Uhuru Kenyatta anafanya kazi nzuri sana dhidi ya Somalia

Sio km kenya babu ww kenya huwez jenga kiurahis km bongo mshahara huo huo ukalipe kodi kubwa ule upange budget zako utajenga lin ilhal bongo mliachiwa slope kipind cha kikwete mkawa mwajichotea tu hela
Tusijidanganye Bongo imejaa masikini vilevile nyumba za tembe kibao.
 
Nshakwambia na ninarudia tena komaaeni na wasomalia mkiwaachia mkae mkijua huku kusini hamna kitu..et Pemba iwe Kenya hahahaha wee jamaa unavituko sana
 
Nshakwambia na ninarudia tena komaaeni na wasomalia mkiwaachia mkae mkijua huku kusini hamna kitu..et Pemba iwe Kenya hahahaha wee jamaa unavituko sana
Eti hamna kitu, Kenya ikipigana vita na TZ mtaambulia patupu, wacheni kujichocha, tutasimamia Lake Malawi.
 
Sio km kenya babu ww kenya huwez jenga kiurahis km bongo mshahara huo huo ukalipe kodi kubwa ule upange budget zako utajenga lin ilhal bongo mliachiwa slope kipind cha kikwete mkawa mwajichotea tu hela
Kenya ardhi yake iko juu na ni ghali tofauti na ilvyo Tanz.
Ila Kenya ni tajiri kiuchumi
 
We wa wapi Sgr ya kenya iko matatan au hulijui hilo itakua hujala daku asubuhi jaman msaidieni huyu swahibu zzamaniyy
Wabongo kwa porojo!...sisi SGR yetu inasuasua kabla haijaanza
 

Bila huyu Shujaa majeshi ya Kisomali yangekuwa yameshafika Namanga
 
We waulize wakenya waliokuja Tz usiende mbali waulize mombasa tu how tougher kenya it is kanakwamba kuna laws of friction zinatokea huko kenya
Wewe hujui hata ADUI yako ni nani.
 
We kafatilie habar nenda opera mini kuna opera news ingia ktk siasa tafuta hzo habar naona unabwabwaja tu Sgr ya bongo inaendelea bila utata wowote na November twaanza kuitumia licha ya hivyo mgr inafufuliwa kaskazin mwa Tz na Tanga na inaboreshwa usifananishe railway corporation ya tz na ke ya ke ni ya kI blee ble blee
Wabongo kwa porojo!...sisi SGR yetu inasuasua kabla haijaanza
 
SGR ya kenya inafanya kazi wakati ya kwetu bado hata haijafika popote halafu unasema mambo ya Opera mini!...kha!
 
Kenya km india wanajikita kujenga nuclear weapons ilhal kuna walala hoi wanalala ktk barabara za mumbai kushinda magar.Kenya wanajisifia riches ilhali ukiangalia matajiri wakubwa kimaendeleo ya fedha wanatokea tz km Reginald mengi Mungu amrehem nyie mwabak kusema uchum mkubwa ilhali life standards zinaishia in slums
Kenya ardhi yake iko juu na ni ghali tofauti na ilvyo Tanz.
Ila Kenya ni tajiri kiuchumi
 
Niorodheshee matajir wanaomfikia mengi, au bakhresa huko kenya hakuna au ht wanaemfikia mmiliki wa sayona foods products hakuna ushuz mtupu kenyans kodi kubwa wanazotozwa ili wafosi kulipa maden zinawaua
Kenya ardhi yake iko juu na ni ghali tofauti na ilvyo Tanz.
Ila Kenya ni tajiri kiuchumi
 
Mmh nakataa mm nimekaa tu hapa hela zipo zinaingia na kwa faida kubwa na biashara yaenda poa na kodi nalipa kiurahis ila sio huko Kenya
Uvivu wako wa kutafuta fedha mbona mimi nimekaa Kenya na Kuna maisha Bora kutuliko.
 
Kenya wanajisifia riches ilhali ukiangalia matajiri wakubwa kimaendeleo ya fedha wanatokea tz km Reginald mengi
Wacha habari za Misibani,Wakenya ni wachapakazi Wivu hauna tija chapa kazi Dezo dezo mbaya.
 
We hujiuliz kwann hata masikin wa asia km india pakistan wanaing,ang,ania tz mbona hawaendi kukimbilia kenya.bcuz kenya kuna life la is the force which oppose the motion ambalo ni frict life
Uvivu wako wa kutafuta fedha mbona mimi nimekaa Kenya na Kuna maisha Bora kutuliko.
 
Mmh nakataa mm nimekaa tu hapa hela zipo zinaingia na kwa faida kubwa na biashara yaenda poa na kodi nalipa kiurahis ila sio huko Kenya
Ila ukiwaona TRA wanakuja unafunga milango hapo livingstone
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…