Vita havipiganwi kwa mdomo kaka, TZ ni kazi nyepesi ... From 2003 we have been outspending TZ, UG , Rwanda ,Burundi , Ethiopia in military spending - weapons and training. In a week Magufuli will be swimming across Lake Tanganyika.
ukitaka naleta facts.shida ni kwamba hata jeshi lenu tunajua silaha mlizo nazo.
Kwenye Eastern Africa ,Uganda Air force tu ndiyo wanashtua kidogo juu ya SU-30 walizo nazo 6, lakini tunajua kwamba Training na experience ya kuzitumia hawana. Kama kuruka na helicopter 3 kupitia Kenya kwenda Somalia kuliwashinda sembuse wakati wa vita...