Uhuru Kenyatta anafanya kazi nzuri sana dhidi ya Somalia

Uhuru Kenyatta anafanya kazi nzuri sana dhidi ya Somalia

Kenya has already taken a stand my people, the outcome of the court will not be relevant....not an inch less.
WE ARE READY TO PLAY DIRTY WITH SOMALIA... THEY CAN FORGET ABOUT THEIR COUNTRY
 
Some of you are supporting Somali's claims of drawing the border diagonally as according to the land border, but forget that will open a can of warms along the African coast.. but that part of the effect on the TZ/KE border you don't want to hear...
 
Sisi ni nchi yenye watu makini wenye kufuata sheria, sio kana ninyi kila mara kulalamika na kujifanya wakati wote ninyi ni "victims", tabia hiyo ndiyo inayosababisha Kenya na Tanzania hatuelewani, jaribuni kuwa humble Tony254, hivi hamjishangai mlivyo?, ninyi ni watu wa kulalamika muda wote kwamba dunia nzima haiwapendi.

Kama MAHAKAMA itaamua kuchukua bahari ya Tanzania iwe yenu, hutosikia Tanzania ikilalamika, kwasababu tutajua hiyo ni sehemu ya Kenya. Badilikeni Tafadhali, kweli mnakera sana, yaani majirani zenu wote tumewachoka Sana.
You are always online 24/7 na zile vitu unaongea hazimake sense.
 
The dispute is ke v somalia
If kenya feels like involving Tz, they are free to do so at their own risk..
Shame take migingo back first
Migingo is a political issue, and by the way , the fishermen there are Kenyans..it's true things have dragged along on official demarcation but UG is not an enemy state , they are one of our biggest trade partners. you don't kill mosquito size issues with a hammer..
 
Sisi ni nchi yenye watu makini wenye kufuata sheria, sio kana ninyi kila mara kulalamika na kujifanya wakati wote ninyi ni "victims", tabia hiyo ndiyo inayosababisha Kenya na Tanzania hatuelewani, jaribuni kuwa humble Tony254, hivi hamjishangai mlivyo?, ninyi ni watu wa kulalamika muda wote kwamba dunia nzima haiwapendi.

Kama MAHAKAMA itaamua kuchukua bahari ya Tanzania iwe yenu, hutosikia Tanzania ikilalamika, kwasababu tutajua hiyo ni sehemu ya Kenya. Badilikeni Tafadhali, kweli mnakera sana, yaani majirani zenu wote tumewachoka Sana.
Great minds and great countries are not bound by laws .Us is not a signtory of the ICJ ,China is still expanding it's bases in southchina sea, Russia annexed cremia in 2014 , Israel has occupied all most all of what was formerly Palestine and Kenya already made it's decision on the matter and we aren't negotiating with anyone .
 
The dispute is ke v somalia
If kenya feels like involving Tz, they are free to do so at their own risk..
Shame take migingo back first
Actually some political figures in Tz are secretly supporting somalia on the issue so that Kenyas maritime traffic is lost to tanzanian ports .This is since vessels bound to Kenya will have to pass through Somali waters that are deemed unsafe due to piracy...lakini we all know they are day dreaming.
 
Sawa CDF wa kibera
Nakuhakikishia kwamba simba aliyenyeshewa bado ni simba, usimdunge jicho kwa kidole, hutaishi kuelezea kilichotendeka. Mmezoea kuona kanchi kapole kanaitwa Kenya kila mtu anakadharau lakini kila mtu ana mwisho wa uvumilivu wake. Potelea pote. Wacha sasa tuwe wanyama na kudeal na hawa takataka Somalia bila huruma. Hamna haja ya upole wakati unayejaribu kumsaidia ni kichwa ngumu kushinda mawe. Kabla hatujateremsha kichapo Somalia tuanze na Tanzania kwa sababu wana midomo kubwa kama kasuku.
 
Great minds and great countries are not bound by laws .Us is not a signtory of the ICJ ,China is still expanding it's bases in southchina sea, Russia annexed cremia in 2014 , Israel has occupied all most all of what was formerly Palestine and Kenya already made it's decision on the matter and we aren't negotiating with anyone .
Hahahahaha, you want each country to flex its muscles against its neighbours the way China does to Taiwan?, you want that to happen here in east Africa?, am sure Kenya will be the first country to complain as usual.
 
Wasomali wa Djibouti na hawana shida Wasomali wa Somaliland hawana matatizo ila hawa wa Somalia ni wakorofi sana
 

Dawa ni kuwasaidia ndugu zetu wanaobakwa na kuteswa kila siku ya mungu.
 
Back
Top Bottom