Uhuru Kenyatta anafanya kazi nzuri sana dhidi ya Somalia

sasa mtanzania aede kenya na mwngine aende somalia...uone wapi atabaguliwa...ishu za kenya za siasa zisikutie tumbo joto...

nenda somalia alafu ulete marejesho..ama hata somalia ni mbali..nenda garissa tu
Ubaguzi ni ubaguzi, hauna nchi, dini wala rangi. Wakenya ni wabaguzi sana, wasomali ni wabaguzi sana, wote ni wabaguzi usianze kujenga hoja ya kuhalalisha ubaguzi uliopo Kenya.
 
Ubaguzi ni ubaguzi, hauna nchi, dini wala rangi. Wakenya ni wabaguzi sana, wasomali ni wabaguzi sana, wote ni wabaguzi usianze kujenga hoja ya kuhalalisha ubaguzi uliopo Kenya.
heheee..hata tanzania basi pia kuna ubaguzi km n hvo...kinara akiwa CCM...bwahahaaa
 
heheee..hata tanzania basi pia kuna ubaguzi km n hvo...kinara akiwa CCM...bwahahaaa
Sawa sawa kabisa, sasa hao wanaotushawishi kuwatenga wasomali kwasababu ni wabaguzi, wamesahau kwamba hata hao wakenya wanabaguana kutokana na makabila yao?
 
bongo kwanza ukitaka kutesa kitaa mshike sana mjumbe...utatesa sana...kila mtu....yule ni mgeni wa mjumbe...mwenyekiti mwenyewe hasemi kitu..bora tu usifanye vitu vya kukiuka maadili...alafu usihau elfu kumi kumi na elfu tano za kumhonga mjumbe
 
Sawa sawa kabisa, sasa hao wanaotushawishi kuwatenga wasomali kwasababu ni wabaguzi, wamesahau kwamba hata hao wakenya wanabaguana kutokana na makabila yao?
naona uko na furaha sasa..nikuulize...mkenya akija tanzania na mkenya akienda somalia..ni wapi atabaguliwa...naona kidogo sasa akili amerudi bahali yake matu yangu
 
Sawa sawa kabisa, sasa hao wanaotushawishi kuwatenga wasomali kwasababu ni wabaguzi, wamesahau kwamba hata hao wakenya wanabaguana kutokana na makabila yao?
kwahyo umekubali km jiwe aka chuma, Maguufuli..anawaburuza na kutaka kuumaliza upimzani...
 
Hahahahaha, dhambi ya ubaguzi ni sawa kula nyama ya MTU, utaendelea tu.
Waulize wakenya, kwani Jaluo na Kikuyu sio Bantu?, mbona wanabaguana?
Luos are nilotes and Kikuyus are bantus.
Wala hamna ubaguzi, kwa mfano mwana siasa Babu Owino (Luo) ameoa msichana toka wakikuyu. Mwanawe Rais UK ameoa msichana wa kidhuluo!
Senior Counsel James Orengo ameoa wapi? Naweza kupa mifano mingi tu
 
Luos are nilotes and Kikuyus are bantus.
Wala hamna ubaguzi, kwa mfano mwana siasa Babu Owino (Luo) ameoa msichana toka wakikuyu. Mwanawe Rais UK ameoa msichana wa kidhuluo!
Senior Counsel James Orengo ameoa wapi? Naweza kupa mifano mingi tu
Hahahahaha, kama kuoana kunamaliza ubaguzi, mbona kuna wasomali wengi tu wameolewa au kuoa wabantu?. Huku Tanzania tunao wengi sana wameolewa na watanzania wabantu.
 
Hahahahaha, kama kuoana kunamaliza ubaguzi, mbona kuna wasomali wengi tu wameolewa au kuoa wabantu?. Huku Tanzania tunao wengi sana wameolewa na watanzania wabantu.
Ben Kitili is a Kenyan media personality,from the kamba community unajua ameoa wapi? A Somali lady. Hizi fikra umekomalia ya kamba Kenya kuna ubaguzi tumalize leo!
Tena we don't marry kumaliza "ubaguzi" we do it out of love!
 
sasa mtanzania aede kenya na mwngine aende somalia...uone wapi atabaguliwa...ishu za kenya za siasa zisikutie tumbo joto...

nenda somalia alafu ulete marejesho..ama hata somalia ni mbali..nenda garissa tu
Somalia kuna ubaguzi sana
 
Imhotep wewe mjamaa ni msomaliland , nafatilia sana mada zako una mahaba mazito na Somaliland, naona mnaanza propaganda zidi ya ndugu zenu wasomalia duuh kweli ,dunia tambala bovu.
Somalia inataka kuiba mpaka wa Somaliland vilevile.
 
Wacha ku-seek public sympathy! Kenya is a reknown territory thief! The issue was long discussed below!

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…