joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
Kenya mpo na tribalism mbaya sana, huo ni ubaguzi wa hali ya juu kuliko hata ubaguzi wa rangi.View attachment 1105668Joto la Jiwe, familia yake Ben Kitili...
Nimekupa mifano bado unabisha! Baki hivyo sina la ziada!Kenya mpo na tribalism mbaya sana, huo ni ubaguzi wa hali ya juu kuliko hata ubaguzi wa rangi.
Nani aliyekuambia kwamba kuoana kunaondoa ubaguzi?, hata USA, wazungu na watu weusi wengi wameoana lakini ubaguzi bado unaongezekaNimekupa mifano bado unabisha! Baki hivyo sina la ziada!
Feeding words in my mouth! Nionyeshe niliposema ndoa humaliza ubaguzi?Nani aliyekuambia kwamba kuoana kunaondoa ubaguzi?, hata USA, wazungu na watu weusi wengi wameoana lakini ubaguzi bado unaongezeka
The dispute is ke v somaliaTanzanians are commenting here hating, they don't know if Somali's border is drawn as somalis are saying, that will affect the Kenyan / Tanzanian marine border too...
Sasa hii mifano yote uliyotoa pamoja na hii picha lengo lako ni lipi?.Feeding words in my mouth! Nionyeshe niliposema ndoa humaliza ubaguzi?
Sasa ngoja niwashauri, wapeni Somalia hilo eneo lao, then njooni Tanzania tutawapa eneo lenu.Tanzanians are commenting here hating, they don't know if Somali's border is drawn as somalis are saying, that will affect the Kenyan / Tanzanian marine border too...
Asante sana kama ungekuwa karibu ningekununulia beer.Kenya ya Shujaa Uhuru Kenyatta imekataa katakata kudhulumiwa ardhi na Maharamia wa Somalia.
Huu ni mwamnko mzuri sana katika Bara hili la dhidi ya Afrika na Ukoloni mamboleo.
Wasomali walifikiri wanaweza kupora Mpaka mzima kwa kuilaghai Dunia kuwa ati walipewa na Wataliani kitu ambacho sio kweli,sasa ati wamekimbilia kwenye mahakama za huko ughaibuni.
Wasomali hawahawa baada ya kuibomoa nchi yao na kukimbilia Kenya iliwapokea kwa mikono mikunjufu,leo hii wanapanga Njama za kuiteketeza Kenya na watu wake sisi kama raia wa Afrika Mashariki kamwe hatutakubali.
Wacha upuzi. Hapa nimekupotezea heshima. Chuki yako ya Kenya imekufanya utamani kuona Kenya iliyo landlocked. Punguza chuki. Hebu tazama video ya kwanza iliyopostiwa na utulie.Huu ni Ugomvi wa Kenya na Somalia, tena bado upo mahakamani, vipi unaingiza Afrika mashariki?, acha ubaguzi kwa misingi ya kikanda, sisi wote ni waafrika hatukubali kugawanywa kwa aina yoyote ile. Subiri mahakana itoe uamuzi na mwenye haki atapata haki yake, acha kutugombanisha ili tuwachukie wasomali.
Nakuhakikishia kwamba simba aliyenyeshewa bado ni simba, usimdunge jicho kwa kidole, hutaishi kuelezea kilichotendeka. Mmezoea kuona kanchi kapole kanaitwa Kenya kila mtu anakadharau lakini kila mtu ana mwisho wa uvumilivu wake. Potelea pote. Wacha sasa tuwe wanyama na kudeal na hawa takataka Somalia bila huruma. Hamna haja ya upole wakati unayejaribu kumsaidia ni kichwa ngumu kushinda mawe. Kabla hatujateremsha kichapo Somalia tuanze na Tanzania kwa sababu wana midomo kubwa kama kasuku.Nna assume hicho kisiwa kingekua na mvutano kati ya Uganda na Rwanda tuone kama M7 angeweza kumnyanganya Kagame hahah
Kila Mara ninarudia kwamba ninyi wakenya uwezo wenu wa kufikiria ni mdogo sana. Sasa kama Kenya mpo na haki kwanini msisubiri uamuzi wa MAHAKAMA?.Wacha upuzi. Hapa nimekupotezea heshima. Chuki yako ya Kenya imekufanya utamani kuona Kenya iliyo landlocked. Punguza chuki. Hebu tazama video ya kwanza iliyopostiwa na utulie.
Naomba utazame video ya kwanza ndio tuweze kujadiliana. Ukishatazama utaona jinsi border kati ya T.Z na KE ni mstari straight horizontal na ule kati ya Kenya na Somalia ni diagonal. Hivi Kama Somalia watakubaliwa kuchonga border yao iwe diagonal kuelekea chini basi sisi hatuna budi kuchonga yetu iwe diagonal kuelekea chini upande wa T.Z halafu tuende kwa hio hio korti na kuwauliza watupe border yetu mpya kutoka kwa Tanzania kama vile Somalia walivyopewa.Kila Mara ninarudia kwamba ninyi wakenya uwezo wenu wa kufikiria ni mdogo sana. Sasa kama Kenya mpo na haki kwanini msisubiri uamuzi wa MAHAKAMA?.
