imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Kenya ya Shujaa Uhuru Kenyatta imekataa katakata kudhulumiwa ardhi na Maharamia wa Somalia.
Huu ni mwamnko mzuri sana katika Bara hili la dhidi ya Afrika na Ukoloni mamboleo.
Wasomali walifikiri wanaweza kupora Mpaka mzima kwa kuilaghai Dunia kuwa ati walipewa na Wataliani kitu ambacho sio kweli,sasa ati wamekimbilia kwenye mahakama za huko ughaibuni.
Wasomali hawahawa baada ya kuibomoa nchi yao na kukimbilia Kenya iliwapokea kwa mikono mikunjufu,leo hii wanapanga Njama za kuiteketeza Kenya na watu wake sisi kama raia wa Afrika Mashariki kamwe hatutakubali.
Huu ni mwamnko mzuri sana katika Bara hili la dhidi ya Afrika na Ukoloni mamboleo.
Wasomali walifikiri wanaweza kupora Mpaka mzima kwa kuilaghai Dunia kuwa ati walipewa na Wataliani kitu ambacho sio kweli,sasa ati wamekimbilia kwenye mahakama za huko ughaibuni.
Wasomali hawahawa baada ya kuibomoa nchi yao na kukimbilia Kenya iliwapokea kwa mikono mikunjufu,leo hii wanapanga Njama za kuiteketeza Kenya na watu wake sisi kama raia wa Afrika Mashariki kamwe hatutakubali.