joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
Ubaguzi ni ubaguzi, hauna nchi, dini wala rangi. Wakenya ni wabaguzi sana, wasomali ni wabaguzi sana, wote ni wabaguzi usianze kujenga hoja ya kuhalalisha ubaguzi uliopo Kenya.sasa mtanzania aede kenya na mwngine aende somalia...uone wapi atabaguliwa...ishu za kenya za siasa zisikutie tumbo joto...
nenda somalia alafu ulete marejesho..ama hata somalia ni mbali..nenda garissa tu