovyo sana, mnafikiria kwamba kujigamba ndio ubabe, bure kabisa...

Vita vya siku mbili unahesabu kuwa experience,??? hizo ni "military operations tu".
 
Uganda kawanyanganya kisiwa
Ethiopia kila siku wanauwa raia wenu
Somalia nae now anawavimbia alafu bado tu mnajidai kuwa mna jeshi la ulinzi
Arguing with Bongolalas on anything that requires logic,facts and reason is always a pain.
payukapayuka bila lolote.. Ke is not at war with Ug or Eth or Somalia.. i like taking part in a discourse that adds value to me not just shouting like kids.. no numbers, thought process or reason or even substantive arguments..just trash
 
Uganda kawanyanganya kisiwa
Ethiopia kila siku wanauwa raia wenu
Somalia nae now anawavimbia alafu bado tu mnajidai kuwa mna jeshi la ulinzi
. Megafuli kaiba ng'ombe wa wakenya
.megafuli kachoma vifaranga
.
Hapa umesoma sifa kuu ya wakenya.
upole si sifa yenu ni ya wakenya. Hawapendi vita kwa sababu wanaelewa madhara tofauti na nyinyi wanafiki kupenda kujionyesha na hamjui chochote
 
Upole au UOGA na wale fanya Fujo wa namanga huwa ni raia wa wap

Upole upi aliyakuwa 2007 ulishikia mapanga wenzako
. Megafuli kaiba ng'ombe wa wakenya
.megafuli kachoma vifaranga
.
Hapa umesoma sifa kuu ya wakenya.
upole si sifa yenu ni ya wakenya. Hawapendi vita kwa sababu wanaelewa madhara tofauti na nyinyi wanafiki kupenda kujionyesha na hamjui chochote
 
ha ha ...what jets do you have ? why are you ignoring that our helicopter number is 5 times yours?

your jets are chinese junk, ours may be an old air-frame but they are proven in combat, and not only that, they are in great condition and our pilots have more hours of training on them..
Zenu hata hamna uhakika kama zinaweza ruka angani...
Your Airforce is non-existence kaka... nothing to talk about..
The message is clear now, JWTZ sio mchezo. We dominate Air and marine.

F-5 zenu zilitengenezwa 1950s, second generation haziendani na teknelojia ya kisasa, radar zake hazina uwezo wa kugundua in coming missiles, ndio sababu moja ilidunguliwa na Alshabab ambao wanatumia silaha duni sana za kudungulia ndege, hazina uwezo wa kutumia "lesser guided missiles, sasa utapiganaje vita vya kisasa bila kuwa na lesser guided missiles?. F-5 hazitumiki tena duniani kote.
 
Back
Top Bottom