Tony254, hii Tania yenu ya kujifanya mnajua kila kitu, hii tabia ya kujifanya kwamba siku zote ninyi wakenya ndio mpo "right" na wengine wote wapo "wrong", ndio inayofanya mgombane na nchi nyingi hapa Africa.
Upande wa Uganda mnadai kisiwa cha Migingo kipo Kenya, na mnadai ninyi ndio mpo sawa, huko South Sudan pia mnagombania mpaka, na mnadai mpo sawa. Somalia haikuingia kwa nguvu kuchukua eneo Leo, imechukua hatua za kisheria, kitu cha kusikitisha ni kwamba, hata ICJ hamuiheshimu, tayari mpo na maamuzi yenu.
Tony254, kama hatutoheshimu mahakama, dunia itakua ni sehemu ya fujo sana. Hayo yote unayosema, MAHAKAMA inajua zaidi kuliko Mimi na wewe, kwasababu Kenya mumeamua kutumia wanasheria toka LONDON, inasemekana ni miongoni mwa wanasheria bora kabisa hapa duniani, sasa kama hayo unayosema ni ukweli, hawawezi kushindwa hiyo kesi, ila kama sio kweli, watashindwa na ni lazima mkubaliane na maamuzi ya MAHAKAMA.Naomba utazame video ya kwanza ndio tuweze kujadiliana. Ukishatazama utaona jinsi border kati ya T.Z na KE ni mstari straight horizontal na ule kati ya Kenya na Somalia ni diagonal. Hivi Kama Somalia watakubaliwa kuchonga border yao iwe diagonal kuelekea chini basi sisi hatuna budi kuchonga yetu iwe diagonal kuelekea chini upande wa T.Z halafu tuende kwa hio hio korti na kuwauliza watupe border yetu mpya kutoka kwa Tanzania kama vile Somalia walivyopewa.
Jambo la muhimu hapa ni border inachongwa kuenda straight mbele au inachongwa kuelekea chini. Mahakama ikiamua kwamba border inastahili kuchongwa kuelekea chini basi tutakubali maamuzi na kuwapa Somalia lakini sisi nasi tutachonga border yetu kuelekea kusini na kuenda kwa korti hio hio na kuitisha haki yetu kama vile Somalia walivyopewa. Korti hio itakuwa imeset precedent kwa kesi ya Somalia kwa hivyo haitaweza kupinga kesi yetu. Tutapewa bahari lenu.Tony254, kama hatutoheshimu mahakama, dunia itakua ni sehemu ya fujo sana. Hayo yote unayosema, MAHAKAMA inajua zaidi kuliko Mimi na wewe, kwasababu Kenya mumeamua kutumia wanasheria toka LONDON, inasemekana ni miongoni mwa wanasheria bora kabisa hapa duniani, sasa kama hayo unayosema ni ukweli, hawawezi kushindwa hiyo kesi, ila kama sio kweli, watashindwa na ni lazima mkubaliane na maamuzi ya MAHAKAMA.
Ninyi wakenya ni watu wenye matatizo sana, sio rahisi kuelewa na nchi zingine, mbona sisi na Malawi tuna mgogoro kama huo lakini tumetulia tunasubiri kisuluhishwa, kamwe hatusemi kwamba sisi ndio tupo na haki zaidi ya Malawi.
Kenya mlishapiga kampeni kutaka kushawishi nchi za Africa kujitoa ICC kwasababu viongozi wenu walipelekwa huko, sisi tuliwakatalia kuwaunga mkono. MAHAKAMA kuu ilipotengua matokeo ya Uchaguzi, Uhuru na Rutto walimtukana na kumtishia saba CJ, sasa hivi muneshaanza kuishutumu ICJ, ninyi ni watu wa ajabu sana.
Sisi ni nchi yenye watu makini wenye kufuata sheria, sio kana ninyi kila mara kulalamika na kujifanya wakati wote ninyi ni "victims", tabia hiyo ndiyo inayosababisha Kenya na Tanzania hatuelewani, jaribuni kuwa humble Tony254, hivi hamjishangai mlivyo?, ninyi ni watu wa kulalamika muda wote kwamba dunia nzima haiwapendi.Jambo la muhimu hapa ni border inachongwa kuenda straight mbele au inachongwa kuelekea chini. Mahakama ikiamua kwamba border inastahili kuchongwa kuelekea chini basi tutakubali maamuzi na kuwapa Somalia lakini sisi nasi tutachonga border yetu kuelekea kusini na kuenda kwa korti hio hio na kuitisha haki yetu kama vile Somalia walivyopewa. Korti hio itakuwa imeset precedent kwa kesi ya Somalia kwa hivyo haitaweza kupinga kesi yetu. Tutapewa bahari lenu.
ha ha you people over estimate yourself so muchSasa ngoja niwashauri, wapeni Somalia hilo eneo lao, then njooni Tanzania tutawapa eneo lenu.
How?ha ha you people over estimate yourself so much